ruaharuaha
JF-Expert Member
- Feb 14, 2018
- 3,586
- 3,857
Unafanyaje ukiwa unajali? Mke wako anakufa hospitalini kwa ajili ya uzembe?Mh. Samia ni msikivu sana tena sana na huo ndiyo udhaifu wake wakati fulani.
Wasaidizi wake ngazi za chini wamemuangusha mno.
Uzembe kazini na ufisadi vimekuwa vitu vya kawaida. Vimerasimishwa hadharani kwa matendo na maneno.
Binafsi sioni kama huyu Rais wa sasa anafaa kugombea 2025.
Hana sifa.
Hana uwezo.
Ni mbaguzi.
Hatufai.
Akigombea 2025.
Hakuna wa kumkataza 2030.
Tumkatae na mambo yake yote.
Bora akapumzike.
We are tired of dramas.
Naunga mkono.....tukatae na tuwe na Tume huruBinafsi sioni kama huyu Rais wa sasa anafaa kugombea 2025.
Hana sifa.
Hana uwezo.
Ni mbaguzi.
Hatufai.
Akigombea 2025.
Hakuna wa kumkataza 2030.
Tumkatae na mambo yake yote.
Hata kama humkubali wewe na familia yako lakini sisi wengine tunamkubaliBinafsi sioni kama huyu Rais wa sasa anafaa kugombea 2025.
Hana sifa.
Hana uwezo.
Ni mbaguzi.
Hatufai.
Akigombea 2025.
Hakuna wa kumkataza 2030.
Tumkatae na mambo yake yote.
Mabandiko kama haya ndio yanashusha credibility ya JF, unamchukia mtu kwa chuki tuu na sio kwa hoja!.
Unadai
1. Hana sifa- sifa gani ambazo Rais Samia hana?.
2. Hana uwezo.- uwezo gani ambao m
Unafanyaje ukiwa unajali? Mke wako anakufa hospitalini kwa ajili ya uzembe? Kukosa rushwa.Mabandiko kama haya ndio yanashusha credibility ya JF, unamchukia mtu kwa chuki tuu na sio kwa hoja!.
Unadai
1. Hana sifa- sifa gani ambazo Rais Samia hana?.
2. Hana uwezo.- uwezo gani ambao Rais Samia hana?.
3. Ni mbaguzi kivipi?
4. Hatufai kivipi wakati kila uchao anafanya makubwa?.
Tumkatae na mambo yake yote kwa chuki tuu bila sababu?. Watanzania sio misukule tena.
P
Anaweza awe na mapungufu yake hasa ya kuwaamini wasaidizi wske ambao mostly wanafeli, lakn ni one of the best president tanzania tulishwahi.kuwa nao. Kama ni ubaguzi kwa jnamna unavyo sema basi hamfikii magu hata tone.
Ila kwa nnavyokujua ww na ulipo, hii ujumbe una nia ya kuwanasa watu ujue fikra