Rais Samia: Hayati Magufuli ndiyo aliuwasha moto kwenye madini

No one can say it better than this! Bi Mikopo anadhani Watanzania wangali wajinga kiasi hicho!
 
Mwendazake mwenyewe alikuwa anatuibia madini. Nakukumbusha tu kisa cha kuingia gereza la Butimba. Zile dhahabu zilizokamatwa zikitoroshwa halafu ikamlazimu Magufuli aingie Gereza la Butimba kuwatoa wale Askari zilikuwa za Kagame na yeye mwenyewe
 
Mwendazake mwenyewe alikuwa anatuibia madini. Nakukumbusha tu kisa cha kuingia gereza la Butimba. Zile dhahabu zilizokamatwa zikitoroshwa halafu ikamlazimu Magufuli aingie Gereza la Butimba kuwatoa wale Askari zilikuwa za Kagame na yeye mwenyewe
Duh!.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…