Rais Samia: Hayati Magufuli ndiyo aliuwasha moto kwenye madini

Rais Samia: Hayati Magufuli ndiyo aliuwasha moto kwenye madini

BA2903B4-766B-420D-8A41-F964C398DF47.jpeg


A picture speaks a thousand words. Tazama wanaume waliomzunguka huyo mama posture zao na yake. Body language ya Angela Merkel inaashiria I am in charge here get that right.

Mama Samia atazame video za viongozi wanawake dunia wanapokuwa wana ongea mambo serious.

Lugha ya mama Samia is not authoritative at all; yaani very casual all the time. When you are dealing with serious matter you’re tone as to change.

Yaani mtu unakosoa utendaji wa polisi kwa kuwachekesha, badala ya kuwakazia macho na sauti kali; unaleta hadithi za mbu hawana shamba ni haki yao kukutafuna.

Tusijiongombee Mama Samia anamapungufu mengi sana moja wapo ni lax communication habit; she will never be taken serious nchi hii, kwa namna yake ya uwasilishaji message.

Kama awezi kuwaangalia the likes of Nicola Strugeon wanapokuwa serious lugha yao, tone na body language; anaona huko mbali atafute ata video za Dr Gwajima alipoanza uwaziri.

You need to be authoritative hakuna cha sikulelewa ivyo kwenye uongozi awezi ukali awapishe wengine 2025.
 
Nakuona unazunguka tu, kama faida ipo mbona huitaji unaishia kunitukana tu, nikisema umefirisika kwa hoja utakataa?

umeuliza swali,labda hukutegemea jibu hilo ama hulitaki jibu hilo ama una jibu lako.

kwa kawaida si kila swali lina jibu la moja kwa moja,watu wanaotakiwa kuyajua mambo kwa undani hutakiwi umpe jibu la wazi.mpe jibu lenye kumtaka afanye utafiti,ukimaliza nitakuongeza task nyingine aliwafanyia nini wanyonge tofauti na sasa!!!

machinga wamefukuzwa kwa sasa kufanya biashara maeneo yote ya wazi,kosa lao si jingine ni kwa sababu wao ni masikini tu au wanyonge.
 
umeuliza swali,labda hukutegemea jibu hilo ama hulitaki jibu hilo ama una jibu lako.

kwa kawaida si kila swali lina jibu la moja kwa moja,watu wanaotakiwa kuyajua mambo kwa undani hutakiwi umpe jibu la wazi.mpe jibu lenye kumtaka afanye utafiti,ukimaliza nitakuongeza task nyingine aliwafanyia nini wanyonge tofauti na sasa!!!

machinga wamefukuzwa kwa sasa kufanya biashara maeneo yote ya wazi,kosa lao si jingine ni kwa sababu wao ni masikini tu au wanyonge.
So una maana ukiwa masikini na mnyonge ndiyo uishi bila kufata utaratibu? Au ujenge sehemu yoyote na kupanga biashara kila sehemu? Sheria lazima ifatwe na mazingira yetu lazima yatunzwe. Angewasaidia nyie wanyonge mpate mitaji ya kufungua maduka sehemu rasmi kwa kuwaundia vikundi vidogo vidogo. Sasa mgekuwa siyo wanyonge tena ila mgekuwa na biashara halali sehemu rasmi. Usipende kusaidiwa kwa sheria kuvunjwa/kupindishwa, sponsor akifa lazima ile kwako. Reference ni wewe mnyonge pamoja na Sambaya sponsor wenu akiwa ni Jiwe. Nyie wanyonge mmeambulia jina tu kwani mpaka sasa mnateseka tu. Kifupi hakuna mnyonge yeyote aliyepiga hatua zaidi ya kupewa jina jipy. Period
 
Machinga wapo kote duniani
Nani kasema hawapo? Lakini lazima sheria ifatwe, pia kama uko timamu huwezi kujivunia kuwa maskini au kuitwa mnyonge wakati una viungo vyote. Fanyeni kazi mpate pesa mfungue biashara za maana. Siyo unabweteka na buku 7 za humu then unaanza jisifia unyonge.
 
So una maana ukiwa masikini na mnyonge ndiyo uishi bila kufata utaratibu? Au ujenge sehemu yoyote na kupanga biashara kila sehemu? Sheria lazima ifatwe na mazingira yetu lazima yatunzwe. Angewasaidia nyie wanyonge mpate mitaji ya kufungua maduka sehemu rasmi kwa kuwaundia vikundi vidogo vidogo. Sasa mgekuwa siyo wanyonge tena ila mgekuwa na biashara halali sehemu rasmi. Usipende kusaidiwa kwa sheria kuvunjwa/kupindishwa, sponsor akifa lazima ile kwako. Reference ni wewe mnyonge pamoja na Sambaya sponsor wenu akiwa ni Jiwe. Nyie wanyonge mmeambulia jina tu kwani mpaka sasa mnateseka tu. Kifupi hakuna mnyonge yeyote aliyepiga hatua zaidi ya kupewa jina jipy. Period

biashara halali zikoje!!!kuna machinga alikuwa anauza bangi!!!tumia akili bwnaa mdogo,sheria zipo na ni wajibu wa watu kuzifuat,lakini hata wazungu wanakwambia zipo sheria zimewekwa ili zivunjwe,kwa sababu haziendani na uhalisia ama hazirengi matokeo yoyote chanya.

wewe kwa akili zako za kitajiri unaamini machinga walisababishia taifa hasara ama mazingira yoyote kuharibika??ama ilikuwa ni faida kwa serikali yenyewe!!!!ainisha hasara moja ambayo serikali imepata kwa sababu ya machinga.

unamtaja sabaya hapa,je mbowe sponsor wake ni nani!!!usiiingize vitu vilivyo nje ya upeo wako kwenye mada zinazozungumzia maslahi ya wananchi kwa ujumla.

mnyonge ni mtu ambaye anategemea serikali imrahisishie mazingira yake ya utafutaji,serikali za kihuni ndio hizi ambazo vipaumbele vyake ni matajiri wa michongo kama wewe,ambao wanaamini machinga ni laana.
 
Nashukuru kwa kuelewa, lastly kuanzia leo usipende kujiita mnyonge, yule bwana alikupumbaza.

unyonge haukutoki kwa kutokubaliana na hiyo hali[emoji3][emoji3]nakuona nawewe ni myonge uliyeamua kujiita tajiri.

mtu akikuita wewe ni masikini sio tusi wala dhihaka,anakuelezea tu wasifu wako,ndio maana jamaa alikuwa mkali sana kwa watu wanaosababishia wengine umasikini na kuusakafia.

leo hii makima yanakatakata umeme yanavyojiskia,halafu samaki mmoja awaambie ni mitambo iko service.
 
unyonge haukutoki kwa kutokubaliana na hiyo hali[emoji3][emoji3]nakuona nawewe ni myonge uliyeamua kujiita tajiri.

mtu akikuita wewe ni masikini sio tusi wala dhihaka,anakuelezea tu wasifu wako,ndio maana jamaa alikuwa mkali sana kwa watu wanaosababishia wengine umasikini na kuusakafia.

leo hii makima yanakatakata umeme yanavyojiskia,halafu samaki mmoja awaambie ni mitambo iko service.
Achana na porojo za mwendazake, kifupi haja msaidia maskini yeyote kutoka kwenye huo umasikini kwani ndiyo walikuwa washabiki zake kwa kuwa hawana uelewa wa kutosha. Masikini hujisikia furaha sana pale anapoona tajiri akiteswa, ndiyo maana walimuunga mkono sana pale alilosema atahakikisha matajiri wanaishi kama mashetani.
 
Achana na porojo za mwendazake, kifupi haja msaidia maskini yeyote kutoka kwenye huo umasikini kwani ndiyo walikuwa washabiki zake kwa kuwa hawana uelewa wa kutosha. Masikini hujisikia furaha sana pale anapoona tajiri akiteswa, ndiyo maana walimuunga mkono sana pale alilosema atahakikisha matajiri wanaishi kama mashetani.

kwahiyo unaamini mwendazake alipiga porojo kuboresha maisha ya masikini,ila ikija kwenye kuwafanya watu mashetani unaamini alikuwa serious!!!

masikini husikia furaha matajiri wa michongo wanaposokotwa na kutoa mlio,mnakaa mnauza madawa,mnaiba hela za uma,mnauza magendo na kukwepa kodi mnasumbua watu eti matajiri,mbona akina bakhresa wameendelea na harakati zao za biashara utawala huo huo!!!akina MO je???

kama wewe unajinasibisha hapa kwamba ni tajiri,hata ningekwambiaje aliboresha maisha yao huwezi kuelewa,maana hujui gharama za mtu kuvunjiwa banda lake la kuuza maji baridi.
 
kwahiyo unaamini mwendazake alipiga porojo kuboresha maisha ya masikini,ila ikija kwenye kuwafanya watu mashetani unaamini alikuwa serious!!!

masikini husikia furaha matajiri wa michongo wanaposokotwa na kutoa mlio,mnakaa mnauza madawa,mnaiba hela za uma,mnauza magendo na kukwepa kodi mnasumbua watu eti matajiri,mbona akina bakhresa wameendelea na harakati zao za biashara utawala huo huo!!!akina MO je???

kama wewe unajinasibisha hapa kwamba ni tajiri,hata ningekwambiaje aliboresha maisha yao huwezi kuelewa,maana hujui gharama za mtu kuvunjiwa banda lake la kuuza maji baridi.
Yaani banda la kuuzia maji baridi unafanamisha na nyumba ya thamani ya mtu kuishi? Unakumbuka bomoa bomoa ya kimara? Wew una roho ya umasikini na kama hutobadilika amini utakufa ukiwa hivyo hivyo. Kama mtu anashida ya samaki mfundishe jinsi ya kuvua samaki na siyo kumpa samaki uliyowakwapua kwa mvuvi mwingine. Mkwapuaji akifa? Unabaki unalialia kama mnavyofanya nyie wanyonge. Amka tafuta pesa!
 
Yaani banda la kuuzia maji baridi unafanamisha na nyumba ya thamani ya mtu kuishi? Unakumbuka bomoa bomoa ya kimara? Wew una roho ya umasikini na kama hutobadilika amini utakufa ukiwa hivyo hivyo. Kama mtu anashida ya samaki mfundishe jinsi ya kuvua samaki na siyo kumpa samaki uliyowakwapua kwa mvuvi mwingine. Mkwapuaji akifa? Unabaki unalialia kama mnavyofanya nyie wanyonge. Amka tafuta pesa!

sio wewe uliyekuwa muumini wa sheria au umeshasahau tena!!!!
mimi msimamo wangu ni ubinaadam kutumika maana masikini pia nchi yao hii,ila wewe unarukaruka hueleweki unataka kitu gani,saa hizi unasisitiza ubinaadam tena!!!

kufa na umasikini sio ishu maana kama ulikuwa hujui tutakuzika na kitambi chako tu,hutaenda hata na nyumba yako nzuri uliyojenga kwa michongo.

pesa natafuta inawezekana kabisa nakuzidi,ila huwezi sikia nakwambia mimi ni tajiri.
 
sio wewe uliyekuwa muumini wa sheria au umeshasahau tena!!!!
mimi msimamo wangu ni ubinaadam kutumika maana masikini pia nchi yao hii,ila wewe unarukaruka hueleweki unataka kitu gani,saa hizi unasisitiza ubinaadam tena!!!

kufa na umasikini sio ishu maana kama ulikuwa hujui tutakuzika na kitambi chako tu,hutaenda hata na nyumba yako nzuri uliyojenga kwa michongo.

pesa natafuta inawezekana kabisa nakuzidi,ila huwezi sikia nakwambia mimi ni tajiri.
Akili hizi utamzidi pesa mnyonge mwenzio tu, sasa unasema wewe unaongelea utu, kwahiyo tajiri kwake wewe huna utu naye kama ilivyo hulka ya masikini?
 
Vita nzuri baada ya haya ni ya kimya kimya.
Pamoja na sheria, tatizo la msingi siyo sheria bali ni mindset za watumishi wa uma katika sector mbalimbali ikiwemo ya madini.
Kwanza kabisa tunatatakiwa kuwa na wananchi (citizens) wenye akili na weledi kiuchumi kuweza kupambana na hao wageni.
Watumishi wengi wakiwemo viongozi wana tabia za kujipendekeza kwa wageni hata bila faida yoyote ya maana (fikra za kitumwa). Kwa zaidi ya miaka 20 nimeona mifano mingi sana.
Kingine ni wivu tu wa kijinga kwa wanasiasa kujipeleka mbele kutafuta sifa za ukubwa hasa kwa mambo ya kitaalam.
Balaa kubwa zaidi sasa ni kwa siasa kutawaliwa na watu wanaojilipua badala ya wenye weledi, busara na fikra chanya kwa taifa.
Misingi hii inahitaji kuangaliwa ili jitihada zote hizi ziwe na ufanisi.
 
Akili hizi utamzidi pesa mnyonge mwenzio tu, sasa unasema wewe unaongelea utu, kwahiyo tajiri kwake wewe huna utu naye kama ilivyo hulka ya masikini?

tajiri asiye na nguvu huyo ni wa mchongo tu.

tajiri unategemea utawala ukoje!!!wewe tajiri au kilandage tu.
 
View attachment 2044864

A picture speaks a thousand words. Tazama wanaume waliomzunguka huyo mama posture zao na yake. Body language ya Angela Merkel inaashiria I am in charge here get that right.

Mama Samia atazame video za viongozi wanawake dunia wanapokuwa wana ongea mambo serious.

Lugha ya mama Samia is not authoritative at all; yaani very casual all the time. When you are dealing with serious matter you’re tone as to change.

Yaani mtu unakosoa utendaji wa polisi kwa kuwachekesha, badala ya kuwakazia macho na sauti kali; unaleta hadithi za mbu hawana shamba ni haki yao kukutafuna.

Tusijiongombee Mama Samia anamapungufu mengi sana moja wapo ni lax communication habit; she will never be taken serious nchi hii, kwa namna yake ya uwasilishaji message.

Kama awezi kuwaangalia the likes of Nicola Strugeon wanapokuwa serious lugha yao, tone na body language; anaona huko mbali atafute ata video za Dr Gwajima alipoanza uwaziri.

You need to be authoritative hakuna cha sikulelewa ivyo kwenye uongozi awezi ukali awapishe wengine 2025.

Ndio moja la kosa lake, yapo mengi. Unavuka mto unamuona mamba unacheka badala ya kumuua.

Watanzania, binadamu huwa hawaendi, kuendeshwa kufanya kazi kwa ueweledi kwa staili hiyo.

Hiyo sio familia yako binafsi, hapo kuna wezi sugu,wanafiki, majambazi, mafisadi, opportunist nk.

Lazima ukaze, weka watu sahihi,sehemu husika. Fatilia mambo.
 
Vita nzuri baada ya haya ni ya kimya kimya.
Pamoja na sheria, tatizo la msingi siyo sheria bali ni mindset za watumishi wa uma katika sector mbalimbali ikiwemo ya madini.
Kwanza kabisa tunatatakiwa kuwa na wananchi (citizens) wenye akili na weledi kiuchumi kuweza kupambana na hao wageni.
Watumishi wengi wakiwemo viongozi wana tabia za kujipendekeza kwa wageni hata bila faida yoyote ya maana (fikra za kitumwa). Kwa zaidi ya miaka 20 nimeona mifano mingi sana.
Kingine ni wivu tu wa kijinga kwa wanasiasa kujipeleka mbele kutafuta sifa za ukubwa hasa kwa mambo ya kitaalam.
Balaa kubwa zaidi sasa ni kwa siasa kutawaliwa na watu wanaojilipua badala ya wenye weledi, busara na fikra chanya kwa taifa.
Misingi hii inahitaji kuangaliwa ili jitihada zote hizi ziwe na ufanisi.

hakuna mtu asiyependa pesa,kinachozuia mtu asiibe pesa ni sheria kali ama ukali wa kiongozi wa nchi.

huyu anayesema wezi waache mara moja kutorosha madini tusitegemee maajabu kwake.
 
tajiri asiye na nguvu huyo ni wa mchongo tu.

tajiri unategemea utawala ukoje!!!wewe tajiri au kilandage tu.
Ndiyo maana nakwambia sheria ifatwe kwa yeyote awaye, kama unaamua kuwa mnyonge ukijua sheria itapindishwa ukajenge kibanda cha kuuza maji sehemu yeyote litakuja kukuumiza hilo. Usipotumia akili utatapeliwa kama mlivyotapeliwa na Jiwe, akifa utarudi kulia tena humu. Chukia umasikini zaidi hata ya CCM utafika mbali.
 
tajiri asiye na nguvu huyo ni wa mchongo tu.

tajiri unategemea utawala ukoje!!!wewe tajiri au kilandage tu.

Matajiri wote wanategemea sera rafiki kufanikiwa, kukua, kama Wananchi wote popote pale duniani.

Kodi, masoko, bei za chakula, mafuta,ajira, elimu, afya, usafiri zinaratibiwa na serikali.

Sera, mazingira wezeshi ni kila kitu. Tesla wanaenda Texas kutoka California sababu ya Mazingira wezeshi, kodi rafiki. Sera zinazoeleweka.

Mo Dewji, Bakhresa, Diamond, Vunjabei enzi za Nyerere wasingetoboa.
 
tajiri asiye na nguvu huyo ni wa mchongo tu.

tajiri unategemea utawala ukoje!!!wewe tajiri au kilandage tu.
Kingine, hujui kuwa kuna levels when it comes kwenye ishu za utajiri, au unajua kila mtu akisema ni tajiri basi yuko level za Bill Gate au Mo?
 
Back
Top Bottom