Mbona Kenya hawakuiteketeza dhahabu ya Tanzania iliyokuwa imeingia kwa magendo? Wakairudisha Tanzania.Daktari gani atapima kitu ambacho kimeingia kimagendo nchini? Manake walikuja kupimwa baada ya kukamatwa ili nchi ijiridhirishe kulikuwa attempt gani kutoka kwa jirani zetu. Utaratibu wa custom unajulikana, vipimo vinachuliwa custom, sasa wale walipimwaje halafu wakose permits?
Mbona hawakutaifisha ng'ombe 9,000 waliokuwa wameingia Kenya, wakati sisi tulitaifisha ng'ombe 4,000 walioingia Tanzania?
Sisi tulikosa tu uongozi wa hekima.