kifupi kirefu
JF-Expert Member
- Oct 29, 2018
- 539
- 3,507
Mhe Rais nadhani huu Ni muda sahihi wakujua ni mteule yupi uliyemteua anaishi fikra zako na yupi anaishi fikra za tumbo lake na familia yake. Watumishi wachache wa Umma wamegawana kumbi za Serikali na hoteli kwa vikao ambavyo sidhani Kama vina tija.
Mhe. Wazir Mkuu alitumbua watendaji wa wizara ya fedha kwa kujilipa mamolioni ya fedha. Watu wamemdharau na Leo hii wizara na idara za serikali ambazo zote zipo Dodoma wamehamia mikoani kufanya vikao.
Fedha hii wanayogawana ingesambazwa kwenye huduma lipo Jambo ungetatua.
Nikuombe bila kutumbua omba taarifa ya kila wizara wamefanya vikao vya kazi au semina ngapi kwa mei na Juni na majina ya washiriki. Utagundua wapo watu wamelipwa mara tatu kwa siku zilezile na wapo dodoma ila Wana malipo ya safari nie ya Dodoma. Waidhinishaji wa fedha hizi ni wateule wako.
Je, wamekuelewa unataka Nini?
Umofia kwenu
Mhe. Wazir Mkuu alitumbua watendaji wa wizara ya fedha kwa kujilipa mamolioni ya fedha. Watu wamemdharau na Leo hii wizara na idara za serikali ambazo zote zipo Dodoma wamehamia mikoani kufanya vikao.
Fedha hii wanayogawana ingesambazwa kwenye huduma lipo Jambo ungetatua.
Nikuombe bila kutumbua omba taarifa ya kila wizara wamefanya vikao vya kazi au semina ngapi kwa mei na Juni na majina ya washiriki. Utagundua wapo watu wamelipwa mara tatu kwa siku zilezile na wapo dodoma ila Wana malipo ya safari nie ya Dodoma. Waidhinishaji wa fedha hizi ni wateule wako.
Je, wamekuelewa unataka Nini?
Umofia kwenu