Bila bila
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 22,168
- 39,118
Kuita mauaji ni Jambo la kawaida ni kauli inayopaswa kutoka Kwa Mtu asiyejali, sadist anayefuraia kifo cha mwenzake.
Nikushauri mamangu, wengine tulikuamini Sana na mpaka Leo huwa najiuliza Samia wa March 2021 alipotelea wapi?
Kuna watu wanakushauri uongee maneno makali eti kuonyesha huo ndo ukamanda. Lakini asili yako inakufanya ukosee Kila unapotaka kuonyesha udikiteta.
Kuna watu nchi hii wanaishi Kwa kueneza habari za kufurahisha watu. Wengine wamejenga na wanaendesha magari mazuri Kwa kazi hiyo hiyo ya kutoa sifa feki.
Ogopa kusifiwa na kuletewa habari ambayo hata Mtoto wa la 7B ataiona ina mushikeli. Intelijensia ya Polisi iko vizuri Sana, lakini Taarifa nyingi za matamko ya kipolisi dhidi ya Wapinzani wala siyo Taarifa za kiintelijensia.
Ni viongozi wa Polisi Kwa kuwa wasemaji wa chombo hicho wanakaa na kujitungia uzushi na wameanza kukuwin wanakulisha upepo uamini wanakupenda kumbe wanalinnda nafasi zào.
Chukulia Taarifa ya mkutano wa BAVICHA Taifa pale Mbeya kuzuiwa kutokana na Taarifa za kiintelijensia. Huu ulikuwa utunzi wa Kamishna Awadhi na ndo maana hata RPC wa Mbeya alibaki kushangaa ukali wa bosi wake kwenye Jambo linalohitaji mazungumzo.
Pia soma: Rais Samia: Nina taarifa ya kikao chao cha Arusha, wanapanga uhalifu, Serikali ya Tanzania haiondoshwi hivyo
Nikushauri mamangu, wengine tulikuamini Sana na mpaka Leo huwa najiuliza Samia wa March 2021 alipotelea wapi?
Kuna watu wanakushauri uongee maneno makali eti kuonyesha huo ndo ukamanda. Lakini asili yako inakufanya ukosee Kila unapotaka kuonyesha udikiteta.
Kuna watu nchi hii wanaishi Kwa kueneza habari za kufurahisha watu. Wengine wamejenga na wanaendesha magari mazuri Kwa kazi hiyo hiyo ya kutoa sifa feki.
Ogopa kusifiwa na kuletewa habari ambayo hata Mtoto wa la 7B ataiona ina mushikeli. Intelijensia ya Polisi iko vizuri Sana, lakini Taarifa nyingi za matamko ya kipolisi dhidi ya Wapinzani wala siyo Taarifa za kiintelijensia.
Ni viongozi wa Polisi Kwa kuwa wasemaji wa chombo hicho wanakaa na kujitungia uzushi na wameanza kukuwin wanakulisha upepo uamini wanakupenda kumbe wanalinnda nafasi zào.
Chukulia Taarifa ya mkutano wa BAVICHA Taifa pale Mbeya kuzuiwa kutokana na Taarifa za kiintelijensia. Huu ulikuwa utunzi wa Kamishna Awadhi na ndo maana hata RPC wa Mbeya alibaki kushangaa ukali wa bosi wake kwenye Jambo linalohitaji mazungumzo.
Pia soma: Rais Samia: Nina taarifa ya kikao chao cha Arusha, wanapanga uhalifu, Serikali ya Tanzania haiondoshwi hivyo