Rais Samia kabambikiwa sakata la Mwanza?

Mnajifariji buree tu na askofu uchwara mnajipendekezaa bure tu system imewatema Chadema kama huamini subiri sasa
System haiwezi kutema raia, kelele za raia zikizidi hata hiyo system huwageuka watawala. Usikariri, system huwa haimilikiwi. na mtu, watawala waliodhani system iko mifukoni mwao huishia kujuta
 
mkuu upumbavu wako ndio umekulemaza hutaki kufikiri tena.

unakumbuka rais alisemaje kuhusu mikutano!!! ulitaka rpc aseme ametumwa na sabaya kuzuia??
 
Mkuu unahitaj kujua kuwa nchi haiongozwi na rais Bali na RAIS..
 
Wapuuzi kama wewe ni hasara kubwa kwa Taifa.
Mkuu c unapenda mawazo huru, siku nyingine mtu akikujib vibaya yamaza kumjib kwa jib lisilo na staha unaweza kuwa Kama mtu anaeoga kwenye zile bafu zetu za uswaz, halafu chiz kapitia nguo, mtu hyo akatoka bafuni kumfumkuza chiz...

Sasa Nan hapo chiz mkuu..
(Sometimes salent is pure answer...)
 
Acha ushamba ,mnataka kurudishwa enzi za kuporwa hela ?binadamu sijui mkoje ?kwani umelazimishwa kutuma hele yako kwa njia simu ?
 
Naomba majina matatu ya Askofu Bagonza mkuu.
 
Reactions: BAK
Siku zote conclusion zangu zimekuwa on the spot. Sasa huyo ana kauli mbili tofauti moja inamuhusu samia na nyingine yeye mwenyewe. Je samia atakanusha kwamba hakumpa maagizo yoyote!? Je, atatupa kipengele cha katiba kinachoruhusu yeye kuwazuai Chadema kufanya kongamano?

Serikali imejaa waongo, polisiccm imejaa waongo. Nchi za wenzetu ukweli tungeujua tu, lakini kwa Tanzania tusahau hilo. Hizo kauli mbili ZINAZOPINGANA za RPC zitaendelea kusimama.

Jumapili njema Mkuu.


 

 

Umekuwa unakesha kwenye mitandao kwa nia moja tu ,kupotosha ,hivi unadhani hao wapuuzi wanaojifanya kupigania katiba wakiongozwa na TONDO (mjinga)mbowe ndio watafanikiwa ? Watanzania sio wajinga hata kidogo.Jitu lenyewe limengangania madaraka ndani ya chama zaidi ya miaka ishirini leo ndio anaongoza harakati kutaka katiba mpya ?nadhani hata kama kuna hitaji la katiba hawa wapuuzi wanaongoza na wanaharakati uchwara ndio wanaoharibu hata umuhimu wa uwepo wa hiyo katiba.
 
Uelewa wako ni mdogo sana.. sidhani hata kama unajua kuwa Katiba ndo msingi wa kila kitu kwenye nchi. Pole Sana
 
Kwa hiyo wanaoteseka ni Chadema tu!! Una ufinyu mkubwa wa akili wewe.
Chadem ndio wanaogeseke kwa kupiga makelele ya kila aina. ,ulishawahi kumsikia mzee Warioba akitoa mapovu kama waacdm ingawaje nae ni muasisi wa katiba mnayoigania? Nrother katiba si zao la fujo bali ni mipango
 
Wapumbavu kama wewe ni hasara kubwa kwa Taifa. Kwako wewe kupora uchaguzi kulikofanywa na wahuni wa maccm wakishirikiana na polisiccm na Tume FEKI ya uchaguzi ni jambo la kupigia makofi na la kujivunia.

 
Hata kuandika hujui wapuuzi kama wewe ndiyo mtaji mkubwa wa maccm. Miaka 60 ya nchi kuwa huru hatuna chochote kile cha kujivunia kama nchi.

Chadem ndio wanaogeseke kwa kupiga makelele ya kila aina. ,ulishawahi kumsikia mzee Warioba akitoa mapovu kama waacdm ingawaje nae ni muasisi wa katiba mnayoigania? Nrother katiba si zao la fujo bali ni mipango
 
Mkuu umeandka vzr mno nadhani Kama nliwahi kumsoma mtu ambae anamaoni mazr kuhusu katiba kwangu binafsi umekuwa1, utofauti mkubwa kwenye katiba si katiba iliyopo ni maadili..

Sasa angalia tabia za watu wanaotaka katiba utajua..
 
Mjinga hawezi kuongea kauli kama hii ya kuleta maridhiano nchini.
Wanongozwa ni mtu mjinga (TONDO kwa kichagga ) unategemea nini ?
 
Wapumbavu kama wewe ni hasara kubwa kwa Taifa. Kwako wewe kupora uchaguzi kulikofanywa na wahuni wa maccm wakishirikiana na polisiccm na Tume FEKI ya uchaguzi ni jambo la kupigia makofi na la kujivunia.

Kama uchaguzi uliporwa mbona yule jamaa yenu aliehamasisha muandamane kudai haki mlifanikiwa ? Watanzania sio wajinga kama mnavyotaka kutuaminisha jie wahueni wachache chini ya Mwamba mjinga (TONDO)
 
Narudia tena Wapumbavu kama wewe ni mtaji mkubwa wa maccm kuendelea kupora chaguzi.


Kama uchaguzi uliporwa mbona yule jamaa yenu aliehamaaisha muandamane kudai haki mlifanikiwa ? Watanzania sio wajinga kama mnavyotaka kutuaminisha jie wahueni wachache chini ya Mwamba mjinga (TONDO)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…