Mwamba 777
JF-Expert Member
- Nov 23, 2020
- 2,055
- 3,535
duh!! yani Zitto Kabwe naona unapambania ugali kwa kwenda mbele, hutaki kabisa kwenye serikali hii ya mama upitwe bila shavu, endelea kujipigia debe mkuu, wanaweza wakakufikiria.Mh Rais, ningependa kukusalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Ama baada ya salamu, Mh Rais ikikupendeza tunaomba umteue Mbowe kuwa mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro, huku Zito Kabwe ukimpa mkoa wa Kigoma.
Najua rais hapangiwi ila huu ni ushauri wangu tu kwako mama yetu, kwa lengo la kudumisha amani, umoja na upendo zaidi kwenye nchi yetu.
Kwani vyeo vidogo ivyo!!! Yeye akipewa hata ukuu wa wilaya ashukuru
Mkuu wewe n8 mwerevu sana huhitaji maelekezo, si unamuona mkenuaji au ? [emoji28]Mkuu hapa unamaanisha huyo wa juu au chini?
View attachment 2147831
View attachment 2147832
View attachment 2147833
Atapofika hapa ikimpendeza mh raisi anaweza kumteua nafasi ya ubunge na kisha kumpa wizara ya katiba na sheria.Na Lissu naye atakuwa nani...?
Hahahaha.. mkuu ww huwa na misimamo sana. Laiti viongozi wa vyama vyote vya siasa wangekuwa na misimamo kama yako. Nina imani vyama vyao vingekuwa mbali sana. Lakini cha kusikitisha 80% ya viongozi hao ni vigeu geu. Leo wanapanga hili au wanaongea hili, kesho wanapanga lingine au kuongea vingine.Ni kweli kabisa.
😷duh!! yani Zitto Kabwe naona unapambania ugali kwa kwenda mbele, hutaki kabisa kwenye serikali hii ya mama upitwe bila shavu, endelea kujipigia debe mkuu, wanaweza wakakufikiria.