Rais Samia hautafanikiwa kuipoteza CHADEMA, nakuhakikishia hilo

Samia anaupiga mwingi kiutopolotoplo. Heshima yake inashuka kwa kasi ya kutisha. Hata goli hajui lipo wapi.
 
Wana mpango wa kuifuta.... wameona inawasumbua mno - process zote za kuidhoofisha hazikufanikiwa sasa dawa ni moja tu iliyobaki ni KUIFUTA kama chama cha siasa nchini.

Stay turned, kesi ya ugaidi ndiyo daraja la kuisahau CDM kama chama cha upinzani.

Huu ni mpango mkakati wa CCM na washirika wake.
 
Chadema ipo na itaendelea kuwepo, anayejaribu kuishambulia ataumia
 
Unaogopa kufa? Kifo is there kwa kila mtu. Mnasubiriwa field tarehe 5. Ila Samia ana madharau sana, na mitusi yenu yote hata hawajibu, anapiga kazi zake tu
Hili la magufuli kufa na kuiacha chadema hai linawaumiza sana
 
Kila atakaye jaribu kuipoteza Chadema atapotea yeye kwenye uso wa dunia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…