Rais Samia: Haikuwa na maana kuchoma vifaranga wa kuku mpakani

Rais Samia: Haikuwa na maana kuchoma vifaranga wa kuku mpakani

Huwezi waza ya mbele bila kuwa na reference ya yaliyo pita. Na ndio maana hata ukiomba kazi wanaanza kukuuliza ulipo soma, ulipo zaliwa nk nk.
Akikujibu utanistua Nina pika dagaa kisha nisonge ugali
 
Mama anapenda kumshusha marehemu ili ye aonekane mwema ni tabia mbaya sana.
Hata bwana yule alimponda kijana was zaman wa msoga !! Muosha huoshwa !!!Mama samia tupo nyuma yako !!! Kazi iendeleeeeeeee!!!! Washamba tupa choooni
 
Chief Hangaya ni muhuni tu. Hata kuongoza SACCOS hawezi yule.

Huwezi kuongoza nchi kwa kudekezana. Lazima waovu waumie ili nchi isonge.

Ukiruhusu biashara haramu na za kinyemela unaua nchi. Watakushika makalio na watazoea.

Nchi inaongozwa kwa maamuzi magumu kama ikihitajika, na sio kwa urojo na kupeti peti MAJIZI na wahalifu.
Katoe govi wewe msukuma
 
Hangaya ni msanii tu wala hajui lolote kuhusu uchumi.

Nasikia alikuwa sekretari wa NGO anahudumia dawati la jinsia.

Halafu hapa anajitutumua kumpinga MKEMIA the Bulldozer JPM... !! Weee thubutuu!!

Hata huo mshahara tunaomlipa sijui kama anajua unatoka wapi. Yeye akifika hazina anachota tu anatia kwenye kapu anaruka kwenda zenji kutalii na kunywa kahawa.

This Hangaya woman is an illiterate FAT busy body. She is uneducated and lacks the necessary knowledge on how to run the economy.

Yeye ni kula kashata tu.
Cumer wewe huna jipya katoe govi
 
Chief Hangaya ni "mjinga wa kiuchumi" . She is an ignoramus when it comes to economy.

Nchi zote zilizoendelea kiuchumi lazima zinazingatia ulinzi wa bidhaa za ndani.

Because otherwise you are going to be a dumping site. Bidhaa za ndani zitakufa na zitashuka thamani. Unaua uchumi wa wafanyabiashara.

Sijui kala maharage ya wapi huyu bibi! Mhhh!
Bwana yule ndio alikuwa hajui kitu !!! Unamtetea kwa kuwa wewe ni kilaza Og!
 
Hilo siyo suala la TBS, ni la customs. Sababu ilikuwa kuingiza vifaranga bila ya kufuata taratibu zote zinazotakiwa. Hakuna hata aliyewapima vifaranga na kugundua walikuwa na magonjwa.

Tatizo ilikuwa violation of customs procedures.
kwahiyo kipi kilitakiwa kufaanyika badala ya kuwachoma moto swala ambalo limekosolewa hadharani na aliekua makamu wa rais wa wakati huo ambae kwa sasa ndie amiri jeshi mkuu na rais wa JMT.
 
kwahiyo kipi kilitakiwa kufaanyika badala ya kuwachoma moto swala ambalo limekosolewa hadharani na aliekua makamu wa rais wa wakati huo ambae kwa sasa ndie amiri jeshi mkuu na rais wa JMT.
Mimi nadhani, jambo la kwanza, yule Mtanzania ambaye alikuwa amenunua vifaranga toka Kenya kwa sh 12m, angepewa siku chache za kukamilisha documentation huko mamlaka za Kenya. Kama angefanikiwa kukamilisha documentation, kisha aendelee na vifaranga wake. Kama angeshindwa, angegharamia upimaji wa vifaranga, angelipishwa fine. Kama vifaranga wana magonjwa ya mlipuko, wangetekezwa.
 
Utalindaje wazalishaji wa ndani, bei za bidhaa nchi jirani ziko chini na mipaka ya nchi ipo wazi kila pembe kupitisha magendo, Tunaenda kuua viwanda vya ndani
Mkuu bora tu vife kieleweke, hatuhitaji vife lakini hakuna namna...fikiria kilo ya sukari pale Mutukula (mpakani mwa TZ na Uganda) kilo moja ni elfu mbili 2000/ lakini Missenyi kilo ya sukari 2800/3000, (yaani ndani ya eneo moja kuna bei tofauti) na hapo hapo Missenyi kuna kiwanda cha Kagera sugar, sasa unawaza bila kupata majibu. Unadhani mtu atacha sukari ya elfu mbili aende kununua ya elfu tatu? Hata kama ni wewe unaweza kufanya hivyo eti unalinda viwanda vya ndani?.
 
Mfano wewe ni konda je dereva akikataa kusimama kutuoni kuchukua vichwa utamfanyaje?
... halafu unamsifu dereva wangu alikuwa vizuri? Laani kwanza matendo ya dereva; sio unamsifu kinafiki wakati unajua kabisa alikuwa ovyo.
 
..inaelekea Maza alikuwa hasikilizwi au alikuwa akiburuzwa tu.

..Ndio maana anazungumza mambo ambayo alitakiwa ayazungumze alipokuwa Makamu.
Nadhani anatafuta umaarufu wa bei ndogo tu, kama KWELI angekuwa mkweli kwa nafsi yake, ALIATAHILI KUJIUZULU wakati uleule.
 
Back
Top Bottom