Rais Samia, ikikupendeza tunaomba uwateue hawa wapinzani katika Serikali yako

Rais Samia, ikikupendeza tunaomba uwateue hawa wapinzani katika Serikali yako

Mh Rais, ningependa kukusalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Ama baada ya salamu, Mh Rais ikikupendeza tunaomba umteue Mbowe kuwa mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro, huku Zito Kabwe ukimpa mkoa wa Kigoma.

Najua rais hapangiwi ila huu ni ushauri wangu tu kwako mama yetu, kwa lengo la kudumisha amani, umoja na upendo zaidi kwenye nchi yetu.
duh!! yani Zitto Kabwe naona unapambania ugali kwa kwenda mbele, hutaki kabisa kwenye serikali hii ya mama upitwe bila shavu, endelea kujipigia debe mkuu, wanaweza wakakufikiria.
 
Kwani vyeo vidogo ivyo!!! Yeye akipewa hata ukuu wa wilaya ashukuru

Screenshot_20220217-163147.png
 
Majemedari hawa hizo nafasi zinawafaa, na watazimudu vizuri.
 
Ni kweli kabisa.
Hahahaha.. mkuu ww huwa na misimamo sana. Laiti viongozi wa vyama vyote vya siasa wangekuwa na misimamo kama yako. Nina imani vyama vyao vingekuwa mbali sana. Lakini cha kusikitisha 80% ya viongozi hao ni vigeu geu. Leo wanapanga hili au wanaongea hili, kesho wanapanga lingine au kuongea vingine.
 
duh!! yani Zitto Kabwe naona unapambania ugali kwa kwenda mbele, hutaki kabisa kwenye serikali hii ya mama upitwe bila shavu, endelea kujipigia debe mkuu, wanaweza wakakufikiria.
😷
 
Wafanya hivyo ili watekeleze Sera zao au Sera cha Chama wanachokipinga ? Au hakuna tofauti ya hivi vyama bali ni platform ya kutokea ?

Anyway Ugombea Binafsi tu ungekuja..., Sometimes you are neither left or right or any of the above...
 
Back
Top Bottom