Rais Samia, ikikupendeza mteue Prof. Muhongo Wizara ya Madini asaidiane na Dotto, ana mawazo yenye tija

Rais Samia, ikikupendeza mteue Prof. Muhongo Wizara ya Madini asaidiane na Dotto, ana mawazo yenye tija

ChoiceVariable

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2017
Posts
66,537
Reaction score
75,687
Mh.Rais ukiona inafaa ,Mteue Prof.Sospeter Muhongo awe hata Naibu Waziri wa Madini Asaidiane na Dotto Biteko ataleta Tija kwenye Wizara ya Madini.

Huyu bwana Huwa ana Madini na Ushauri mzuri sana kwenye issues za Madini na kiukweli ni mbobezi wa fani hiyo.

Ni mara chache utamkuta prof.Muhongo akichangia mjadala bungeni,mara zote ambazo akichangia Huwa ni kwenye Wizara ya Madini na anaongea vitu logical.

It will make sense ku tape potential yake badala ya kumuacha azeeke na maarifa yake na Tanzania hii kama unavyojua mtu kama hayuko kwenye nafasi Huwa hapewi forum ya kuheshimu mawazo yake Kwa sababu watu wanahusudu ubinafsi kuliko maslahi ya Nchi.

 
Mh.Rais ukiona inafaa ,Mteue Prof.Sospeter Muhongo awe hata Naibu Waziri wa Madini Asaidiane na Dotto Biteko ataleta Tija kwenye Wizara ya Madini..

Huyu bwana Huwa ana Madini na Ushauri mzuri sana kwenye issues za Madini na kiukweli ni mbobezi wa fani hiyo..

Ni mara chache utamkuta prof.Muhongo akichangia mjadala bungeni,mara zote ambazo akichangia Huwa ni kwenye Wizara ya Madini na anaongea vitu logical..

It will make sense ku tape potential yake badala ya kumuacha azeeke na maarifa yake na Tanzania hii kama unavyojua mtu kama hayuko kwenye nafasi Huwa hapewi forum ya kuheshimu mawazo yake Kwa sababu watu wanahusudu ubinafsi kuliko maslahi ya Nchi..
Muhogo Huyu fi-sadi wa kutupwa

USSR
 
Mh.Rais ukiona inafaa ,Mteue Prof.Sospeter Muhongo awe hata Naibu Waziri wa Madini Asaidiane na Dotto Biteko ataleta Tija kwenye Wizara ya Madini..

Huyu bwana Huwa ana Madini na Ushauri mzuri sana kwenye issues za Madini na kiukweli ni mbobezi wa fani hiyo..

Ni mara chache utamkuta prof.Muhongo akichangia mjadala bungeni,mara zote ambazo akichangia Huwa ni kwenye Wizara ya Madini na anaongea vitu logical..

It will make sense ku tape potential yake badala ya kumuacha azeeke na maarifa yake na Tanzania hii kama unavyojua mtu kama hayuko kwenye nafasi Huwa hapewi forum ya kuheshimu mawazo yake Kwa sababu watu wanahusudu ubinafsi kuliko maslahi ya Nchi..

umesahau alikuwa huko kashfa ya ufisadi ndiyo ilimtoa. wakiwa nje ni wazuri sana kwa mipango, waiingize ndani uone watakachofanya, ni ufisadi kwa kwenda mbele. Mwulize sasa km hajakuita tumbili.
 
Mh.Rais ukiona inafaa ,Mteue Prof.Sospeter Muhongo awe hata Naibu Waziri wa Madini Asaidiane na Dotto Biteko ataleta Tija kwenye Wizara ya Madini..

Huyu bwana Huwa ana Madini na Ushauri mzuri sana kwenye issues za Madini na kiukweli ni mbobezi wa fani hiyo..

Ni mara chache utamkuta prof.Muhongo akichangia mjadala bungeni,mara zote ambazo akichangia Huwa ni kwenye Wizara ya Madini na anaongea vitu logical..

It will make sense ku tape potential yake badala ya kumuacha azeeke na maarifa yake na Tanzania hii kama unavyojua mtu kama hayuko kwenye nafasi Huwa hapewi forum ya kuheshimu mawazo yake Kwa sababu watu wanahusudu ubinafsi kuliko maslahi ya Nchi..

Muhongo ni mwongo na kwasasa hafai na hajawahi kufaa.
 
Mh.Rais ukiona inafaa ,Mteue Prof.Sospeter Muhongo awe hata Naibu Waziri wa Madini Asaidiane na Dotto Biteko ataleta Tija kwenye Wizara ya Madini..

Huyu bwana Huwa ana Madini na Ushauri mzuri sana kwenye issues za Madini na kiukweli ni mbobezi wa fani hiyo..

Ni mara chache utamkuta prof.Muhongo akichangia mjadala bungeni,mara zote ambazo akichangia Huwa ni kwenye Wizara ya Madini na anaongea vitu logical..

It will make sense ku tape potential yake badala ya kumuacha azeeke na maarifa yake na Tanzania hii kama unavyojua mtu kama hayuko kwenye nafasi Huwa hapewi forum ya kuheshimu mawazo yake Kwa sababu watu wanahusudu ubinafsi kuliko maslahi ya Nchi..


Huyu Professor anapenda rushwa na dharau sana hataweza kufanya kazi na mtu
 
Mh.Rais ukiona inafaa ,Mteue Prof.Sospeter Muhongo awe hata Naibu Waziri wa Madini Asaidiane na Dotto Biteko ataleta Tija kwenye Wizara ya Madini..

Huyu bwana Huwa ana Madini na Ushauri mzuri sana kwenye issues za Madini na kiukweli ni mbobezi wa fani hiyo..

Ni mara chache utamkuta prof.Muhongo akichangia mjadala bungeni,mara zote ambazo akichangia Huwa ni kwenye Wizara ya Madini na anaongea vitu logical..

It will make sense ku tape potential yake badala ya kumuacha azeeke na maarifa yake na Tanzania hii kama unavyojua mtu kama hayuko kwenye nafasi Huwa hapewi forum ya kuheshimu mawazo yake Kwa sababu watu wanahusudu ubinafsi kuliko maslahi ya Nchi..

Huyu mwenye kiburi anayesema yeye ndiye msomi mtalaamu peke wa miamba na kwamba alirithishwa unguli huo na mzungu?
Wewe mchumia tumbo utawamaliza mafisadi kutafuna pesa zao bure ili uwapambe kwa sifa njema zisizokuwepo
 
Back
Top Bottom