Nurain
JF-Expert Member
- Apr 28, 2022
- 2,403
- 5,315
Eti askari kata jamaa una dharau sana...Nakumbuka kuna askari kata mmoja alianzisha sungusungu kijijini kwetu hakika nilimgomea nilimwambia mimi ni mlipa Kodi nina TIN number kwahiyo hayo mambo ya kipuuzi mimi sitaki njoeni mulinde wenyewe.Swali langu ni je nikiumizwa huko kwenye kulinda nani atawajibika na majeraha yangu?
Kitu kinachoitwa polisi tu ni kimelaaniwa.. PGO Yao hawaijui,mgambo atajuaje majukumu yake ikiwa msimamizi wake tu nae ni bichwa maji