Amicus Curiae
JF-Expert Member
- Sep 12, 2012
- 5,351
- 7,639
Hapa inakua hivi, Rais anampa maagizo IGP, IGP naye anampa maagizo RPC..kwasababu RPC ndiye muwakilishi wa IGP kwenye mkoa husika. Kwahiyo 'origin' ya amri ni kutoka kwa Mh. Rais, IGP ni mtu wa katikati tu.Hivi inakuwaje Rais wa nchi afanye kazi na RPC badala ya IGP ?
Labda nijaribu kutoa ufafanuzi. Hapa ni kwamba Rais anampa maagizo IGP, IGP naye anampa maagizo RPC kwasababu RPC ndiye muwakilishi wa IGP kwenye mkoa husika. Kwahiyo 'origin' ya amri ni kutoka kwa Mh. Rais.That’s a million dollar question Mkuu, Tusitegemee jibu kutoka Serikali hii haramu.
Labda nijaribu kutoa ufafanuzi. Hapa ni kwamba Rais anampa maagizo IGP, IGP naye anampa maagizo RPC kwasababu RPC ndiye muwakilishi wa IGP kwenye mkoa husika. Kwahiyo 'origin' ya amri ni kutoka kwa Mh. Rais.
Mkuu, huko kwenye udikteta mimi sipo [emoji3]Soma kauli mbili za RPC Mwanza ambazo ZINAPINGANA
Kauli ya kwamba ni amri kutoka Rais
Kauli ya pili ni Chadema haikuomba kibali.
Bila ya shaka huyo RPC kama ilivyokuwa kawaida ya polisiccm anasema uongo katika kauli moja au zote mbili na Katiba ya nchi haisemi chama cha upinzani chochote nchini hakiwezi kufanya shughuli zake bila kibali cha polisiccm huo ni udikteta uliokuwa created na maccm.
Mkuu, huko kwenye udikteta mimi sipo [emoji3]
Kimsingi mimi niliji-confine kwenye kung'amua swali kwamba "ni kwanini Rais afanye kazi na RPC badala ya IGP?".
Remote control ya bwagamoyo
Mhusika yupo yupo tu
Wanamchezea faulu ye mwenyewe kutwa kuzunguluka
Ni swala la muda akiamka atakuta walafi wamegawana
JE NI KWELI KAAGIZWA? NI LAZIMA ASEME?
Sakata la CHADEMA na Polisi huko Mwanza lina harufu ya hujuma zifuatazo:
1. Je ni kweli Mh. Rais kaagiza kongamano lizuiwe?
2. Kama kaagiza kwa nini amuagize RPC badala ya IGP?
3. Je ni kweli RPC kasema hadharani kuwa kaagizwa na Rais au kachomekewa maneno na waandishi?
4. Kama ni kweli RPC amesema kuwa katumwa na Rais, kulikuwa na ulazima wa yeye kusema hivyo hadharani? Uwajibikaji wa pamoja uko wapi?
NIONAVYO MIMI:
Uhuru ni kitu pekee kinachotakiwa kulindwa kwa gharama zozote. Kwa hiyo:
1. Wanaokusanyika kupinga katiba mpya wawe huru kama wanaokusanyika kuunga mkono.
2. Vyombo vya ulinzi vilinde katiba visilinde watu, vyama, wala Viongozi.
3. Kuzuia watu kukusanyika ni kuandaa watu kutokusanyika watakapotakiwa kukusanyika. Matumizi ya nguvu ni tabia ya tawala zisizokubalika (Illegitimate). Utawala wetu unakubalika kwa hiyo ujitenge na matumizi ya nguvu.
4. Zipo dalili pevu za njama na hujuma za kufarakanisha utawala huu na wananchi katika sekta nyingi: uchumi, siasa, usalama, na Haki za Binadamu. Adui wa kwanza wa utawala huu si wapinzani, si awamu iliyopita, NI serikali yenyewe inayoelekea kufarakana na kujianika.
Mama asirithi marafiki wala maadui. Atengeneze marafiki na maadui wake.
Lisemwalo LINAWEZA kuwapo. Ondoa miwani utaliona.
Askofu Bagonza
RPC-Mwanza, SACP Ramadhan Ngh'anzi anasema John Heche na Peer Msigwa kuwa walipaswa kutoa taarifa kwake kuwa wanaingia Mwanza na watafanya shughuli zao hapo. RPC hajui lolote kuhusu "uhuru wa mtu kwenda atakako" (ib.17) katiba ya JMT, sheria ya 1984, Na. 15?JE NI KWELI KAAGIZWA? NI LAZIMA ASEME?
Sakata la CHADEMA na Polisi huko Mwanza lina harufu ya hujuma zifuatazo:
1. Je ni kweli Mh. Rais kaagiza kongamano lizuiwe?
2. Kama kaagiza kwa nini amuagize RPC badala ya IGP?
3. Je ni kweli RPC kasema hadharani kuwa kaagizwa na Rais au kachomekewa maneno na waandishi?
4. Kama ni kweli RPC amesema kuwa katumwa na Rais, kulikuwa na ulazima wa yeye kusema hivyo hadharani? Uwajibikaji wa pamoja uko wapi?
NIONAVYO MIMI:
Uhuru ni kitu pekee kinachotakiwa kulindwa kwa gharama zozote. Kwa hiyo:
1. Wanaokusanyika kupinga katiba mpya wawe huru kama wanaokusanyika kuunga mkono.
2. Vyombo vya ulinzi vilinde katiba visilinde watu, vyama, wala Viongozi.
3. Kuzuia watu kukusanyika ni kuandaa watu kutokusanyika watakapotakiwa kukusanyika. Matumizi ya nguvu ni tabia ya tawala zisizokubalika (Illegitimate). Utawala wetu unakubalika kwa hiyo ujitenge na matumizi ya nguvu.
4. Zipo dalili pevu za njama na hujuma za kufarakanisha utawala huu na wananchi katika sekta nyingi: uchumi, siasa, usalama, na Haki za Binadamu. Adui wa kwanza wa utawala huu si wapinzani, si awamu iliyopita, NI serikali yenyewe inayoelekea kufarakana na kujianika.
Mama asirithi marafiki wala maadui. Atengeneze marafiki na maadui wake.
Lisemwalo LINAWEZA kuwapo. Ondoa miwani utaliona.
Askofu Bagonza
Kama hili linaukweli,amelichuma kwa mikono yake.JE NI KWELI KAAGIZWA? NI LAZIMA ASEME?
Sakata la CHADEMA na Polisi huko Mwanza lina harufu ya hujuma zifuatazo:
1. Je ni kweli Mh. Rais kaagiza kongamano lizuiwe?
2. Kama kaagiza kwa nini amuagize RPC badala ya IGP?
3. Je ni kweli RPC kasema hadharani kuwa kaagizwa na Rais au kachomekewa maneno na waandishi?
4. Kama ni kweli RPC amesema kuwa katumwa na Rais, kulikuwa na ulazima wa yeye kusema hivyo hadharani? Uwajibikaji wa pamoja uko wapi?
NIONAVYO MIMI:
Uhuru ni kitu pekee kinachotakiwa kulindwa kwa gharama zozote. Kwa hiyo:
1. Wanaokusanyika kupinga katiba mpya wawe huru kama wanaokusanyika kuunga mkono.
2. Vyombo vya ulinzi vilinde katiba visilinde watu, vyama, wala Viongozi.
3. Kuzuia watu kukusanyika ni kuandaa watu kutokusanyika watakapotakiwa kukusanyika. Matumizi ya nguvu ni tabia ya tawala zisizokubalika (Illegitimate). Utawala wetu unakubalika kwa hiyo ujitenge na matumizi ya nguvu.
4. Zipo dalili pevu za njama na hujuma za kufarakanisha utawala huu na wananchi katika sekta nyingi: uchumi, siasa, usalama, na Haki za Binadamu. Adui wa kwanza wa utawala huu si wapinzani, si awamu iliyopita, NI serikali yenyewe inayoelekea kufarakana na kujianika.
Mama asirithi marafiki wala maadui. Atengeneze marafiki na maadui wake.
Lisemwalo LINAWEZA kuwapo. Ondoa miwani utaliona.
Askofu Bagonza
RPC-Mwanza, SACP Ramadhan Ngh'anzi anasema John Heche na Peer Msigwa kuwa walipaswa kutoa taarifa kwake kuwa wanaingia Mwanza na watafanya shughuli zao hapo. RPC hajui lolote kuhusu "uhuru wa mtu kwenda atakako" (ib.17) katiba ya JMT, sheria ya 1984, Na. 15?
Muraaaa kodi muraaaaaMi naona kama huyu anayeitwa mama kama haelewi kinachoendelea, au tuna Raisi pambo tuu , sielew elew , how comes unaaprove vitu wrongly kama hv , kwenye tozo za miamala ni moja ya maamuz ya kijinga kuwah kutokea ...si Bora uongeze jero kila muamala ..
Chelewa ufike. Kama angali ana nia njema na afike sasa. Tutakuwapo kumwuunga mkono.Kama hili linaukweli,amelichuma kwa mikono yake.
Alipoingia madarakani watu tulishaumu avunje baraza la waziri na kufumua mtandao was mtangulizi wake hakuelewa.
Sasa ataelewa lakini kishachelewa
Jalalani"Huyu naye ameokotwa wapi? -- Nyerere (rip).
Jalalani
Kwa yanayoendelea ndani ya taifa,hivi sasa na weza kusema zile mia za kwanza zilikuwa ni hadaa, iliyokuwa na malengo yenye manufaa kwa wachache kama ilivyo ada kwa wanasiasa.JE NI KWELI KAAGIZWA? NI LAZIMA ASEME?
Sakata la CHADEMA na Polisi huko Mwanza lina harufu ya hujuma zifuatazo:
1. Je ni kweli Mh. Rais kaagiza kongamano lizuiwe?
2. Kama kaagiza kwa nini amuagize RPC badala ya IGP?
3. Je ni kweli RPC kasema hadharani kuwa kaagizwa na Rais au kachomekewa maneno na waandishi?
4. Kama ni kweli RPC amesema kuwa katumwa na Rais, kulikuwa na ulazima wa yeye kusema hivyo hadharani? Uwajibikaji wa pamoja uko wapi?
NIONAVYO MIMI:
Uhuru ni kitu pekee kinachotakiwa kulindwa kwa gharama zozote. Kwa hiyo:
1. Wanaokusanyika kupinga katiba mpya wawe huru kama wanaokusanyika kuunga mkono.
2. Vyombo vya ulinzi vilinde katiba visilinde watu, vyama, wala Viongozi.
3. Kuzuia watu kukusanyika ni kuandaa watu kutokusanyika watakapotakiwa kukusanyika. Matumizi ya nguvu ni tabia ya tawala zisizokubalika (Illegitimate). Utawala wetu unakubalika kwa hiyo ujitenge na matumizi ya nguvu.
4. Zipo dalili pevu za njama na hujuma za kufarakanisha utawala huu na wananchi katika sekta nyingi: uchumi, siasa, usalama, na Haki za Binadamu. Adui wa kwanza wa utawala huu si wapinzani, si awamu iliyopita, NI serikali yenyewe inayoelekea kufarakana na kujianika.
Mama asirithi marafiki wala maadui. Atengeneze marafiki na maadui wake.
Lisemwalo LINAWEZA kuwapo. Ondoa miwani utaliona.
Askofu Bagonza
Huyo RPC Ni mpumbavu,kongamano la Dar mbona mama hakuzuia aje azuie la mwanza? Hao wanajituma wenyewe Kisha wanamsingizia mama.yaani mama kamtoa mdude,aje azuie kongamano.mnapokuwa na polisi wa aina hii ndiyo madhara yake.JE NI KWELI KAAGIZWA? NI LAZIMA ASEME?
Sakata la CHADEMA na Polisi huko Mwanza lina harufu ya hujuma zifuatazo:
1. Je ni kweli Mh. Rais kaagiza kongamano lizuiwe?
2. Kama kaagiza kwa nini amuagize RPC badala ya IGP?
3. Je ni kweli RPC kasema hadharani kuwa kaagizwa na Rais au kachomekewa maneno na waandishi?
4. Kama ni kweli RPC amesema kuwa katumwa na Rais, kulikuwa na ulazima wa yeye kusema hivyo hadharani? Uwajibikaji wa pamoja uko wapi?
NIONAVYO MIMI:
Uhuru ni kitu pekee kinachotakiwa kulindwa kwa gharama zozote. Kwa hiyo:
1. Wanaokusanyika kupinga katiba mpya wawe huru kama wanaokusanyika kuunga mkono.
2. Vyombo vya ulinzi vilinde katiba visilinde watu, vyama, wala Viongozi.
3. Kuzuia watu kukusanyika ni kuandaa watu kutokusanyika watakapotakiwa kukusanyika. Matumizi ya nguvu ni tabia ya tawala zisizokubalika (Illegitimate). Utawala wetu unakubalika kwa hiyo ujitenge na matumizi ya nguvu.
4. Zipo dalili pevu za njama na hujuma za kufarakanisha utawala huu na wananchi katika sekta nyingi: uchumi, siasa, usalama, na Haki za Binadamu. Adui wa kwanza wa utawala huu si wapinzani, si awamu iliyopita, NI serikali yenyewe inayoelekea kufarakana na kujianika.
Mama asirithi marafiki wala maadui. Atengeneze marafiki na maadui wake.
Lisemwalo LINAWEZA kuwapo. Ondoa miwani utaliona.
Askofu Bagonza
Hawezi??!FYI RPC hawezi kusema ni maagizo kapewa na Rais kama maagizo alipewa na IGP.