In case hayupo, namkumbusha! But most likely yupo kama ulivyosema
Simba wa Kizimkazi 😄🌹Namshauri Samia akazane kuchota hela na kulijenga Kizimkazi, maana 2025 hana chake.
Kama atafungua akubali kuwa anatujibu hiyo ndio Demokrasia.ambayo haitaruhusu reply kutoka kwa contributors
Kwa maandamano ya wamasai Vipofu waliona na Viziwi walisikia
Yupo mbona ila leo yuko kwenye kilele cha tamasha KizimkazuWasaidizi wako ni machawa, watakwambia lile ambalo wanaona utalipenda kulisikia na kulinda interest zao! . Ukweli uko hpa JF!
Kuna siku ulisema huwa unapitia hapa, tenga muda kidogo upitie au ikikupendeza fungua akaunti ambayo haitaruhusu reply kutoka kwa contributors
Yupo mbona ila leo yuko kwenye kilele cha tamasha KizimkazuWasaidizi wako ni machawa, watakwambia lile ambalo wanaona utalipenda kulisikia na kulinda interest zao! . Ukweli uko hpa JF!
Kuna siku ulisema huwa unapitia hapa, tenga muda kidogo upitie au ikikupendeza fungua akaunti ambayo haitaruhusu reply kutoka kwa contributors
🤭
Na ata akiwa rais tena ni just 5 yrs😳kisha what next!! Abdull (mtoto wke) wapi Watoto wa Mpaka/lowasa,JK... mwinyi??Tanzania ni nchi ambayo MUNGU wa kweli alisha kabidhiwa!!!Waendeleee tu🙏kama wanatumia Oxgen na pia wana bank acc Dubai! Sadam Husein na huyu waziri wa bagldesh ! Weweke helaWasaidizi wako ni machawa, watakwambia lile ambalo wanaona utalipenda kulisikia na kulinda interest zao! . Ukweli uko hpa JF!
Kuna siku ulisema huwa unapitia hapa, tenga muda kidogo upitie au ikikupendeza fungua akaunti ambayo haitaruhusu reply kutoka kwa contributors
sidhani