Rais Samia, funga mwaka iliyofanywa Serikalini ni balaa

Rais Samia, funga mwaka iliyofanywa Serikalini ni balaa

Ulitaka atokee mkoa gani mkuu? Kwani Singida hakuna wachumi. Acha ubaguzi. Hii ni nchi yetu sote
Ameshakariri kuwa ni lazima atoke Uchagani au Upareni huku akisahau kuwa Tanzania imeshawahi kuwa na Mawaziri wazuri sana wa Fedha wasiotokea huo Mkoa wao wa Kilimanjaro ( Moshi )
 
Mkuu inaonekana hii safari hukuchukuliwa, acha sekta binafsi nayo ifanye biashara maana kwa miaka 5 ilikufa kabisa na hukuu imeajiri watu wengi sn
 
Baraza la wafanyakazi Muhimbili eti walienda kufanyia kikao chao Morogoro wakati Dar es Salaama kuna kumbi lukuki[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Screenshot_20210622-073740.jpg
 
Jamani tangu lini waziri wa Fedha anatokea mkoa wa singida? Bado mtaona vituko. Anaiba fedha aje agombee urais kupitia CCM
Wakati Fulani tuwe tuna lalamika kwa fact Waziri was Fedha n ngumu Sana kudhibiti huo utumbuaji unaofanyika mwisho wa Mwaka ...kumbuka hizo Semina na vikao vilitengwa Bajeti ya 2020/21 ...Sasa atakwendaje Afya,Kilimo,Viwanda ,Madini,Ujenzi nk kuthibiti!
Mwigulu anaweza kuwa bogus ...lakini hili tatizo no kubwa kuliko tunavyoliona ..!
Hakuna njia ya mkato zaidi ya kufanya overhauling ya uendeshaji wa nchi na Sisi Wakulima ,Wafanykazi ,Warina Asali na Waokota Makopo tuwe na Mamlaka!
Otherwise atakuja Mwigulu,Mwinduda,Mwinyibweni,Mwinuka,Mwinamila ...tutarndelea kulalamika ....Mara Hamad Yesu karudi!
 
Kaamua kuwarejeshea tabasamu. Wamemuelewa sana.
Umeonaee, hii nchi ukijitia kiwa Mzalendo utaambulia vidonda vya tumbo tena vibichi na vile vya pembezoni ya mdomo vikiwa vikabu.

Inaumiza sana, afu mtu haini noma kutumbuliwa maana anaiba mabilioni ambayo kwa muda wa utumishi wake hangepata hivyo anajiruzuku mihela ukimtumbua anaanza zake kutabarukhu!

Patheticonic!!
 
wamefungulia hela kama bomba la mvua,zinamwagika tu waaaaaaaaaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tatizo nini!!! Zikinwagika si ndiyo wewe na mimi tutfikuwa pia au? Naomba ukubwa wa bomba uongezeke tupatwe na mafuriko huku. Tumeteseka sana kuishi kama shetani kwa matakwa ya mwendazake. Ma wewe acha wivu na roho mbaya. Mama miminaaaa eh miminaaaaaa!!!! Sasa hivi watu tunapeana pole hata kwa buku, chupa1, bohora 1, chibuku 1, mkebe1 nk. Na hali maisha inaboreka kila.siku, watu kwa sasa wanaaza kucheka na kuondoa makunyanzi usoni. Mama endelea mpaka wenye wivu wazimie.
 
Wakati Fulani tuwe tuna lalamika kwa fact Waziri was Fedha n ngumu Sana kudhibiti huo utumbuaji unaofanyika mwisho wa Mwaka ...kumbuka hizo Semina na vikao vilitengwa Bajeti ya 2020/21 ...Sasa atakwendaje Afya,Kilimo,Viwanda ,Madini,Ujenzi nk kuthibiti!
Mwigulu anaweza kuwa bogus ...lakini hili tatizo no kubwa kuliko tunavyoliona ..!
Hakuna njia ya mkato zaidi ya kufanya overhauling ya uendeshaji wa nchi na Sisi Wakulima ,Wafanykazi ,Warina Asali na Waokota Makopo tuwe na Mamlaka!
Otherwise atakuja Mwigulu,Mwinduda,Mwinyibweni,Mwinuka,Mwinamila ...tutarndelea kulalamika ....Mara Hamad Yesu karudi!
Ahahahaha Mwinamila duh! Au Mwishutamila, Mwikanula, Mwitayo..

Hii nchi ni ngumu saana yaani sana. Mwigulu hawezi kubeba dhamana za wenzie kumbuka hao walaji wanapatikana wizara zote. Sasa mawaziri walioko huko uwajibikaji wao ukoje?

Sisi tulioko huku maboss zetu wanadai huu ni msimu wa mavuno wanadai Mama yuko bize na Vetting za mikeka ya wateuliwa na ukizingatia huu msimu wa wakurugenzi aisee wanaiba hela hadi huruma.

Mwenye pini la Miss Tanzania atuwekee hapa nimelimiss by Travella Mtoto wa Mbagala namaanisha Msafiri Kondo
 
Wakati Fulani tuwe tuna lalamika kwa fact Waziri was Fedha n ngumu Sana kudhibiti huo utumbuaji unaofanyika mwisho wa Mwaka ...kumbuka hizo Semina na vikao vilitengwa Bajeti ya 2020/21 ...Sasa atakwendaje Afya,Kilimo,Viwanda ,Madini,Ujenzi nk kuthibiti!
Mwigulu anaweza kuwa bogus ...lakini hili tatizo no kubwa kuliko tunavyoliona ..!
Hakuna njia ya mkato zaidi ya kufanya overhauling ya uendeshaji wa nchi na Sisi Wakulima ,Wafanykazi ,Warina Asali na Waokota Makopo tuwe na Mamlaka!
Otherwise atakuja Mwigulu,Mwinduda,Mwinyibweni,Mwinuka,Mwinamila ...tutarndelea kulalamika ....Mara Hamad Yesu karudi!
Ahahahaha Mwinamila duh! Au Mwishutamila, Mwikanula, Mwitayo..

Hii nchi ni ngumu saana yaani sana. Mwigulu hawezi kubeba dhamana za wenzie kumbuka hao walaji wnapatikana wizara zote. Sasa mawaziei walioko huko uwajihikaji wao ukoje?
 
Hiyo mbona kawaida sana..! Mwisho wa mwaka kama fedha za bajeti zimebaki (bakaa) huwa zinatafutiwa matumizi kuliko kuzirejesha tena hazina ambapo nyie mliorudisha mnaoenkana hamkutekeleza majukumu yenu ndio maana zimebaki. Kwa lugha ya mtaani wanaita ulofa kurudisha pesa hazina.
Hilo ni kawaida tangu utumwa wa nchi umeondolewa....
 
Ameshakariri kuwa ni lazima atoke Uchagani au Upareni huku akisahau kuwa Tanzania imeshawahi kuwa na Mawaziri wazuri sana wa Fedha wasiotokea huo Mkoa wao wa Kilimanjaro ( Moshi )
Sasa haya mambo ya ukabila yanatokea wapi mkuu..umejuaje kwamba aliyeuliza ni bwashee...Tena kama sijakosea huyo Mwigulu kachukua jiko huko kwao...akina bwashee wanamkubali..(haya mengine Ni majungu na chuki binafsi)
Ila kikubwa tuache kusemana kwa misingi ya ukabila ,udini au ukanda Watanzania wenzangu..Tupendane na tuache majungu.. tuvumiliane kwa misingi ya tofauti zetu kikabila, kiimani,au kiitikadi...Mwigulu anafanya kazi nzuri Sana..tumpe muda na tumuunge mkono..na ikiwezekana tumshauri kwa upendo..tuache mambo ya kejeli na ubaguzi usio na faida yoyote kwa maendeleo ya nchi yetu..
Mama Samia kanyaga twende..Kazi iendelee..
 
Wanatekelezalile agizo la mama kua Hela ziende mifukoni mwa watu. Kwa kweli nimeshangaa sana hata mimi huku watumishi wanakwambia tunakimbizana kabla ya tarehe 30 June. kwa hiyo kuna visemina visivyo hata na kichwa wala miguu vinaendelea kila siku. kuna siku nimetembelea zahanati moja sijamkuta mhudumu hata mmoja wote wameenda semina na barua zingine zimekosa mtu wa kwenda
 
Hao ndio local investors mkuu,

Wanasaidia kuchangamsha uchumi,

Huo sio ufisadi,

Ufisadi ulikua awamu ya Tano tu refer ropoti ya CAG.

Ripoti ya CAG ijayo hutasikia mambo kama haya.
🤣🤣
 
Baraza la wafanyakazi Muhimbili eti walienda kufanyia kikao chao Morogoro wakati Dar es Salaama kuna kumbi lukuki[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

View attachment 1826137
Dadekiii,nchi inaliwa banaaaa.

Hawa wakati ndugu zetu wanaajiriwa waliwaambia mmekuja wakati mbaya,hela ya mshahara kwetu ilikua vocha tu.

Nasema hiviiii,kama wewe ni mfanya biashara fanya Kila mbinu usilipe kodi maana hela yako unayoimbiwa Kila siku na TRA(lipa kodi kwa maendeleo ya nchi) inatumbuliwa kinyamaaa tena Bila hata hurumaa
 
Baraza la wafanyakazi Muhimbili eti walienda kufanyia kikao chao Morogoro wakati Dar es Salaama kuna kumbi lukuki[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

View attachment 1826137
Hapo wanasubiri muda uende tu wala hawana wanachoskiliza,ukinyoosha mkono unaweza shushwa KWA mambata.
Issue ni lengo la chai,lengo la lunch lastly tusaini mpunga tusepeeee
 
Acheni watulize akili jamani,kipindi cha meko kazi ilikuwa kama adhabu.utadhani ajira ni kulipa mkopo wa FINCA
 
Mhe Rais nadhani huu Ni muda sahihi wakujua ni mteule yupi uliyemteua anaishi fikra zako na yupi anaishi fikra za tumbo lake na familia yake. Watumishi wachache wa Umma wamegawana kumbi za Serikali na hoteli kwa vikao ambavyo sidhani Kama vina tija.

Mhe. Wazir Mkuu alitumbua watendaji wa wizara ya fedha kwa kujilipa mamolioni ya fedha. Watu wamemdharau na Leo hii wizara na idara za serikali ambazo zote zipo Dodoma wamehamia mikoani kufanya vikao.

Fedha hii wanayogawana ingesambazwa kwenye huduma lipo Jambo ungetatua.

Nikuombe bila kutumbua omba taarifa ya kila wizara wamefanya vikao vya kazi au semina ngapi kwa mei na Juni na majina ya washiriki. Utagundua wapo watu wamelipwa mara tatu kwa siku zilezile na wapo dodoma ila Wana malipo ya safari nie ya Dodoma. Waidhinishaji wa fedha hizi ni wateule wako.

Je, wamekuelewa unataka Nini?

Umofia kwenu
Acha walete pesa mtaani tunazihitaji sana
 
Back
Top Bottom