Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
RIP Magufuri...Ulizungukwa na wajanja janja
Nadhani wakati huo alikuwa makamu wa Rais wa Zambia, Mungu atusaidie tuachane na huu unafiki!!Rais wa JMT mh Samia Suluhu Hassan amesifu ushirikiano wa nchi za Afrika mashariki na kusema tulikuwa tunachomeana kuku mipakani, dhambi tupu viumbe wa Mungu tunamwaga petrol kuwachoma haikuwa na maana.
Rais Samia amesema hayo katika kongamano la Wafanyabiashara wa Tanzania na Uganda.
Source: Swahili times
angeongea kipindi kile bwana mungu wa kaboud yuko na pumzi yake angekabwa & kubakwa Area D mchana kweupe maana yule baba hakutaka kabisa kupangiwa ndio maana aliamua kutokupangiwa kukwepa kifo cha corona... kipindi hicho hayo yanafanyika alikuwa wapi?
Na yeye kaja na dhambi nyingi tu ni kwa vile anajidanganya. BTW inaonyesha kabisa utawala wa Magufuli huyu mama alikuwa kama ''pet'' wa nyumbani tu. Viongozi wa kiafrika kwa unafiki wanachukuwa kombe. Kusifu kote kule kumbe ilikuwa unafiki tu.Kubambikia wengine kesi sio dhambi?
Amesahau dhambi mbaya zaidi ya kupiga watu risasi? Kuua watu na kuwatupa baharini? Kuua watu na kuwafunga kwenye viroba kama mihogo?. Kamwe Mungu hatawasamehe Ccm na serikali yake. Mwanadamu aliumbwa kwa mfano wa Mungu. Ni familia ngapi? Ni yatima wangapi? Walio sababishiwa haya mateso na Serikali ya Ccm. Mama Samia akiwa namba mbili kwenye huu utawala. Mungu ange msanehe kama ange nawa mikono yake iwe safi. Sasa bado ana endekeza mateso kwa familia ya Mbowe na wenzake kwa kesi ya kuchonga.. Mungu wetu ata tenda.Rais wa JMT mh Samia Suluhu Hassan amesifu ushirikiano wa nchi za Afrika mashariki na kusema tulikuwa tunachomeana kuku mipakani, dhambi tupu viumbe wa Mungu tunamwaga petrol kuwachoma haikuwa na maana.
Rais Samia amesema hayo katika kongamano la Wafanyabiashara wa Tanzania na Uganda.
Source: Swahili times
Afute kesi ya Mbowe. Machozi ya hizi familia hayata muacha salamaInaonekana, Anaogopa Dhambi za hadharani huyu Hangaya .
Wanasiasa wanafiki sana... kipindi hicho hayo yanafanyika alikuwa wapi?
kama vipimo vimeonesha au mmepata wasiwasi si mnavirudisha tu vifaranga vya watu huko vilikotoka.."wenzake tayari wanatumikia sentence zao, yeye kakimbilia Nairobi nadhani ni calculation tu". Hapa siyo dhambi, dhambi ni kuchoma kuku wenye magonjwa waliokuwa wanaingia nchi bila kujali sheria transboundary movement of live animal. Kama nchi tupo tayari kuingiza magonjwa nchini kudhuru afya ya walaji almradi kufurahisha majirani? Tufuate sheria zilizopo.
Kuna uwezekano kuwa ilisukwa mbinu ya hali ya juu kabisa ''ku-fix'' jiwe. Kila nikiona mambo yanavyokwenda kwa haraka sasa hivi nazidi kupata mashaka kuwa alitumiwa virus kwa kutumia mkakati mkali sana. Na yeye alilewa madaraka na kujisahau mno. Alichotakiwa kufanya ni kubadilisha katiba kabla ya uchaguzi wa 2020 na kufanya makamu asiwe tena president in waiting...subiri matusi toka kwa genge la mataga.
Samia anathamini vifaranga kuliko watanzania ...Rais wa JMT mh Samia Suluhu Hassan amesifu ushirikiano wa nchi za Afrika mashariki na kusema tulikuwa tunachomeana kuku mipakani, dhambi tupu viumbe wa Mungu tunamwaga petrol kuwachoma haikuwa na maana.
Rais Samia amesema hayo katika kongamano la Wafanyabiashara wa Tanzania na Uganda.
Source: Swahili times
Kuna uwezekano kuwa ilisukwa mbinu ya hali ya juu kabisa ''ku-fix'' jiwe. Kila nikiona mambo yanavyokwenda kwa haraka sasa hivi nazidi kupata mashaka kuwa alitumiwa virus kwa kutumia mkakati mkali sana. Na yeye alilewa madaraka na kujisahau mno. Alichotakiwa kufanya ni kubadilisha katiba kabla ya uchaguzi wa 2020 na kufanya makamu asiwe tena president in waiting.
😁😁😁😁😁Samia na Mwendazake kitu kimoja.