Rais Samia: Haikuwa na maana kuchoma vifaranga wa kuku mpakani

Rais Samia: Haikuwa na maana kuchoma vifaranga wa kuku mpakani

Magonjwa gani?
Nenda kasome sheria ya kimataifa ya transboundary movement of live animals ili ujue magonjwa gani ya karantini kila nchi inahakikisha hayaingii nchini. Unadhani ni biashara ya pipi hiyo? Kwa upande wa mimea tuna mambo ya sanitary and phytosanitary. That's it.
 
Daktari gani atapima kitu ambacho kimeingia kimagendo nchini? Manake walikuja kupimwa baada ya kukamatwa ili nchi ijiridhirishe kulikuwa attempt gani kutoka kwa jirani zetu. Utaratibu wa custom unajulikana, vipimo vinachuliwa custom, sasa wale walipimwaje halafu wakose permits?
Ndio sababu umeshindwa kuwa na reference sababu ya waliohusika hawakujiogeza ndio shida ya kuwa na makasuku wa fani.
Jenga hoja in 3 D dogo.
 
Nenda kasome sheria ya kimataifa ya transboundary movement of live animals ili ujue magonjwa gani ya karantini kila nchi inahakikisha hayaingii nchini. Unadhani ni biashara ya pipi hiyo? Kwa upande wa mimea tuna mambo ya sanitary and phytosanitary. That's it.
Sio nikasome..mliyabaini au chuki za Jiwe kwa Kenya? Jiwe alikuwa mtu mshari sana
 
Ni njia ya kikatili na ubaya wake ni hii kwamba kama watu tutaweza kuzoea kuangamiza viumbe hai wenzetu basi ipo siku sisi kwa sisi kuangamizanakwa moto pale inapotokea uhasama litakuwa ni jambo jepesi na fahari kulitekeleza, kifupi ni kwamba maangamizo ya moto yanakomaza roho ya muangamizaji drastically--- hajuna adhabu ya mauaji iliyokuwa kali kuliko zote kama kuua kwa moto na ndio maana katika Uisilamu (sijui kwenye dini zingine) ni haramu kuua kiumbe CHOCHOTE kwa kutumia moto na mtu yeyote aliyekufa kwa moto Mungu humfutia madhambi yake yote.
Hahahahaha.......siyo Kwa wanyama tu. Leo hii ukisafirisha let say parachichi EU ikaonekena kuwa na magonjwa flani au wadudu flani of quaratin importance wanatoa notification Dunia mzima kuwa shehena flani ya parachichi kutoka Tanzania ilikuwa inaingiza wadudu au magonjwa hatarishi EU., Mara moja wanapiga ban na parachichi inapigwa kiberiti hukohuko, hawakurudishii. Kutoka hapo hakuna nchi itakayonunua parachichi ya Tanzania hadi pale utakpoihakikishia Dunia sasa parachichi yako imekidhi matakwa ya usafi unaokubalika kidunia; sanitary and phytosanitary requirements. Short of that utakula mwenyewe nchini kwako. Tukifikaga hapa ndo mnaanza kulialia ooh mabeberu yanatupiga vita. Kumbe ulikuwa unasafirishi vitu hatarishi kwa wengine. Kuna mambo mengi ambayo watanzania wanatakiwa tujielimishe kuliko kuwa wabishi.
 
Ukisha-condemn kuwa shehena flani ya live animals or animal parts ina magonjwa flani of quarantine importance hawapokelewi tena hata huko walipotoka. Kwa hiyo Kenya isingekubali kupokea tena wale viranga kwa sababu wangeenda kueneza magonjwa kwao. Huo ndo utaratibu wa quarantine duniani kote. Ilikuwa sahihi kupiga kiberiti. Wanasiasa wasitumie ubumbumbu wao kuhadaa jamii. Watafute facts na sheria ya mipaka ya nchi. Nchi yetu ni signatory ya mikataba kadhaa ya kimataifa ikiwemo quarantine issues.
Kwenye hili mbumbumbu ni wewe.

Vifaranga wale waliochumwa, tatizo halikuwa ugonjwa, bali sababu iliyotolewa hawakuwa na proper documentation.
 
Hiyo nchi itakubali kuwapokea tena wakati lab test kwa upande wetu imeshadhihirisha kuwa vifaranga vile vina infestation of quarantine importance? Kenya wenyewe wapo tayari kupeleka mlipuko wa magonjwa kwao? Kupiga kiberiti ilikuwa ni suluhusho ili kuzuia magonjwa ya mifugo kuingia nchini. Ndo utaratibu wa quarantine duniani.
Ukumbuke vifaranga vile siyo vya nchi ni vya individual mfugaji, shipping ilifanyika kinyemela kati Wafanyabiashara wa pande mbili bila kufuata utaratibu. Imekuja kubainika kwamba vifaranga vina shida, Kenya itawapokea?! Never on earth. Watakwambia infestation ilitokea at the point of entry kwa bakini na mzigo wenu huko.
Hizo ni story zako. Vifaranga hawakuwa na magonjwa. Ulisikia sababu iliyotolewa au unaitengeneza wewe?
 
Ndio sababu umeshindwa kuwa na reference sababu ya waliohusika hawakujiogeza ndio shida ya kuwa na makasuku wa fani.
Jenga hoja in 3 D dogo.
Hahahahaha . ...kwenye hili eneo nipo well informed. Kasome mambo sanitary and phytosanitary matters (SPS). Achana na story za vijiweni kwamba ukaingiza nchini nyama ya ng'ombe wenye antranx afu urudishe ilikotoka. Wapi imetokeaga?
 
"wenzake tayari wanatumikia sentence zao, yeye kakimbilia Nairobi nadhani ni calculation tu". Hapa siyo dhambi, dhambi ni kuchoma kuku wenye magonjwa waliokuwa wanaingia nchi bila kujali sheria transboundary movement of live animal. Kama nchi tupo tayari kuingiza magonjwa nchini kudhuru afya ya walaji almradi kufurahisha majirani? Tufuate sheria zilizopo.
Akili ya kushikishwa.
 
Rais wa JMT mh Samia Suluhu Hassan amesifu ushirikiano wa nchi za Afrika mashariki na kusema tulikuwa tunachomeana kuku mipakani, dhambi tupu viumbe wa Mungu tunamwaga petrol kuwachoma haikuwa na maana.

Rais Samia amesema hayo katika kongamano la Wafanyabiashara wa Tanzania na Uganda.

Source: Swahili times
Ni sawa na kusema.....upuuzi mtupu... sema kaimalizia kishikaji
 
Sisi tulimkemea Luhaga Mpina waziwazi kwa ile misifa yake aliyofanya kuchoma vifaranga mbele ya makamera. Yani wasukuma mlichotufanyia mmejichumia laana kubwa sana!
 
Kwenye hili mbumbumbu ni wewe.

Vifaranga wale waliochumwa, tatizo halikuwa ugonjwa, bali sababu iliyotolewa hawakuwa na proper documentation.
Basi poa. Kama hakuna documentation unatakiwa ufanyaje kutokana na sheria za forodha? Kwamba uanze kubembeleza kuwarudisha? Hakunaga duniani. Labda huko Lumumba
 
Back
Top Bottom