Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Walioanzisha hiki kitu kinachoitwa polisi jamii walikusudia mema lakini implementation yake zero.
Hakuna fungu linalotoka wizara ya mambo ya ndani au jeshi la polisi kwaajili ya posho na mishahara ya vijana wa polisi jamii.
Inawezekanaje mtu ambaye hana mshahara au posho maalumu aruhusiwe kumfanyia mtu arresting?
Inawezekanaje mtu ambaye hana mshahara wala posho maalumu aruhusiwe kishinda kituo cha polisi na kufanya majukumu ya kipolisi?
Akiharibu ataripotiwa kwa nani?
Nani mwajiri wake?
Mwezi uliopita Jirani yangu polisi jamii alikwenda kufanya operation haramu na wenzake 2 jumla wakawa watatu.
Katika kurupushani na wabeba mkaa polisi jamii mmoja akauwawa kwa kucharangwa mapanga kama Kuni. Akazikwa na familia yake kimyakimya. Kwa wanaofanya habari za uchunguzi nitawapa ushirikiano.
Hii imetokea maeneo ya mpakani mwa Pwani na Dar es salaam lakini hawa vijana 3 ni wakazi wa Dar es salaam ila wanahangahika mpaka Pwani. Wanashirikiana na baadhi ya polisi wa Chanika na Mvuti
Hawa polisi jamii wana upuuzi mwingi sana. They are unprofessional, mafunzo mafupi tu wanajiita polisi .
Tusiruhusu kuwa na vyombo vingi vya ulinzi. Ni ushamba na kufungua milango ya uhalifu
Hakuna fungu linalotoka wizara ya mambo ya ndani au jeshi la polisi kwaajili ya posho na mishahara ya vijana wa polisi jamii.
Inawezekanaje mtu ambaye hana mshahara au posho maalumu aruhusiwe kumfanyia mtu arresting?
Inawezekanaje mtu ambaye hana mshahara wala posho maalumu aruhusiwe kishinda kituo cha polisi na kufanya majukumu ya kipolisi?
Akiharibu ataripotiwa kwa nani?
Nani mwajiri wake?
Mwezi uliopita Jirani yangu polisi jamii alikwenda kufanya operation haramu na wenzake 2 jumla wakawa watatu.
Katika kurupushani na wabeba mkaa polisi jamii mmoja akauwawa kwa kucharangwa mapanga kama Kuni. Akazikwa na familia yake kimyakimya. Kwa wanaofanya habari za uchunguzi nitawapa ushirikiano.
Hii imetokea maeneo ya mpakani mwa Pwani na Dar es salaam lakini hawa vijana 3 ni wakazi wa Dar es salaam ila wanahangahika mpaka Pwani. Wanashirikiana na baadhi ya polisi wa Chanika na Mvuti
Hawa polisi jamii wana upuuzi mwingi sana. They are unprofessional, mafunzo mafupi tu wanajiita polisi .
Tusiruhusu kuwa na vyombo vingi vya ulinzi. Ni ushamba na kufungua milango ya uhalifu