Rais samia kaamua kumstaafisha mstaafu na kupambania legacy yake

Nehemia Kilave

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2022
Posts
1,414
Reaction score
3,118
>>>I don't fight for the money. I fight for my legacy. I fight for history. I fight for my people and country.

>>>Legacy is not what I did for myself or my family. It's what I'm doing for the next generation of this country.

Mstaafu kastaafu wananchi pamoja Rais Samia wamemstaafisha .

Rais Samia kaamua kutengeneza kumbukumbu yake kwa vizazi vijavyo

Kaamua ku move na watu watakao msaidia kutimiza lengo lake .

2030 hope atastaafu ,Mungu akimjalia kuishi miaka 20-30 mbele afurahie alicho kifanya .

Ni jambo zuri ila asisahau KATIBA MPYA NDIYO LEGACY KUBWA KULIKO ZOTE KATIKA HII NCHI INAYO NUKA UFISAFIDI KILA SEHEMU.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…