Rais Samia hivi ndivyo ATCL wanavyokuza uchumi wakati tukisubiri Katiba Mpya?

Rais Samia hivi ndivyo ATCL wanavyokuza uchumi wakati tukisubiri Katiba Mpya?

Shujaa Mwendazake

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
4,016
Reaction score
6,759
Huwezi kuamini tupo uwanja wa ndege tangu asubuhi tunasubiri ndege ya ATCL mpaka sasa ilikuwa tuondoke saa tano asubuhi wakasogeza mpaka saa tisa now wanasema mpaka tena saa kumi na mbili.

Watu wapo na watoto wanaliaa, wengine tulikuwa tunaenda msibani tumeshachelewa, wengine wana biashara zao na zimeshabumba muda huu.

Nadhani ndo madhara ya kukosa ushindani kwenye biashara.

Yaani (Monopolist) aliyeiondoa fast jet Mungu anamuona.
 
Tulieni majumbani mwenu mjenge nchi safari safari zitawapotezea muda.

Hizo safari muwaachie wapinzani wanapoenda kutembeza bakuli kuboresha pochi ya mwenyekiti wa pale ufipa!

Alisikika taahira mmoja toka MATAGA headcorter.

Nadanganya wadau?
 
Dah! Ila watu mna hela!! Yaani mnalalamikia kuchelewa kupanda ndege ambayo mimi naiona tu kila siku ikipita angani kutokana na kushindwa kuhimili nauli yake!

Kweli maisha hayana usawa!!🙄
 
Ukweli ni kwamba hatuko makini, kwa nini shirika kama hili liendelee kuwepo wakati ni liability kwa taifa.

Nchi za kiafrika haziwezi kuendesha shirika la ndege kwa faida lazima watataka wapatiwe tu ruzuku na serikali uzoefu unaonyesha wazi hilo.
 
Ndege kuchelewa zaidi ya masaa kumi hiyo ni disaster, timu za uokozi lazima zitakuwa zinahaha kutafuta ni wapi hiyo ndege imedondoka. Daaah! maza fwantaz.
 
Back
Top Bottom