Salam wakuu,
Sina kinyongo na watoto wa wakubwa kujazana kwenye chama na serikali.
Rai yangu moja,Mama ni vyema baadhi ya wanafamilia wake akawaweka nje ya chama na serikali.
Mfano kuna mmoja mbunge,Kuna wengine ndio hivyo kwenye taasisi, wengine mme waziri etc etc.
Hii sio dalili njema, otherwise kila kheri
Sina kinyongo na watoto wa wakubwa kujazana kwenye chama na serikali.
Rai yangu moja,Mama ni vyema baadhi ya wanafamilia wake akawaweka nje ya chama na serikali.
Mfano kuna mmoja mbunge,Kuna wengine ndio hivyo kwenye taasisi, wengine mme waziri etc etc.
Hii sio dalili njema, otherwise kila kheri