RESILIENT KATO
JF-Expert Member
- Aug 21, 2024
- 1,472
- 2,766
Chuma process!Teka Teka,us ua,poteza poteza kabla ya uchaguzi!halafu akishashinda Kwa kwa data kabla hajakaa saw sawa !makam anaula !Andika kitu chenye maana na kinachoeleweka badala ya hizi pumba
Ehee mnunuzi mkuu ni yupi unaemjua?Kakudanganya nani?
Hata Obama alishauri alipokuja bongo kwamba ni muda wa kufanya biashara sisi kwa sisi na sio kutegemea kufanya biashara zisizo na haki na wazungu.Masoko Makuu ya bidhaa za Tanzania ni Africa huko Kwa bwana zenu Mabeberu ni ziada hususani bidhaa za mboga mboga.
Kwa taarifa Yako tuu Afrika inawork on ukanda huru wa biashara Ili Kukomesha huu ujinga wa kudhani bidhaa zinatakiwa kuuzwa Ulaya tuu.
Eg mnunnuzi.mkui wa maziwa ya Uganda ni Kenya,kahawa Nigeria.
Mteja Mkuu wa mchele wa Tanzania ni Uganda na hata source 5 za Watalii wa Tanzania ni Kenya.
So acha kukariri Africa inaweza kwenda bila Wazungu na wao ndio wanatuhitaji kuliko sisi kuwahitaji.
Una ujinga mwingi sana wewr nenda Kilimanjaro na Arusha uone kilimo cha kahawa kinavyo kufa,Akizungumza baada ya Kutembelea Shamba la Kampuni ya Aviv Tanzania Limited,Rais Samia ameonesha kufurahishwa na mafanikio ya sekta ya Kilimo hususani zao la Kahawa.
Rais amesema kwamba uwekezaji kwenye sekta ya Kilimo ukiofanywa na Serikali yake umeanza kuzaa matunda kwani uzalishaji wa kahawa umeongezeka kutoka tani 65,000 Hadi 80,000 na kwamba mauzo ya bidhaa za kahawa Nje ya Nchi itazalida Dola 250(zaidi ya Bilioni 600) ambazo pengine Serikali ingekopa hivyo kutoa wito kuongeza uzalishaji wa mazao ya Kilimo kibiashara Ili kupunguza utegemezi wa mikopo Nje ya Nchi.
---
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameonesha kuridhishwa na mafanikio katika sekta ya kahawa kufuatia uwekezaji uliofanywa na serikali katika kilimo.
Akizungumza Jumanne, Septemba 24, 2024, wakati wa ziara yake kwenye shamba la kahawa la Aviv Tanzania Limited mkoani Ruvuma, Rais Samia ameeleza kuwa uzalishaji wa kahawa umeongezeka kutoka wastani wa tani 65,000 hadi zaidi ya tani 80,000, ongezeko ambalo lina manufaa makubwa kwa uchumi wa taifa.
"Hili ongezeko la uzalishaji wa kahawa linatuongezea pato la kigeni. Kwa mwaka huu tunatarajia mauzo ya kahawa nchini kuingiza dola milioni 250," amesema Rais Samia.
Amebainisha kuwa kiasi hicho ni sawa na msaada au mkopo ambao serikali imekuwa ikiuomba kutoka nje, mara nyingi kwa masharti.
Rais Samia ameeleza kuwa fedha zinazopatikana kupitia mauzo ya kahawa zina umuhimu mkubwa kwani zinasaidia kupunguza utegemezi wa misaada ya kigeni.
"Kwa kawaida, mimi huwa ninapiga magoti na kuomba misaada ya kiasi hiki. Sasa kama tunaweza kuzalisha dola milioni 250 kutoka kwenye zao moja tu la kahawa, tunapaswa kuimarisha jitihada zaidi ili tuzalishe zaidi ya hapa," amesisitiza.
Rais Samia pia ameeleza matarajio ya serikali kuongeza uzalishaji wa kahawa mara mbili zaidi katika kipindi cha miaka mitano ijayo, huku akihimiza ushirikiano na sekta binafsi na wawekezaji ili kufanikisha malengo hayo.
Katika hatua nyingine, Rais Samia amesisitiza umuhimu wa kujitegemea kiuchumi kupitia kilimo kwamba ikiwa Tanzania itazalisha yenyewe, fedha zitakwenda moja kwa moja nchini bila masharti yoyote kutoka nje.
Chanzo: Jambo Online
My Take
Naunga mkono hoja.Serikali ie deles kuwekeza zaidi kwenye sekta ya Kilimo kwani Ina nafasi ya kuipatia Nchi pesa Nyingi zaidi kuliko sekta zingine.
Hii ni njia sahihi ikiwa Serikali imegundua hili so Wizara ya Mipango ihakikishe kunakuwa na consistency sio Kila Rais anakuja na vipaombele vyake.Mfano huyu Kilimo mwingine madaraka, hatuwezi kumaliza umaskini bila kuwa na muendelezo wa vipaombele vyenye Tija.
#SSH# Anatosha na chenji inabaki.Tuwakatae Mabeberu na vibaraka wao.
Pia soma Bashe: Rais hataki utani, amedhamiria kuleta mapinduzi ya kilimo kupitia umwagiliaji
Mjinga ni wewe,kahawa ingekufa Kagera wangekuwa wa kwanza Kung'oa miti.Una ujinga mwingi sana wewr nenda Kilimanjaro na Arusha uone kilimo cha kahawa kinavyo kufa,
Wapi huko? Serikali ndio imeleta Ukame? Miaka mingine mlikuwa mnafanya irrigation?Safari hii wataisoma namba. Mikahawa imekauka, serikali haina mpango wa irrigation. Mawaziri wa Karagwe na Kyerwa hawana msaada kwa mkulima.
Ccm ndio imeua zao la kahawa tz asiongee kuhadaa watu!Akizungumza baada ya Kutembelea Shamba la Kampuni ya Aviv Tanzania Limited,Rais Samia ameonesha kufurahishwa na mafanikio ya sekta ya Kilimo hususani zao la Kahawa.
Rais amesema kwamba uwekezaji kwenye sekta ya Kilimo ukiofanywa na Serikali yake umeanza kuzaa matunda kwani uzalishaji wa kahawa umeongezeka kutoka tani 65,000 Hadi 80,000 na kwamba mauzo ya bidhaa za kahawa Nje ya Nchi itazalida Dola 250(zaidi ya Bilioni 600) ambazo pengine Serikali ingekopa hivyo kutoa wito kuongeza uzalishaji wa mazao ya Kilimo kibiashara Ili kupunguza utegemezi wa mikopo Nje ya Nchi.
---
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameonesha kuridhishwa na mafanikio katika sekta ya kahawa kufuatia uwekezaji uliofanywa na serikali katika kilimo.
Akizungumza Jumanne, Septemba 24, 2024, wakati wa ziara yake kwenye shamba la kahawa la Aviv Tanzania Limited mkoani Ruvuma, Rais Samia ameeleza kuwa uzalishaji wa kahawa umeongezeka kutoka wastani wa tani 65,000 hadi zaidi ya tani 80,000, ongezeko ambalo lina manufaa makubwa kwa uchumi wa taifa.
"Hili ongezeko la uzalishaji wa kahawa linatuongezea pato la kigeni. Kwa mwaka huu tunatarajia mauzo ya kahawa nchini kuingiza dola milioni 250," amesema Rais Samia.
Amebainisha kuwa kiasi hicho ni sawa na msaada au mkopo ambao serikali imekuwa ikiuomba kutoka nje, mara nyingi kwa masharti.
Rais Samia ameeleza kuwa fedha zinazopatikana kupitia mauzo ya kahawa zina umuhimu mkubwa kwani zinasaidia kupunguza utegemezi wa misaada ya kigeni.
"Kwa kawaida, mimi huwa ninapiga magoti na kuomba misaada ya kiasi hiki. Sasa kama tunaweza kuzalisha dola milioni 250 kutoka kwenye zao moja tu la kahawa, tunapaswa kuimarisha jitihada zaidi ili tuzalishe zaidi ya hapa," amesisitiza.
Rais Samia pia ameeleza matarajio ya serikali kuongeza uzalishaji wa kahawa mara mbili zaidi katika kipindi cha miaka mitano ijayo, huku akihimiza ushirikiano na sekta binafsi na wawekezaji ili kufanikisha malengo hayo.
Katika hatua nyingine, Rais Samia amesisitiza umuhimu wa kujitegemea kiuchumi kupitia kilimo kwamba ikiwa Tanzania itazalisha yenyewe, fedha zitakwenda moja kwa moja nchini bila masharti yoyote kutoka nje.
Chanzo: Jambo Online
My Take
Naunga mkono hoja.Serikali ie deles kuwekeza zaidi kwenye sekta ya Kilimo kwani Ina nafasi ya kuipatia Nchi pesa Nyingi zaidi kuliko sekta zingine.
Hii ni njia sahihi ikiwa Serikali imegundua hili so Wizara ya Mipango ihakikishe kunakuwa na consistency sio Kila Rais anakuja na vipaombele vyake.Mfano huyu Kilimo mwingine madaraka, hatuwezi kumaliza umaskini bila kuwa na muendelezo wa vipaombele vyenye Tija.
#SSH# Anatosha na chenji inabaki.Tuwakatae Mabeberu na vibaraka wao.
Pia soma Bashe: Rais hataki utani, amedhamiria kuleta mapinduzi ya kilimo kupitia umwagiliaji
Kagera wanalima sana maana hata Uganda ndio zao lao kuuKama tutalima Arabica kwa wingi kama Ethiopia labda tunaweza kupunguza mikopo ila sio kwa hela ndogo hizo
Lazima tulime kahawa yenye soko zuri duniani sio hizi Instant coffee tunazokunywa Costa au Starbucks
Ethiopia zao la kahawa linawaingizia $1.55b halafu sisi wenye rutuba na ardhi kubwa bila hata vita tunatamba kwa $150m
Kweli jamani hawa viongozi wanatuonaje
Iliua.lini? Namba zinaongea sio kuhadaaCcm ndio imeua zao la kahawa tz asiongee kuhadaa watu!
Mwambie ukweli huyu pimbi hajielewi kabisa!Mjinga ni wewe,kahawa ingekufa Kagera wangekuwa wa kwanza Kung'oa miti.
Mwisho kama umetelekezw shamba ulitaka lisife,life kabisa Ili ukawe mpiga debe bwege wewe.
Maccm yanakataza Kagera kuuza kahawa Uganda bei ni kubwa yanataka wauze Kwa wahuni waliowaleta Ili wapeane cha juu! Pumbavu sana!Kagera wanalima sana maana hata Uganda ndio zao lao kuu
Uganda mkuu wanalima Robusta ambayo ni nzito na kaliKagera wanalima sana maana hata Uganda ndio zao lao kuu
Hakuna mtu amekatazwa Bali wafuate utaratibu,mbona bei zikiporomoka Huwa mnakimbilia huko huko Kulalamikia Kwa ma ccm? Acha uboya mwaka huu bei imevunja rekodi.Maccm yanakataza Kagera kuuza kahawa Uganda bei ni kubwa yanataka wauze Kwa wahuni waliowaleta Ili wapeane cha juu! Pumbavu sana!
Uganda mkuu wanalima Robusta ambayo ni nzito na kali
Ila Arabica ile aroma yake ndio inaifanya iwe more expensive na ladha yake pia ni tofauti kabisa na Robusta hiyo wanayolima Uganda
Kama tunalima Arabica basi hilo ndio zao la kujikita zaidi maana lina thamani sana
Uganda wako vizuri sana yaani kwa Africa wao na Ethiopia wanazalisha sana