Rais Samia futa kabisa kitu kinachoitwa Polisi jamii

Eti askari kata jamaa una dharau sana...

Kitu kinachoitwa polisi tu ni kimelaaniwa.. PGO Yao hawaijui,mgambo atajuaje majukumu yake ikiwa msimamizi wake tu nae ni bichwa maji
 
Wengine wanakaa barabarani kuvizia boda boda wanaweza kumrukia boda utafiri huyo boda ameua labda kumbe wanataka elfu 5 tu ya rushwa..wapo hapo firee..na kariakoo sanasana.
 
Haoo ni kuuwawa tuu ***** zao police wafanye kazi gani etyy polisi jamiii mbona kenya huku hakuna huoo ujinga
tangu lini umehamia kenya wewe? Wewe si ni jirani yangu kabisa hapa setumbi mbeya?
 

Hongera kwa kupewa haki yake huyo sungusungu mavi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…