Rais samia kaamua kumstaafisha mstaafu na kupambania legacy yake

Rais samia kaamua kumstaafisha mstaafu na kupambania legacy yake

Nehemia Kilave

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2022
Posts
1,414
Reaction score
3,118
>>>I don't fight for the money. I fight for my legacy. I fight for history. I fight for my people and country.

>>>Legacy is not what I did for myself or my family. It's what I'm doing for the next generation of this country.

Mstaafu kastaafu wananchi pamoja Rais Samia wamemstaafisha .

Rais Samia kaamua kutengeneza kumbukumbu yake kwa vizazi vijavyo

Kaamua ku move na watu watakao msaidia kutimiza lengo lake .

2030 hope atastaafu ,Mungu akimjalia kuishi miaka 20-30 mbele afurahie alicho kifanya .

Ni jambo zuri ila asisahau KATIBA MPYA NDIYO LEGACY KUBWA KULIKO ZOTE KATIKA HII NCHI INAYO NUKA UFISAFIDI KILA SEHEMU.
 
Back
Top Bottom