Trump kichaa wewe , anayoyafanya sasa hayahesabiki , ni kama chizi anachezacheza tu, kumtilia maanani chizi ! Loh!Kuwa mwanasiasa ni kung'ang'ania madaraka? Ametupwa yes lakini bado ana harakati zake za siasa hakuna anayekamata kamata na mikutano yake ina nyomi kawaida
Tatizo la kupenda kuongea sana hasa baada ya kuhisi kuwa unapendwa kuliko mtangulizi wako.Rais Samia anadai na hii namsikia mara ya pili au ya tatu, ati uchaguzi ukiisha Marekani panakuwa hakuna mikutano, isipokuwa ya kudai umeme ukikatika.
Wiki chache tu zilizopita Trump alikuwa na mkutano mkubwa wenye malengo ya 2024. Huyu Mzanzibari hajui siasa za dunia.
View attachment 1886683
Macho malegevuRais Samia anadai na hii namsikia mara ya pili au ya tatu, ati uchaguzi ukiisha Marekani panakuwa hakuna mikutano, isipokuwa ya kudai umeme ukikatika.
Wiki chache tu zilizopita Trump alikuwa na mkutano mkubwa wenye malengo ya 2024. Huyu Mzanzibari hajui siasa za dunia.
View attachment 1886683
Aliye lala ucmchokoze utalala wewe wahenga walituonyaNa Kikeke naye mwandishi wa hovyo! Kwa nini asingemkumbusha Samia kuwa anadanganya?
Sema ukweli hana uwezo hata wakua katibu kata,mpka kufika kua makamu ni kubebwa na chama kilichojaza wajingaRais Samia anadai na hii namsikia mara ya pili au ya tatu, ati uchaguzi ukiisha Marekani panakuwa hakuna mikutano, isipokuwa ya kudai umeme ukikatika.
Wiki chache tu zilizopita Trump alikuwa na mkutano mkubwa wenye malengo ya 2024. Huyu Mzanzibari hajui siasa za dunia.
View attachment 1886683
Kwani huku wanashindwaje kuwachukulia wanasiasa kama machizi tu na vikao vyao serikali ikiendelea na mambo yake? Mbona mara nyingi wanawakamata wakiwa na vikao vyao tu wametulia hawana silaha, hawajapigana na mtu,Trump kichaa wewe , anayoyafanya sasa hayahesabiki , ni kama chizi anachezacheza tu, kumtilia maanani chizi ! Loh!
Utamchukuliaje mtu mbae sio chizi awe chizi? Arusha umesahau kipindi kile mabomu!!,Kwani huku wanashindwaje kuwachukulia wanasiasa kama machizi tu na vikao vyao serikali ikiendelea na mambo yake? Mbona mara nyingi wanawakamata wakiwa na vikao vyao tu wametulia hawana silaha, hawajapigana na mtu,