Kivumishi Kielezi
JF-Expert Member
- Nov 1, 2019
- 1,028
- 2,451
Kazi gani yule msanii tu.Mwacheni rais afanye kazi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kazi gani yule msanii tu.Mwacheni rais afanye kazi
Mbowe ni swala la kisheria zaidi siyo siasa!nimeona tofauti kubwa japokua kwa mwenyekiti chadema ndo kachemka
Unataka wananchi tuumie kisa tunalinda viwanda vya ndani?Utalindaje wazalishaji wa ndani, bei za bidhaa nchi jirani ziko chini na mipaka ya nchi ipo wazi kila pembe kupitisha magendo, Tunaenda kuua viwanda vya ndani
Zitapokewa vipi kama hakuwa na nyaraka zinazoonesha kwamba wametoka HukoWasipokee kwa sababu gani? Si vimetoka kwao? Mliwarudishia wakavikataa? Au shobo zenu tu kuwahi kuvipigq kiberiti kwa chuki mlizojijengea awamu ile.
Baada ya kutumia sumu then uchimbe shimo la futi 10 uvitie au uanviacha tu visambae ugonjwa uenee?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sheria yetu imeelekeza kuchoma viumbe hai?Tufuate sheria zilizopo.
Mbona hakuthubutu kuongea kipingi dikteta yupo hai?Rais wa JMT mh Samia Suluhu Hassan amesifu ushirikiano wa nchi za Afrika mashariki na kusema tulikuwa tunachomeana kuku mipakani, dhambi tupu viumbe wa Mungu tunamwaga petrol kuwachoma haikuwa na maana.
Rais Samia amesema hayo katika kongamano la Wafanyabiashara wa Tanzania na Uganda.
Source: Swahili times
Kila zama na kitabu chake!Mbona hakuthubutu kuongea kipingi dikteta yupo hai?
Ni unafiki mkubwa, unatakiwa kusema akina Lissu walisema wakaishia kupigwa risasi mchana tena kwenye ulinzi mkali wa police na CCTVKila zama na kitabu chake!
Timing ni muhimu manka!Ni unafiki mkubwa, unatakiwa kusema akina Lissu walisema wakaishia kupigwa risasi mchana tena kwenye ulinzi mkali wa police na CCTV
Hata wewe mama siyo mtu mzuri hukemei maovuTiming ni muhimu manka!
Asante mkuu kwa maswali mazuri. Nasubiri mabijibu, ingawa johnthebaptist anasema vibanda siyo viumbe hai.Mbona machinga nao mmewabomolea na kuharibu mali zao nini tofauti na kuchoma vifaranga?
Mlishindwa nini wasimamia watoe vibanda vyao.
Hata Yeye Alisema kuwa ni kitu kimoja na Mwendazake[emoji1787][emoji1787][emoji1787] hakuona kama ni dhambi kipindi hiko akemeePraise team watakuwa wameinuka na kushangilia [emoji122] kana kwamba sio wao walioshangilia uchomaji wa vifaranga uliofanywa na wasaidizi wa bwana yule.
it was one madman showNadhani wakati huo alikuwa makamu wa Rais wa Zambia, Mungu atusaidie tuachane na huu unafiki!!
Huyu mama inatakiwa awe na governor ya matamshi yake. Hayo yamefanywa na serikali aliyokuwa akiiongoza. Yeye kama makamu wa Rais alichukua hatua gani?Rais wa JMT mh Samia Suluhu Hassan amesifu ushirikiano wa nchi za Afrika mashariki na kusema tulikuwa tunachomeana kuku mipakani, dhambi tupu viumbe wa Mungu tunamwaga petrol kuwachoma haikuwa na maana.
Rais Samia amesema hayo katika kongamano la Wafanyabiashara wa Tanzania na Uganda.
Source: Swahili times