ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
- Thread starter
-
- #21
Basi Serikali ichukue na kufanyia kazi mawazo yake ,hayo mengine hata nyie mna shida zenu zinazowakera watuHuyu Professor anapenda rushwa na dharau sana hataweza kufanya kazi na mtu
Haamini katika kuwaainua wawekezaji wa ndani. Mengi aliyotuambia akiwa waziri wa nishati hayakuwa sahihi.Yanahusikaje na mawazo yake? Jikite huko
Ulitakiwa kuandika hivi.Basi Serikali ichukue na kufanyia kazi mawazo yake ,hayo mengine hata nyie mna shida zenu zinazowakera watu
Ana mawazo mazuri asikilizweUlitakiwa kuandika hivi.
Mh. Rais Samia kaa na Muh-Ongo akupe mawazo yake juu ya madini.
Muhongo arudishwe nishati tuMh.Rais ukiona inafaa ,Mteue Prof.Sospeter Muhongo awe hata Naibu Waziri wa Madini Asaidiane na Dotto Biteko ataleta Tija kwenye Wizara ya Madini..
Huyu bwana Huwa ana Madini na Ushauri mzuri sana kwenye issues za Madini na kiukweli ni mbobezi wa fani hiyo..
Ni mara chache utamkuta prof.Muhongo akichangia mjadala bungeni,mara zote ambazo akichangia Huwa ni kwenye Wizara ya Madini na anaongea vitu logical..
It will make sense ku tape potential yake badala ya kumuacha azeeke na maarifa yake na Tanzania hii kama unavyojua mtu kama hayuko kwenye nafasi Huwa hapewi forum ya kuheshimu mawazo yake Kwa sababu watu wanahusudu ubinafsi kuliko maslahi ya Nchi..
Madini ndio kunamfaa,Nishati anaweza kwenda hata BitekoMuhongo arudishwe nishati tu
Mijitu yenye dharau kwa Watanzania na kujisifu haina nafasi kwa kipindi hiki. Huyo Profesa ana dharau sana watu, muache aendelee kuwakilisha watu wa Musoma Vijijini tu.Mh.Rais ukiona inafaa ,Mteue Prof.Sospeter Muhongo awe hata Naibu Waziri wa Madini Asaidiane na Dotto Biteko ataleta Tija kwenye Wizara ya Madini..
Huyu bwana Huwa ana Madini na Ushauri mzuri sana kwenye issues za Madini na kiukweli ni mbobezi wa fani hiyo..
Ni mara chache utamkuta prof.Muhongo akichangia mjadala bungeni,mara zote ambazo akichangia Huwa ni kwenye Wizara ya Madini na anaongea vitu logical..
It will make sense ku tape potential yake badala ya kumuacha azeeke na maarifa yake na Tanzania hii kama unavyojua mtu kama hayuko kwenye nafasi Huwa hapewi forum ya kuheshimu mawazo yake Kwa sababu watu wanahusudu ubinafsi kuliko maslahi ya Nchi..
Hiyo rushwa ulimpa ww Kamanda?Basi Serikali ichukue na kufanyia kazi mawazo yake ,hayo mengine hata nyie a damna shida zenu zinazowakera watu