Kaangalie nani anaetoa misaada zaidi Africa + kuikopesha zaidi Africa ndo utamjua rafiki wa kweli,Rafiki wa kweli wa waafrika ni China na Urusi
wengine wapo kujificha tu wasionekane maovu yao.....
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] amkabidhi kabisa Dala 1000,000 ili aende nazo!Rafiki wa kweli ni yule anayekusaidia nyakati za shida tena bila kumuomba hapa namzumgumzia Marekani ambao misaada yao imekuwa ikiaminika hapa Tanzania kila mwezi kupitia USAID leo wanamatatizo tusikae kimya.
Tornado imeuwa watu wengi na kuharibu mali huku wengi wakiachwa bila makazi na majeruhi kama kimbunga cha Malawi na tetemeko la ardhi Turkey na tumetoa misaada.
Kwa kuwa juzi ulitoa msaada kwa waturuki ambao tangu tupate uhuru hawajawahi kutupa msaada wa kibinadamu kwa yote tuliyopitia itakuwa dhambi kubwa kwaacha wamarekani ambao kila kukicha wanatupatia misaada na wewe ukiongoza kwenda kuomba.
Utamke mbele ya makamu wa rais Kamala Halisi soon atakapo tia miguu hapa Tanzania
USSR
Wale Wakenya wajeuri na wajuaji sana,wacha wapambane na hali yao!Kenya jirani wanakufa na njaa mpaka mifugo inakosa maji inakufa hovyo
Mpaka wanyama pori wakikatisha kwenda huko wanakufa kwa kiu na njaa
[emoji631] mbona mbali sana Kuna majanga Kenya tuwahurumie hao kwanza
Hawa Wapiga kura tutashughulika nao baadaye,Mama anafungua nchi kimataifa kwanza!Mhe. Rais kule Kanda ya Ziwa Wavuvi wa Sangara ndani ya Ziwa Victoria wamepigwa na Kimbunga hicho hicho kama MALAWAI lkn hakuna taarifa yoyote uliyotoa ya Pole, Hakuna aliyewapa msaada wavuvi, Hasara ni ile ile kama waliyopta Malawi, Hakuna Kiongozi yeyote aliyefika kuongea chochote.
Kwa kifupi Wananchi waliokumbwa na Dhoruba ndani ya Ziwa Victoria Serikali imewasusa na Wanashangaa wanaposkia Misaada inaenda MALAWI badala ya kwenda Kwao hapo Mwanza na Musoma.
Hapo chini ni hasara waliyopata na Maafa yaliyotokea na wengine mitaji imekata kabisa ila hawana pa kusemea.
Nawasilisha
View attachment 2567453View attachment 2567454View attachment 2567455View attachment 2567456
View attachment 2567457View attachment 2567458View attachment 2567459View attachment 2567460View attachment 2567461
Na sasa ndio wamelikoroga kabisa!Wale Wakenya wajeuri na wajuaji sana,wacha wapambane na hali yao!
Marekani anatuibia kupitia barrick na acacia nk...hapati msaadaM wa kweli ni yule anayekusaidia nyakati za shida tena bila kumuomba hapa namzumgumzia Marekani ambao misaada yao imekuwa ikiaminika hapa Tanzania kila mwezi kupitia USAID leo wanamatatizo tusikae kimya.
Tornado imeuwa watu wengi na kuharibu mali huku wengi wakiachwa bila makazi na majeruhi kama kimbunga cha Malawi na tetemeko la ardhi Turkey na tumetoa misaada.
Kwa kuwa juzi ulitoa msaada kwa waturuki ambao tangu tupate uhuru hawajawahi kutupa msaada wa kibinadamu kwa yote tuliyopitia itakuwa dhambi kubwa kwaacha wamarekani ambao kila kukicha wanatupatia misaada na wewe ukiongoza kwenda kuomba.
Utamke mbele ya makamu wa rais Kamala Halisi soon atakapo tia miguu hapa Tanzania
USSR
Mississippi kumejaa wabaguzi huko hakuna haja ya kuwapelekea msaada, ingawa black wengi wapo lakini nomaa huko. Pia kumbuka Marekani mwizi wa dunia hahitaji msaada mwizi yule. Sasahivi anaiba Haiti kule madini ya gold na copperRafiki wa kweli ni yule anayekusaidia nyakati za shida tena bila kumuomba hapa namzumgumzia Marekani ambao misaada yao imekuwa ikiaminika hapa Tanzania kila mwezi kupitia USAID leo wanamatatizo tusikae kimya.
Tornado imeuwa watu wengi na kuharibu mali huku wengi wakiachwa bila makazi na majeruhi kama kimbunga cha Malawi na tetemeko la ardhi Turkey na tumetoa misaada.
Kwa kuwa juzi ulitoa msaada kwa waturuki ambao tangu tupate uhuru hawajawahi kutupa msaada wa kibinadamu kwa yote tuliyopitia itakuwa dhambi kubwa kwaacha wamarekani ambao kila kukicha wanatupatia misaada na wewe ukiongoza kwenda kuomba.
Utamke mbele ya makamu wa rais Kamala Halisi soon atakapo tia miguu hapa Tanzania
USSR
Kamala anakuja kutuambia na kutusisitiza tuwe mashoga. Kutuliza upepo wa Uganda unaosambaa Africa.Rafiki wa kweli ni yule anayekusaidia nyakati za shida tena bila kumuomba hapa namzumgumzia Marekani ambao misaada yao imekuwa ikiaminika hapa Tanzania kila mwezi kupitia USAID leo wanamatatizo tusikae kimya.
Tornado imeuwa watu wengi na kuharibu mali huku wengi wakiachwa bila makazi na majeruhi kama kimbunga cha Malawi na tetemeko la ardhi Turkey na tumetoa misaada.
Kwa kuwa juzi ulitoa msaada kwa waturuki ambao tangu tupate uhuru hawajawahi kutupa msaada wa kibinadamu kwa yote tuliyopitia itakuwa dhambi kubwa kwaacha wamarekani ambao kila kukicha wanatupatia misaada na wewe ukiongoza kwenda kuomba.
Utamke mbele ya makamu wa rais Kamala Halisi soon atakapo tia miguu hapa Tanzania
USSR
Rafiki wa kweli ni yule anayekusaidia nyakati za shida tena bila kumuomba hapa namzumgumzia Marekani ambao misaada yao imekuwa ikiaminika hapa Tanzania kila mwezi kupitia USAID leo wanamatatizo tusikae kimya.
Tornado imeuwa watu wengi na kuharibu mali huku wengi wakiachwa bila makazi na majeruhi kama kimbunga cha Malawi na tetemeko la ardhi Turkey na tumetoa misaada.
Kwa kuwa juzi ulitoa msaada kwa waturuki ambao tangu tupate uhuru hawajawahi kutupa msaada wa kibinadamu kwa yote tuliyopitia itakuwa dhambi kubwa kwaacha wamarekani ambao kila kukicha wanatupatia misaada na wewe ukiongoza kwenda kuomba.
Utamke mbele ya makamu wa rais Kamala Halisi soon atakapo tia miguu hapa Tanzania
USSR
Marekani sio sehemu ya siasa za kiki kuwa matatizo ya nchi yanamalizwa na kiongozi, au mambo ya fedha za rais. Huko mifumo ndio inafanya kazi. Hata angekaa nje ya US kwa miaka miwili, bado angekuta matatizo yametatuliwa.Nashauri asije kwanza amalize shida ya watu wake nasi tutakuwa tumejipanga, kwasasa ni ghafla mno
Usidanganywe na umasikini wako ukahasau utu wako;Kaangalie nani anaetoa misaada zaidi Africa + kuikopesha zaidi Africa ndo utamjua rafiki wa kweli,
Sio kumezeshwa maneno na Dictator Nyerere
Sent from my 220333QAG using JamiiForums mobile app