Rais Samia, haya mambo ya kupotea watu ni doa kwenye serikali yako

Hao uliowataja kipind kile walikuwa wanateka watu kwa sababu gani?
Na Sasa wanaendelea kuteka kwa sababu gani?
 
Huyu ndo uchwara kamili...yule alikuwa kamanda
 
Mheshimiwa Samia, nikuulize swali moja. Je, bado unayaendeleza yale yale ya kupoteza watu na kuwatupa mtoni? Mbona wewe unajifanya muislamu safi? Je, dini yako inaruhusu uue na kupoteza watu?
🤡🤡🤡
Your browser is not able to display this video.
 
Watu mlisema Magufuli ndio alikua anapoteza watu, Magufuli alishakufa miezi 10 iliyopita lakini bado watu wanapotea, wanauwawa, miili inaokotwa hovyo , sijuo bado Magufuli ndio anawaua kutoka huko kuzimu ama lah.
Magu aliua sana, sasa kama huyu bibie wa Mwanakwerekwe naye anaua pia haitafuta ukweli wa uuaji ulivyokuwa awamu ya Jiwe.
 
Kuna wapumbavu! humu kila siku walikiwa wanasema Magufuli alikuwa anaua watu! Leo hii kila kona mauji na watu wanapotea! Hakuna kipindi watu wanakufa ovyo kama hivi sasa! Mauaji mauaji!
Pia kuna wapumbavu wanaodhani wengine wakiua basi wanafuta ule uuaji uliokuwa ukifanywa na mkono wa chuma wa utawala wa Jiwe.
 
Pia kuna wapumbavu wanaodhani wengine wakiua basi wanafuta ule uuaji uliokuwa ukifanywa na mkono wa chuma wa utawala wa Jiwe.
Endeleni kujifariji wengi waovu na wema hufa na kwa kuwa hamtaki kujua ya kuwa matukio hayana utawala ila pia utawala unaweza kuwafanya waharifu a mauaji washamiri kama hali ilivyo sasa! Leo umesikia tena Arusha dada kaokotwa Ikiwa ameuawa na mwili wake kutupwa bustanini! Juzi ulisikia wanawake watatu mwanza miili yao iliokotwa Ikiwa imechinjwa! Sasa jiulize haya yanatokea? Wenye hekima wanajua ila wajinga hujadili haya kwa mihemko tu!
 
Wajinga ni wale ambao mauaji ya watu huyachukulia ki wepesi, watu kutekwa au kupigwa risasi mchana kweupe na uchunguzi haufanyiki kuna uhalali gani hapo. Iwe bi Urojo au mwendazake wa Chato muuaji ni muuaji tu na wala haiangiliwi muuaji anatokea wapi au ni wa utawala wa awamu ipi.
 
Waliajiriwa miaka 5 tu iliyopita??? Wale waliopiga bomu likasambaratisha kabisa mwili wa mtu pale iringa wao pia waliajiriwa na jiwe sio, yule kiongozi wa Dr nae pia alikuwa jiwe?? Eti kubambikia watu kesi, kesi zimeisha sasa??
 
Kitu kimoja tu Ambacho nina uhakika nacho LEGACY ALIYOIACHA MAGUFULI hakuna rais anaweza fika hata nusu yake...!!! Alivyothamini watu wenye vipato vya hali ya chini ilikuwa namna ya kipekee sana.. Leo tunakatwa buku buku kila kona na bado mtu akiongelea kuhusu Kukopa anaonekana ni Adui.. Safari ni ndefu sana bado yani tutafika hoiii
 
Yap, aliua sana na hata baadhi ya waliomtangulia waliua lakini si kwa kiwango chake. Jiwe aliua bila woga kwani alikuwa ruthless na alitengeneza mfumo wa kiimla uliofanya yeye kuogopwa na watu na hata media pia.
Nitajie watu 3 waliouliwa na jiwe
 
Yaani hawa wao ni kusakama tu! Sasa si hayupo yakitokea wanasema kundi lake JPM lililobaki! Je wakati wa Kikwete lilikiwa la Magufuli pia? Hawana majibu.!
Sasa nyie ccm mbona mnawaua watu bila hatia?
Toeni majibu.Hili jambo halihitaji siasa zenu za CCM na CHADEMA.
 
Reactions: Qwy
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…