Rais Samia: Haikuwa na maana kuchoma vifaranga wa kuku mpakani

Rais Samia: Haikuwa na maana kuchoma vifaranga wa kuku mpakani

Yule Bwana alikuwa na chuki Sana na Kenya hasa baada ya kumpokea Lisu.Pia Swahiba wake odinga kubwagwa kwenye kura.
Kwa chuki Ili Wakenya wafe njaa akafunga mipaka Hakuna kupeleka mahindi Kenya wakati ukame umeipiga Kenya, huku tza mahindi yakioza kwa kukosa soko.

Kenya akamua kununua mahindi Zambia Zambia ikapiga pesa kwa kuuza mahindi Kenya,Wabongo wachache wakajiongeza wakaenda zambia wakachukua malori plate namba za zambia wakachukua mahindi Tza wapakia plate namba za zambia wakaingia Kenya kuuza mahindi.

Kaja kufungua mipaka baada ya hasira zake kuisha mahindi za zambia yamejaa Kenya huku Kenya nao wakivuna ya kwao mvua ilifanikiwa kunyesha, wakulima wa watz wakakosa soko.
 
Sio kupiga moto, zipo njia zingine softly za kuwaangamiza hao vifaranga.
Hahahahaha. .....upo sahihi, lkn mwisho wa siku kuteketeza ni kuteketeza. Kupiga kiberiti ni njia ya uhakika zaidi
 
Hiyo nchi itakubali kuwapokea tena wakati lab test kwa upande wetu imeshadhihirisha kuwa vifaranga vile vina infestation of quarantine importance? Kenya wenyewe wapo tayari kupeleka mlipuko wa magonjwa kwao? Kupiga kiberiti ilikuwa ni suluhusho ili kuzuia magonjwa ya mifugo kuingia nchini. Ndo utaratibu wa quarantine duniani.
Ukumbuke vifaranga vile siyo vya nchi ni vya individual mfugaji, shipping ilifanyika kinyemela kati Wafanyabiashara wa pande mbili bila kufuata utaratibu. Imekuja kubainika kwamba vifaranga vina shida, Kenya itawapokea?! Never on earth. Watakwambia infestation ilitokea at the point of entry kwa bakini na mzigo wenu huko.
Your quite wrong wale vifaranga sio kweli hawakupimwa,ila walivushwa kwa njia ya magendo au hawakuwa na karatasi ya uhamisho.
Na ni kwamba waliokamata walitaka rushwa ndio iliposhindikana picha ya rangi ikageuka black and white
 
Acha uwongo. Vifaranga hawakuwa na magonjwa, walikosa tu nyaraka. Jambo ambalo kama tungekuwa na watendaji wenye akili, ufumbuzi haikuwa kuchoma vifaranga.
Tena hiyo ya kukosa nyaraka ilitakiwa kiberiti ya haraka plus kupiga pingu aliyekuwa anaingiza nchini. Manake analeta live animals ambayo hygiene yao haijulikani. Inakuwaje kama Kenya ilikuwa inacolude naye ili kuleta magonjwa ya mifugo nchini ili kuhujumu nchi? Ukute walitaka kuleta magonjwa ya mlipuko nchini iathiri watu wetu plus wanyama wetu? Haya mambo ya usalama Wa nchi siyo ya kuonenana huduma. No. Ni kufuata utaratibu unaokubalika
 
Rais wa JMT mh Samia Suluhu Hassan amesifu ushirikiano wa nchi za Afrika mashariki na kusema tulikuwa tunachomeana kuku mipakani, dhambi tupu viumbe wa Mungu tunamwaga petrol kuwachoma haikuwa na maana.

Rais Samia amesema hayo katika kongamano la Wafanyabiashara wa Tanzania na Uganda.

Source: Swahili times
Jiwe ndugu yangu akili zake anazijua mwenyewe
 
Hiyo nchi itakubali kuwapokea tena wakati lab test kwa upande wetu imeshadhihirisha kuwa vifaranga vile vina infestation of quarantine importance? Kenya wenyewe wapo tayari kupeleka mlipuko wa magonjwa kwao? Kupiga kiberiti ilikuwa ni suluhusho ili kuzuia magonjwa ya mifugo kuingia nchini. Ndo utaratibu wa quarantine duniani.
Ukumbuke vifaranga vile siyo vya nchi ni vya individual mfugaji, shipping ilifanyika kinyemela kati Wafanyabiashara wa pande mbili bila kufuata utaratibu. Imekuja kubainika kwamba vifaranga vina shida, Kenya itawapokea?! Never on earth. Watakwambia infestation ilitokea at the point of entry kwa bakini na mzigo wenu huko.
Wasipokee kwa sababu gani? Si vimetoka kwao? Mliwarudishia wakavikataa? Au shobo zenu tu kuwahi kuvipigq kiberiti kwa chuki mlizojijengea awamu ile.
 
Roho za vifaranga waliouawa kwa MOTO zilishajibu mapigo.
Kweli kabisa mkuu. Yaani uchome vifaranga vikiwa hai halafu Mwenyezi Mungu akuache tu uendelee na utesi wa kila aina! Ni ukatili wa hali ya juu sana imagine vidaranga vina damu na roho kama binadamu alivyo. Aise inasikitisha sana.
 
"wenzake tayari wanatumikia sentence zao, yeye kakimbilia Nairobi nadhani ni calculation tu". Hapa siyo dhambi, dhambi ni kuchoma kuku wenye magonjwa waliokuwa wanaingia nchi bila kujali sheria transboundary movement of live animal. Kama nchi tupo tayari kuingiza magonjwa nchini kudhuru afya ya walaji almradi kufurahisha majirani? Tufuate sheria zilizopo.
Magonjwa gani?
 
Hahahahaha. .....upo sahihi, lkn mwisho wa siku kuteketeza ni kuteketeza. Kupiga kiberiti ni njia ya uhakika zaidi


Ni njia ya kikatili na ubaya wake ni hii kwamba kama watu tutaweza kuzoea kuangamiza viumbe hai wenzetu basi ipo siku sisi kwa sisi kuangamizanakwa moto pale inapotokea uhasama litakuwa ni jambo jepesi na fahari kulitekeleza, kifupi ni kwamba maangamizo ya moto yanakomaza roho ya muangamizaji drastically--- hajuna adhabu ya mauaji iliyokuwa kali kuliko zote kama kuua kwa moto na ndio maana katika Uisilamu (sijui kwenye dini zingine) ni haramu kuua kiumbe CHOCHOTE kwa kutumia moto na mtu yeyote aliyekufa kwa moto Mungu humfutia madhambi yake yote.
 
Tena hiyo ya kukosa nyaraka ilitakiwa kiberiti ya haraka plus kupiga pingu aliyekuwa anaingiza nchini. Manake analeta live animals ambayo hygiene yao haijulikani. Inakuwaje kama Kenya ilikuwa inacolude naye ili kuleta magonjwa ya mifugo nchini ili kuhujumu nchi? Ukute walitaka kuleta magonjwa ya mlipuko nchini iathiri watu wetu plus wanyama wetu? Haya mambo ya usalama Wa nchi siyo ya kuonenana huduma. No. Ni kufuata utaratibu unaokubalika
Magufur ndiyo kiboko ya wakenya maana wakenya walitutesa Sana miaka 30 walikuwa wanaingia Tanzania bila viba wanafanya kaz za ualimu bila kibali cha kaz wa uhamiaji sasa wataanza kutamba tena
 
Ukisha-condemn kuwa shehena flani ya live animals or animal parts ina magonjwa flani of quarantine importance hawapokelewi tena hata huko walipotoka. Kwa hiyo Kenya isingekubali kupokea tena wale viranga kwa sababu wangeenda kueneza magonjwa kwao. Huo ndo utaratibu wa quarantine duniani kote. Ilikuwa sahihi kupiga kiberiti. Wanasiasa wasitumie ubumbumbu wao kuhadaa jamii. Watafute facts na sheria ya mipaka ya nchi. Nchi yetu ni signatory ya mikataba kadhaa ya kimataifa ikiwemo quarantine issues.
Mli confirm wapi kwamba Wana magonjwa? Mbona Kenya walilalamika?
 
Magufur ndiyo kiboko ya wakenya maana wakenya walitutesa Sana miaka 30 walikuwa wanaingia Tanzania bila viba wanafanya kaz za ualimu bila kibali cha kaz wa uhamiaji sasa wataanza kutamba tena
Walikuwa wanawatesaje? Tueleze..
 
Your quite wrong wale vifaranga sio kweli hawakupimwa,ila walivushwa kwa njia ya magendo au hawakuwa na karatasi ya uhamisho.
Na ni kwamba waliokamata walitaka rushwa ndio iliposhindikana picha ya rangi ikageuka black and white
Daktari gani atapima kitu ambacho kimeingia kimagendo nchini? Manake walikuja kupimwa baada ya kukamatwa ili nchi ijiridhirishe kulikuwa attempt gani kutoka kwa jirani zetu. Utaratibu wa custom unajulikana, vipimo vinachuliwa custom, sasa wale walipimwaje halafu wakose permits?
 
Wasipokee kwa sababu gani? Si vimetoka kwao? Mliwarudishia wakavikataa? Au shobo zenu tu kuwahi kuvipigq kiberiti kwa chuki mlizojijengea awamu ile.
Wao wapo tayari kupokea vifaranga ambayo tayari washaingia nchi nyingine ambapo hujui wanarudi Na virusi au bacteria gani? Kenya siyo wajinga.
 
Back
Top Bottom