Rashidi Jololo
JF-Expert Member
- Sep 21, 2022
- 1,704
- 2,858
Mheshimiwa Rais kuna UPIGAJI MKUBWA unaenda kufanyika hapa, tunakuomba uwe mkali kama Hayati Magufuli ili fedha hizi tulipwe sasa. Walikudanganya kwamba tungelipwa kufikia Septemba 15, hadi leo hii ni SARAKASI tu zinaendelea.
Mheshimiwa Rais tunakuomba ufike Mwanza na kutoa maelekezo, fedha tulizoahidiwa kukopeshwa zilipwe sasa ili nasi tuweze kulipia vizimba vyetu tulivyoagiza. TUSILAZIMISHWE kununua vizimba vyao hawa wababaishaji visivyo na ubora tunaohuitaji, yasije kutokea kama yale ya wakulima kupewa mbegu FAKE na zikashindwa kuota.
Baadhi yetu tuliweka ODA ya vizimba vya kisasa kabisa kutoka kwa wauzaji wa nje ya nchi, hadi sasa tumekwama kuvilipia. Badala yake tunasikia WAPIGA DILI hawa wanatengenezesha vizimba vyao ili tuuziwe hivyo kwa BEI YA JUU (sawa na bajeti yetu ya kuagiza nje ya nchi)- rejea picha za vizimba vya kisasa hapo chini.
Mheshimiwa Rais tunakuomba ufike Mwanza na kutoa maelekezo, fedha tulizoahidiwa kukopeshwa zilipwe sasa ili nasi tuweze kulipia vizimba vyetu tulivyoagiza. TUSILAZIMISHWE kununua vizimba vyao hawa wababaishaji visivyo na ubora tunaohuitaji, yasije kutokea kama yale ya wakulima kupewa mbegu FAKE na zikashindwa kuota.
Baadhi yetu tuliweka ODA ya vizimba vya kisasa kabisa kutoka kwa wauzaji wa nje ya nchi, hadi sasa tumekwama kuvilipia. Badala yake tunasikia WAPIGA DILI hawa wanatengenezesha vizimba vyao ili tuuziwe hivyo kwa BEI YA JUU (sawa na bajeti yetu ya kuagiza nje ya nchi)- rejea picha za vizimba vya kisasa hapo chini.