Halafu jana tu nimewashushia mzigo, natafakari kama kuna huo umuhimu wa kulipa kodi kama zilizokusanywa zinatumika vibaya.Dadekiii,nchi inaliwa banaaaa.
Hawa wakati ndugu zetu wanaajiriwa waliwaambia mmekuja wakati mbaya,hela ya mshahara kwetu ilikua vocha tu.
Nasema hiviiii,kama wewe ni mfanya biashara fanya Kila mbinu usilipe kodi maana hela yako unayoimbiwa Kila siku na TRA(lipa kodi kwa maendeleo ya nchi) inatumbuliwa kinyamaaa tena Bila hata hurumaa
Mkuu ninachokiona hapa Ni kwamba watu wengi hawajui namna serikali inavyofqnya kazi. Wanadhani Mwigulu kwa kuwa ni waziri wa fedha ameshikilia fuko la hela, halafu kila asubuhi anagawia kila wizara na idara kama afanyavyo baba kwa watoto wake.Wakati Fulani tuwe tuna lalamika kwa fact Waziri was Fedha n ngumu Sana kudhibiti huo utumbuaji unaofanyika mwisho wa Mwaka ...kumbuka hizo Semina na vikao vilitengwa Bajeti ya 2020/21 ...Sasa atakwendaje Afya,Kilimo,Viwanda ,Madini,Ujenzi nk kuthibiti!
Mwigulu anaweza kuwa bogus ...lakini hili tatizo no kubwa kuliko tunavyoliona ..!
Hakuna njia ya mkato zaidi ya kufanya overhauling ya uendeshaji wa nchi na Sisi Wakulima ,Wafanykazi ,Warina Asali na Waokota Makopo tuwe na Mamlaka!
Otherwise atakuja Mwigulu,Mwinduda,Mwinyibweni,Mwinuka,Mwinamila ...tutarndelea kulalamika ....Mara Hamad Yesu karudi!
Fedha tunatoa KWA maendeleo wao wanabudi mbinu za kubunya,Wacha watu wabuni njia za ukwepaji kodi tuHalafu jana tu nimewashushia mzigo, natafakari kama kuna huo umuhimu wa kulipa kodi kama zilizokusanywa zinatumika vibaya.
Shida sio kusomea uchumi, shida ni kutafsiri uchumi. 2025 huyo jamaa atakuwa singida akichora mawe kuandika jina lake kujitangaza anangombea uraisUlitaka atokee mkoa gani mkuu? Kwani Singida hakuna wachumi. Acha ubaguzi. Hii ni nchi yetu sote
Nikikumbuka ile tilion 1.5 ilivyopotea bila maelezo roho inaniuma sana.Mhe Rais nadhani huu Ni muda sahihi wakujua ni mteule yupi uliyemteua anaishi fikra zako na yupi anaishi fikra za tumbo lake na familia yake. Watumishi wachache wa Umma wamegawana kumbi za Serikali na hoteli kwa vikao ambavyo sidhani Kama vina tija.
Mhe. Wazir Mkuu alitumbua watendaji wa wizara ya fedha kwa kujilipa mamolioni ya fedha. Watu wamemdharau na Leo hii wizara na idara za serikali ambazo zote zipo Dodoma wamehamia mikoani kufanya vikao.
Fedha hii wanayogawana ingesambazwa kwenye huduma lipo Jambo ungetatua.
Nikuombe bila kutumbua omba taarifa ya kila wizara wamefanya vikao vya kazi au semina ngapi kwa mei na Juni na majina ya washiriki. Utagundua wapo watu wamelipwa mara tatu kwa siku zilezile na wapo dodoma ila Wana malipo ya safari nie ya Dodoma. Waidhinishaji wa fedha hizi ni wateule wako.
Je, wamekuelewa unataka Nini?
Umofia kwenu
Ni kweli kabisa mwigulu ni mtia hasara wa Taifa letu kwa sasa, Haiwezekani uwe waziri wa wizara fulani, halafu huwezi kuchukua hatua panapotokea ufujaji wa fedha za walipa kodiMwigulu ni takataka kabisa wizara ya fedha