Rais Samia: Haikuwa na maana kuchoma vifaranga wa kuku mpakani

Rais Samia: Haikuwa na maana kuchoma vifaranga wa kuku mpakani

Chief Hangaya ni "mjinga wa kiuchumi" . She is an ignoramus when it comes to economy.

Nchi zote zilizoendelea kiuchumi lazima zinazingatia ulinzi wa bidhaa za ndani.

Because otherwise you are going to be a dumping site. Bidhaa za ndani zitakufa na zitashuka thamani. Unaua uchumi wa wafanyabiashara.

Sijui kala maharage ya wapi huyu bibi! Mhhh!
Umekariri uchumi. Rudi shule
 
Tanzania kununua sukari Uganda ni ujinga kupitiliza .

Wakati mwingine nchi yetu kama nchi inakosa thinktank kila kitu tunamwachia Rais atuamulie hata kama kina madhara kwa taifa.

Tanzania haiwezi kuwa nchi ya kununua tu hata pale tunapoweza kama nchi.Uganda inaingia mara nne au zaidi iweje Rais ashabikie tununue sukari badala ya kuweka mikakati ya kuzalisha sukari ya kutosha hapa nchini.
Bila shaka una hisa kwenye viwanda vya sukari, ulikuwa wap kuja na mkakati unaotaka ufanyike?; Rais tunaomba lete sukari ya Uganda. Kanda ya ziwa ni shida tujitafakari.
 
Hahahahaha.......siyo Kwa wanyama tu. Leo hii ukisafirisha let say parachichi EU ikaonekena kuwa na magonjwa flani au wadudu flani of quaratin importance wanatoa notification Dunia mzima kuwa shehena flani ya parachichi kutoka Tanzania ilikuwa inaingiza wadudu au magonjwa hatarishi EU., Mara moja wanapiga ban na parachichi inapigwa kiberiti hukohuko, hawakurudishii. Kutoka hapo hakuna nchi itakayonunua parachichi ya Tanzania hadi pale utakpoihakikishia Dunia sasa parachichi yako imekidhi matakwa ya usafi unaokubalika kidunia; sanitary and phytosanitary requirements. Short of that utakula mwenyewe nchini kwako. Tukifikaga hapa ndo mnaanza kulialia ooh mabeberu yanatupiga vita. Kumbe ulikuwa unasafirishi vitu hatarishi kwa wengine. Kuna mambo mengi ambayo watanzania wanatakiwa tujielimishe kuliko kuwa wabishi.


Nani mbishi ?? au huelewi kitu gani tunachosema??--- bidhaa yoyote yenye madhara au hatarishi ni lazima iangamizwe, sasa inaangamizwaje??!!, hapo ndipo mjadala ulipo, je viumbe hai wenye madhara nao waangamizwe kama sub standard goods from China??!!, wala haiingii akilini Kuua kwa kuchoma moto viumbe hai wenye madhara kama jinsi vipodozi vyenye madhara vinavyochomwa moto, kumbuka wewe ni kiumbe hai kama hao vifaranga, tofauti kati yako na kuku/kifaranga ni moja tu kwamba wewe unajitambua na yeye hajitambui lakini mambo mengine yote kimsingi mnafanana, na hata hao EU na Marekani huwa hawaangamizi kwa MOTO mifugo yenye madhara.

Sisi au mimi ninapinga kuangamiza viumbe hai kwa moto, itumike njia zingine Soft izilizopo na sio kuangamiza kwa MOTO kwani lengo la kuangamiza sio adhabu na mateso kwa hicho kiumbe bali ni sisi kujiepusha na madhara yatokanayo na hao viumbe.
 
Nani mbishi ?? au huelewi kitu gani tunachosema??--- bidhaa yoyote yenye madhara au hatarishi ni lazima iangamizwe, sasa inaangamizwaje??!!, hapo ndipo mjadala ulipo, je viumbe hai wenye madhara nao waangamizwe kama sub standard goods from China??!!, wala haiingii akilini Kuua kwa kuchoma moto viumbe hai wenye madhara kama jinsi vipodozi vyenye madhara vinavyochomwa moto, kumbuka wewe ni kiumbe hai kama hao vifaranga, tofauti kati yako na kuku/kifaranga ni moja tu kwamba wewe unajitambua na yeye hajitambui lakini mambo mengine yote kimsingi mnafanana, na hata hao EU na Marekani huwa hawaangamizi kwa MOTO mifugo yenye madhara.

Sisi au mimi ninapinga kuangamiza viumbe hai kwa moto, itumike njia zingine Soft izilizopo na sio kuangamiza kwa MOTO kwani lengo la kuangamiza sio adhabu na mateso kwa hicho kiumbe bali ni sisi kujiepusha na madhara yatokanayo na hao viumbe.
Zitaje hizo njia nyingine Bwa Shekhe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kwani sheria za kimataifa zinasemaje kuhusu uingizaji wa bidhaa kiholela,vipi TBS wanasemaje
 
Hahahahaha . ...kwenye hili eneo nipo well informed. Kasome mambo sanitary and phytosanitary matters (SPS). Achana na story za vijiweni kwamba ukaingiza nchini nyama ya ng'ombe wenye antranx afu urudishe ilikotoka. Wapi imetokeaga?
Ndio sababu ya kuitwa kasuku,jiongeze dogo sio kukariri tu.your out of phase so 😥 😔
 
Rais wa JMT mh Samia Suluhu Hassan amesifu ushirikiano wa nchi za Afrika mashariki na kusema tulikuwa tunachomeana kuku mipakani, dhambi tupu viumbe wa Mungu tunamwaga petrol kuwachoma haikuwa na maana.

Rais Samia amesema hayo katika kongamano la Wafanyabiashara wa Tanzania na Uganda.

Source: Swahili times
Raisi mwingine atakuja, atalalamika wananchi kuwekewa Tozo kwenye miamala. Yaani Samia anataka kujisafisha kuwa hakuhusika na hiyo dhambi wakati yeye alikuwa makamu wa raisi

Ni upuuzi mtupu kuwa na viongozi wahuni wahuni
 
Kama elimu yako ni ya ubabaishaji na walimu wako wa kitanzania ni vilaza ni bora walimu wa Kenya waje watufaulishie watoto wetu.

Wewe kaa unainba kiswahili hadi unapandisha jaji cheo kwa hukumu ya kiswahili.
kuja sitatizo Wana takiwa warfare utaratibu,Wao ni masikin wakutupwa Bora masikin wa Tanzania anao uwezo wakununua ardhi ata ya kujenga vyumba vitatu vya kulala
 
Kwenye hili mbumbumbu ni wewe.

Vifaranga wale waliochumwa, tatizo halikuwa ugonjwa, bali sababu iliyotolewa hawakuwa na proper documentation.

Kukosa documentation ni number one qualification kupigwa kiberiti na mhusika kwenda prison. Maana kama hakuna documentation ni magendo, na ni havijulikani vilikotoka wapi, kwahiyo si Tz wala Ke wangekubali vinatoka kwao.
 
Rais wa JMT mh Samia Suluhu Hassan amesifu ushirikiano wa nchi za Afrika mashariki na kusema tulikuwa tunachomeana kuku mipakani, dhambi tupu viumbe wa Mungu tunamwaga petrol kuwachoma haikuwa na maana.

Rais Samia amesema hayo katika kongamano la Wafanyabiashara wa Tanzania na Uganda.

Source: Swahili times
Hivi kuna ccm ngapi ?
 
Nenda kasome sheria ya kimataifa ya transboundary movement of live animals ili ujue magonjwa gani ya karantini kila nchi inahakikisha hayaingii nchini. Unadhani ni biashara ya pipi hiyo? Kwa upande wa mimea tuna mambo ya sanitary and phytosanitary. That's it.
Hangaya hajui hii kitu.

Ni mbumbumbu wa mambo ya usalama wa nchi.
 
Tanzania kununua sukari Uganda ni ujinga kupitiliza .

Wakati mwingine nchi yetu kama nchi inakosa thinktank kila kitu tunamwachia Rais atuamulie hata kama kina madhara kwa taifa.

Tanzania haiwezi kuwa nchi ya kununua tu hata pale tunapoweza kama nchi.Uganda inaingia mara nne au zaidi iweje Rais ashabikie tununue sukari badala ya kuweka mikakati ya kuzalisha sukari ya kutosha hapa nchini.
Ha ha ha
Ukishakuwa rais unakuwa na akili na busara nyingi kuliko mtu yoyote.
 
Rais wa JMT mh Samia Suluhu Hassan amesifu ushirikiano wa nchi za Afrika mashariki na kusema tulikuwa tunachomeana kuku mipakani, dhambi tupu viumbe wa Mungu tunamwaga petrol kuwachoma haikuwa na maana.

Rais Samia amesema hayo katika kongamano la Wafanyabiashara wa Tanzania na Uganda.

Source: Swahili times
Kama ni kweli. Rais wetu amesema hivyo ni wazi Kuna tatizo mahala kuhusu washauri wa Rais
 
Back
Top Bottom