Gerald .M Magembe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2013
- 2,496
- 1,800
Mwigulu amepambana na Chadema miaka zaidi ya 18 iliyopita mbona anadunda tuu.Kama huamini na wewe ongezea nguvu kupambana na CHADEMA tukuone kama utamaliza miaka mitano na nusu ukiwa hai,jaribu uone,wewe unadhani mchezo?
Eeeee ndugu yangu, kote huko mpaka 2025? Si nchi hii itaku ishakuwa majivu? Huyu hafai hata kwa kumalizia mwaka.2025 inatakiwa mama akapumzike.Washamchoka mapema hata vijijini tozo, mafuta bei juu.Ccm bye bye.
Hayupo.....Aliyemuweka ndie mwenye password ya kumuondoa
Mkuu "MpendaCCM" - na sio Mpenda TZ:Chama kina mbunge mmoja (tena ameasi chama) ila kelele zake mitandaoni ni kama wana 2/3 ya wabunge bungeni, mnasubiriwa feld tar 5 kama alivyotangaza katibu wenu.
Duuh hiyo nchi ya ndani ya nyumba yako nini?!!Eeeee ndugu yangu, kote huko mpaka 2025? Si nchi hii itaku ishakuwa majivu? Huyu hafai hata kwa kumalizia mwaka.
Sisi huku tulipo tunasubiri upinzani wa kweli tupambane nao kwa hoja, sio huu ulianzishwa na TISS kwa kazi maalum (Waanzilishi wote wa upinzani TZ ni TISS)Mkuu "MpendaCCM" - na sio Mpenda TZ:
Inaonyesha una upungufu wa kufikiri.
CHADEMA haina hata mbunge mmoja bungeni, huyo unayemtaja na wale ambao hukupenda kuwagusia ni wabunge wa CCM.
Hiyo tarehe 5 August, naona una hamu kubwa sana nayo kuliko hata CHADEMA walioitangaza! Lakini jambo la kukumbuka kwako na kwa wenzio wengi mlioko huko CCM, hawa polisi kuna siku watakoma kubeba hiki chama chenu. Je mpo tayari kwa yatakayofuata?
Kama hadi sasa bado unaamini kwamba CHADEMA siyo upinzani wa kweli utakuwa unajidanganya.Sisi huku tulipo tunasubiri upinzani wa kweli tupambane nao kwa hoja, sio huu ulianzishwa na TISS kwa kazi maalum (Waanzilishi wote wa upinzani TZ ni TISS)
Ndugu,Duuh hiyo nchi ya ndani ya nyumba yako nini?!!
Mama ni kipenzi cha Watanzania....hulifuti hilo hataa
#KaziIendelee
Tuwaombee waishi ili waone jinsi Mungu wa Haki anavyoenda kuibariki CDM na Watanzania tutakapoandika Katiba ya Wananchi.Kawaida yao huwa ni waoga ndiyo maana wanatumia nguvu nyingi bila akili.Fikiria wabunge walopo chini ya speaker Ndu guy na Betina.Wakiitwa watu kwenye akili nao watajitokeza?Mungu awalaani hawa watu.
Unamwona mzima huyo?TUSIDANGANYANE KUWA KUIZUIA CHADEMA KUNASABABISHA MTU AFE. HUU NI UJINGA. HAKUNA ALIYEPAMBANA NA CHADEMA KAMA MWIGULU.HAKUNA. MI NAKWAMBIA.
Abubakar yupo "sehemu salama", siwezi kuyamwaga yote hapa, ila mnachezeshwa ngoma msiyoijuaKama hadi sasa bado unaamini kwamba CHADEMA siyo upinzani wa kweli utakuwa unajidanganya.
Inawezekana, kwamba ilianzishwa kwa madhumuni kama hayo unayoyasema hapo, lakini mmeshindwa sasa kuimudu, mmeshindwa kuiondoa. Limekuwa jini mlilokuwa mmelifungia ndani ya chupa, sasa limeondoka huko, na hamjui jinsi ya kulirudisha ndani ya chupa tena!
Anaumwa nini? Toka lini?Unamwona mzima huyo?
Umekuwa mtu wa mipasho sasa na "hiyo ngoma" isiyokuwa na maana yoyote?Abubakar yupo "sehemu salama", siwezi kuyamwaga yote hapa, ila mnachezeshwa ngoma msiyoijua
Kila anayechezea haki za Watanzania automatically atakufa ndani ya miaka 6. Imethibitishwa.Zoezi la kuiua CHADEMA alilianza Hayati Magufuli na kaondoka Duniani hajafanikiwa kuiua CHADEMA. Kwa maneno mengine rahisi, aliyetaka CHADEMA ife kafa yeye na kuiacha CHADEMA ikiwa hai.
Mbowe alikuwa hana tuhuma zozote za Ugaidi hapo kabla, lakini alipoanza vuguvugu la kudai Katiba Mpya mkamkamata na kumbambikia kesi ya kigaidi.
Police wanatoa hoja za kitoto za kuwafanya watu wote hawana akili. Eti walikuwa wakimchunguza na sasa wamepata ushahidi na kumkamata.
Swali kwa Police: Utamchunguzaje suspect huku akiwa huru? What if akitoroka?
Rais Samia, tunakuheshimu sana kama Rais wetu, lakini hatukuogopi. Tunayemwogopa ni mmoja tu, naye ni MUNGU.
Hakuna wa kututisha kuhusu kudai Katiba Mpya, tutaendelea kuidai kwa njia nyingi tofauti hadi tutaipata, na njia kubwa kuliko zote tumeanza kukushtakia kwa MUNGU. Kama utaweza kushindana na MUNGU basi CHADEMA itakufa, lakini kwa sababu Mungu huwa ni wa haki,atasimama kwenye haki.
Rais Samia, hautafanikiwa kwenye njama zako za kuiua CHADEMA, Mbowe siyo CHADEMA. Nyie mfanyeni vyovote vile mnavyojua, lakini mtakapoanza kulipa ghadhabu ya MUNGU msikimbiane humo.
Huwa mnajiona mna haki sana ya kufanya lolote, wakati ni ukuta, iko siku hamtavuka.
Mnacheza ngoma ya CCM kila siku wapuuzi, 2025 tunaweza kuwapa Makamba ili muendelee kuwadekia barabara wana TISSUmekuwa mtu wa mipasho sasa na "hiyo ngoma" isiyokuwa na maana yoyote?
Naona ni kupoteza muda, huna la maana kulijadili hapa.
Huongezi thamani yoyote kwenye mjadala huu kwa hiyo mipasho ya siku zote.
[emoji1787][emoji23][emoji23]2025 sisi wasukuma kwa umoja wetu tumekubaliana kuipigia kura upinzani. CCM watajijua wao na mama yao.
Kuna njia nyingi za kumuua panya 'there many ways to kill a rat 'Zoezi la kuiua CHADEMA alilianza Hayati Magufuli na kaondoka Duniani hajafanikiwa kuiua CHADEMA. Kwa maneno mengine rahisi, aliyetaka CHADEMA ife kafa yeye na kuiacha CHADEMA ikiwa hai.
Mbowe alikuwa hana tuhuma zozote za Ugaidi hapo kabla, lakini alipoanza vuguvugu la kudai Katiba Mpya mkamkamata na kumbambikia kesi ya kigaidi.
Police wanatoa hoja za kitoto za kuwafanya watu wote hawana akili. Eti walikuwa wakimchunguza na sasa wamepata ushahidi na kumkamata.
Swali kwa Police: Utamchunguzaje suspect huku akiwa huru? What if akitoroka?
Rais Samia, tunakuheshimu sana kama Rais wetu, lakini hatukuogopi. Tunayemwogopa ni mmoja tu, naye ni MUNGU.
Hakuna wa kututisha kuhusu kudai Katiba Mpya, tutaendelea kuidai kwa njia nyingi tofauti hadi tutaipata, na njia kubwa kuliko zote tumeanza kukushtakia kwa MUNGU. Kama utaweza kushindana na MUNGU basi CHADEMA itakufa, lakini kwa sababu Mungu huwa ni wa haki,atasimama kwenye haki.
Rais Samia, hautafanikiwa kwenye njama zako za kuiua CHADEMA, Mbowe siyo CHADEMA. Nyie mfanyeni vyovote vile mnavyojua, lakini mtakapoanza kulipa ghadhabu ya MUNGU msikimbiane humo.
Huwa mnajiona mna haki sana ya kufanya lolote, wakati ni ukuta, iko siku hamtavuka.
Wagumu wako jelaHuyu bibi mwepesi sana, hatafanikiwa
Haya sawa!Mnacheza ngoma ya CCM kila siku wapuuzi, 2025 tunaweza kuwapa Makamba ili muendelee kuwadekia barabara wana TISS
Mkuu ongezea na jeshi litakuja kuwageuka CCM hawataamini,muda utaongea...!Mkuu "MpendaCCM" - na sio Mpenda TZ:
Inaonyesha una upungufu wa kufikiri.
CHADEMA haina hata mbunge mmoja bungeni, huyo unayemtaja na wale ambao hukupenda kuwagusia ni wabunge wa CCM.
Hiyo tarehe 5 August, naona una hamu kubwa sana nayo kuliko hata CHADEMA walioitangaza! Lakini jambo la kukumbuka kwako na kwa wenzio wengi mlioko huko CCM, hawa polisi kuna siku watakoma kubeba hiki chama chenu. Je mpo tayari kwa yatakayofuata?