ubarinolutu
JF-Expert Member
- Oct 22, 2012
- 2,424
- 4,954
dah inauma, kumbe ukiwa na godfather huguswi hata ukivurundaBosi wa Ewura ni mume wa Betina unategemea nini?
DuuBosi wa Ewura ni mume wa Betina unategemea nini?
Nchi ina Mihimili mingapi? Basi hapo ni sehemu mojawapo ya "Mihimili" ya nchiKatika sehemu au shirika lililoboronga EWURA ni namba moja, ikifuatiwa na TANESCO, ILA Mabadiliko yaliyofanyika hayajagusa kabisa EWURA, na sisi wananchi tunashangaa jambo hili.
Tulitegemea EWURA nao waguswe, ila wameguswa wengine, Kuna Nini hapa , mana hata sielewi kabisa, Kilichomponza maharage si kwamba ni mtendaji mbaya Bali ni Kwa sababu ya ukaribu wake na Makamba ambaye naye anawindwa vikali na Sukuma Gang.
Yaani unataka aguse muhimili wa Bunge?Katika sehemu au shirika lililoboronga EWURA ni namba moja, ikifuatiwa na TANESCO, ILA Mabadiliko yaliyofanyika hayajagusa kabisa EWURA, na sisi wananchi tunashangaa jambo hili.
Tulitegemea EWURA nao waguswe, ila wameguswa wengine, Kuna Nini hapa , mana hata sielewi kabisa, Kilichomponza maharage si kwamba ni mtendaji mbaya Bali ni Kwa sababu ya ukaribu wake na Makamba ambaye naye anawindwa vikali na Sukuma Gang.
KujuanaYaani unataka aguse muhimili wa Bunge?
Kinyume Cha godfather Ni nini?dah inauma, kumbe ukiwa na godfather huguswi hata ukivurunda
Serikali ya ukooKatika sehemu au shirika lililoboronga EWURA ni namba moja, ikifuatiwa na TANESCO, ILA Mabadiliko yaliyofanyika hayajagusa kabisa EWURA, na sisi wananchi tunashangaa jambo hili.
Tulitegemea EWURA nao waguswe, ila wameguswa wengine, Kuna Nini hapa , mana hata sielewi kabisa, Kilichomponza maharage si kwamba ni mtendaji mbaya Bali ni Kwa sababu ya ukaribu wake na Makamba ambaye naye anawindwa vikali na Sukuma Gang.
Alieshindwa ni Samia sio vijana wakeKAULI YA samia YA UKARABATI WA MASHINE NI YA UONGO NA ANAPASWA ATUBU HAIWEZEKANI LEO AONGEE HABARI YA SERVICE WAKATI NDIO KITU WATANZANIA TULIJUA KINAFANYOWA KAZI KIPINDI CHOTE CHA MIAKA MIWILI YA HAO VIJANA WAKE WALIOSHINDWA NA KUHAMISHIWA SEHEMU NYINGINE😕
Mume wa Tulia ni kibaraka wa familia fulani mtawala wa kale, familia hiyo inafanya biashara nyingi, miongoni mwa biashara hizo ni ya mafuta.Katika sehemu au shirika lililoboronga EWURA ni namba moja, ikifuatiwa na TANESCO, ILA Mabadiliko yaliyofanyika hayajagusa kabisa EWURA, na sisi wananchi tunashangaa jambo hili.
Tulitegemea EWURA nao waguswe, ila wameguswa wengine, Kuna Nini hapa , mana hata sielewi kabisa, Kilichomponza maharage si kwamba ni mtendaji mbaya Bali ni Kwa sababu ya ukaribu wake na Makamba ambaye naye anawindwa vikali na Sukuma Gang.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nchi ina Mihimili mingapi? Basi hapo ni sehemu mojawapo ya "Mihimili" ya nchi
EWURA kwa mume wa yule ajuza mikataba mibovu itapitaje bungeni?Katika sehemu au shirika lililoboronga EWURA ni namba moja, ikifuatiwa na TANESCO, ILA Mabadiliko yaliyofanyika hayajagusa kabisa EWURA, na sisi wananchi tunashangaa jambo hili.
Tulitegemea EWURA nao waguswe, ila wameguswa wengine, Kuna Nini hapa , mana hata sielewi kabisa, Kilichomponza maharage si kwamba ni mtendaji mbaya Bali ni Kwa sababu ya ukaribu wake na Makamba ambaye naye anawindwa vikali na Sukuma Gang.