Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ujumbe wangu ni kwamba Samia ni mnafiki na anafikiri kuwa kila mtu ni mjinga kama wewe.Yeye alikuwa ni makamu wa Rais kipindi vifaranga vinachomwa moto,ametuambia kuwa alifanya jitihadha gani yeye kama makamu wa Rais kipindi hicho ili kuokoa vifaranga visichomwe moto?
Mbona hata marehemu ilikuwa ndo tabia yake kuwashusha wenzake waliopita.
Yeye alidiriki kusema waliopita hawajafanya chochote zaidi ya ufisadi na akawataka wakae kimya.
Leo anapimiwa sawa na alivyowapimia wenzake.
Ukiua kwa upanga nawe utakufa kwa upanga.
Kama mambo yalikosewa asiseme?.. uyo marehemu yeye mangapi alikuwa akiyasema?Mama anapenda kumshusha marehemu ili ye aonekane mwema ni tabia mbaya sana.
Wee jamaa ni roho mbaya kama ulivojiandikaUtalindaje wazalishaji wa ndani, bei za bidhaa nchi jirani ziko chini na mipaka ya nchi ipo wazi kila pembe kupitisha magendo, Tunaenda kuua viwanda vya ndani
Huu ni ushahidi nchi inaanza kuelewa maana ya ujirani mwema na soko huriaKatika kongamano la biashara lililofanyika Ikulu jijini Dar es Salaam ambalo limehusisha viongozi wawili wakubwa ambao ni Rais wa Uganda Yoweri Museveni na Rais wa Tanzania Samia Hassan Suluhu.
Rais wa Tanzania Samia Suluhu amesema kwamba hakukuwa na haja ya kuchoma vifaranga waliokamatwa nchini Tanzania kutoka nchi jirani.
Amesema pia kuna kipindi ilitokea pia Sukari kutoka nchi ya Uganda iligomewa na wafanya biashara kutoka Tanzania, hivyo amemueleza Rais Museven kwamba hivi sasa Sukari kutoka Uganda itanunuliwa na wafanyabiashara wa Tanzania!
Amehimiza pia kwamba vikwazo vya kibiashara kati ya nchi hizi mbili viondolewe!
Hayo yamesemwa wakati Kongamano hilo likifungwa.
Vipo wapi hivyo viwanda????Utalindaje wazalishaji wa ndani, bei za bidhaa nchi jirani ziko chini na mipaka ya nchi ipo wazi kila pembe kupitisha magendo, Tunaenda kuua viwanda vya ndani