Hiyo nchi itakubali kuwapokea tena wakati lab test kwa upande wetu imeshadhihirisha kuwa vifaranga vile vina infestation of quarantine importance? Kenya wenyewe wapo tayari kupeleka mlipuko wa magonjwa kwao? Kupiga kiberiti ilikuwa ni suluhusho ili kuzuia magonjwa ya mifugo kuingia nchini. Ndo utaratibu wa quarantine duniani.
Ukumbuke vifaranga vile siyo vya nchi ni vya individual mfugaji, shipping ilifanyika kinyemela kati Wafanyabiashara wa pande mbili bila kufuata utaratibu. Imekuja kubainika kwamba vifaranga vina shida, Kenya itawapokea?! Never on earth. Watakwambia infestation ilitokea at the point of entry kwa bakini na mzigo wenu huko.