Rais Samia hivi ndivyo ATCL wanavyokuza uchumi wakati tukisubiri Katiba Mpya?

Rais Samia hivi ndivyo ATCL wanavyokuza uchumi wakati tukisubiri Katiba Mpya?

Adui mkubwa wa uchumi na ustawi wa Taifa letu, kwa matendo alikuwa ni marehemu, lakini kwa maneno aliwahadaa wajinga, kuwa anajenga uchumi.

Fastjet toka Mwanza - Dar kulikuwa na ticket mpaka za sh 80,000 return. Alipowafukuza Fastjest, ATCL tocket toka Mwanza mpaka Dar sh 300,000 - sh 600,000. Hivi kwenye mazingira hayo, marehemu alikuwa anawapenda watanzania au alikuwa anawakomoa?
Wavivu wa kufikiria ni kutupa lawama tu kwa kila kitu. Pathetic
 
Back
Top Bottom