Pre GE2025 Rais Samia hapaswi kugombea 2025 akigombea tumkatae

Pre GE2025 Rais Samia hapaswi kugombea 2025 akigombea tumkatae

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mh. Samia ni msikivu sana tena sana na huo ndiyo udhaifu wake wakati fulani.

Wasaidizi wake ngazi za chini wamemuangusha mno.

Uzembe kazini na ufisadi vimekuwa vitu vya kawaida. Vimerasimishwa hadharani kwa matendo na maneno.
Unafanyaje ukiwa unajali? Mke wako anakufa hospitalini kwa ajili ya uzembe?

Umeme umeua wangapi?

Rushwa, tozo, mfumuko wa bei, maji ngorongoro, misitu unasemaje kuhusu hivi?
 
Binafsi sioni kama huyu Rais wa sasa anafaa kugombea 2025.

Hana sifa.

Hana uwezo.

Ni mbaguzi.

Hatufai.

Akigombea 2025.

Hakuna wa kumkataza 2030.

Tumkatae na mambo yake yote.
Naunga mkono.....tukatae na tuwe na Tume huru
 
Nani sasa anafaa!!? Isije kuwa ya mkataa ya Mussa....yakampata ya furauni
 
Binafsi sioni kama huyu Rais wa sasa anafaa kugombea 2025.

Hana sifa.

Hana uwezo.

Ni mbaguzi.

Hatufai.

Akigombea 2025.

Hakuna wa kumkataza 2030.

Tumkatae na mambo yake yote.
Hata kama humkubali wewe na familia yako lakini sisi wengine tunamkubali
 
Mabandiko kama haya ndio yanashusha credibility ya JF, unamchukia mtu kwa chuki tuu na sio kwa hoja!.
Unadai
1. Hana sifa- sifa gani ambazo Rais Samia hana?.

2. Hana uwezo.- uwezo gani ambao Rais Samia hana?.

3. Ni mbaguzi kivipi?

4. Hatufai kivipi wakati kila uchao anafanya makubwa?.

Tumkatae na mambo yake yote kwa chuki tuu bila sababu?. Watanzania sio misukule tena.
P
Unafanyaje ukiwa unajali? Mke wako anakufa hospitalini kwa ajili ya uzembe? Kukosa rushwa.

Umeme umeua wangapi?

Rushwa, tozo, mfumuko wa bei, maji ngorongoro kuuzwa, misitu kuuzwa unasemaje kuhusu haya.
 
Anaweza awe na mapungufu yake hasa ya kuwaamini wasaidizi wske ambao mostly wanafeli, lakn ni one of the best president tanzania tulishwahi.kuwa nao. Kama ni ubaguzi kwa jnamna unavyo sema basi hamfikii magu hata tone.

Ila kwa nnavyokujua ww na ulipo, hii ujumbe una nia ya kuwanasa watu ujue fikra
 
hana uwajibikaji wa pamoja atatuchelewesha sana kufikia kwenye maendeleo endelevu
 
Back
Top Bottom