beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,880
- 6,368
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema huenda makosa yamepungua Polisi Watanzania hawaendi Vituoni kuripoti kwasababu wamekata tamaa kutokana na kutopata Haki zao.
Ameeleza hayo leo Jijini Dar es Salaam katika ufunguzi wa Kikao Kazi cha Maafisa Wakuu Waandamizi wa Jeshi la Polisi na Makamanda wa Polisi wa Mikoa/Vikosi.
Amesema sababu nyingine ambayo inaweza kupelekea Kesi kupungua ni umbali wa Vituo vya Polisi ambao hupelekea watu kumalizana pasipo kufika Vituoni, na wakati mwingine husababisha wachukue #Sheria mikononi.
Ameeleza hayo leo Jijini Dar es Salaam katika ufunguzi wa Kikao Kazi cha Maafisa Wakuu Waandamizi wa Jeshi la Polisi na Makamanda wa Polisi wa Mikoa/Vikosi.
Amesema sababu nyingine ambayo inaweza kupelekea Kesi kupungua ni umbali wa Vituo vya Polisi ambao hupelekea watu kumalizana pasipo kufika Vituoni, na wakati mwingine husababisha wachukue #Sheria mikononi.