Rais Samia kaniponza! Ilibaki kidogo niache unga

Rais Samia kaniponza! Ilibaki kidogo niache unga

Kesho kunani

Member
Joined
Sep 10, 2023
Posts
72
Reaction score
191
Samia kaniponza! Ilibaki kidogo niache unga.

Leo baada ya kutoka church niliamua kwenda sokoni kununua mahitaji ya home, nikiwa sokoni katika story za hapa na pale wamama wauza nyanya wakaanza kulalamika ugumu wa maisha na kumtupia lawama Samia.

" Yaani kila kitu anapeleka kwao Zanzibar,na kazi za maana zote anawapa wazanzibar.. huyu mwanamke hatujali kabisaaa.. na tusipokuwa makini atauza kila kitu.." aliongea mama aliyekuwa ananiuzia nyanya.

Licha ya kutokubaliana na Samia kwa Mambo mengi lakini kauli hii sikuiona Kama sahihi, hivyo Bila kusita nilianza kumtetea.

" Haipo hivyo Mama zangu.. unajua Samia anania nzuri ila......."

Paaaaaa... Kabla sijamaliza kuongea nilipigwa konde la ajabu Sana, mpaka Sasa sielewi Kama yule mama alinipiga na mkono wake au alitumia tofali.

Muda huu nipo home,japo masikio Hadi Sasa hayasikii vizuriii kutokana na lile konde.

Upande mmoja wa nafsi unaniambia nikakichafue, lakini kila nikikumbuka lile konde miguu inakosa nguvu kabisaaa.

Samia umeniponza, Kama upo humu na unasoma hili mtume chawa wako afanye muamala chap nikatulize haya maumivu la chaz.

Kesho kunani
Kwasasa Songea, Majengo Mnadani.
 
Samia kaniponza! Ilibaki kidogo niache unga.

Leo baada ya kutoka church niliamua kwenda sokoni kununua mahitaji ya home, nikiwa sokoni katika story za hapa na pale wamama wauza nyanya wakaanza kulalamika ugumu wa maisha na kumtupia lawama Samia.

" Yaani kila kitu anapeleka kwao Zanzibar,na kazi za maana zote anawapa wazanzibar.. huyu mwanamke hatujali kabisaaa..
Kwasasa songea,majengo mnadani.
Wanaomtetea sa100 ni watumishi wa serikali wachache sana, na viongozi wa kuteuliwa. Hata kwenye makundi ya whatsapp, wanaomtetea wengi wao ni viongozi au wanaotegemea kupata teuzi (chawa)
Pole sana kwa yaliyokukuta!😄
 
Samia kaniponza! Ilibaki kidogo niache unga.

Leo baada ya kutoka church niliamua kwenda sokoni kununua mahitaji ya home, nikiwa sokoni katika story za hapa na pale wamama wauza nyanya wakaanza kulalamika ugumu wa maisha na kumtupia lawama Samia.

" Yaani kila kitu anapeleka kwao Zanzibar,na kazi za maana zote anawapa wazanzibar.. huyu mwanamke hatujali kabisaaa.. na tusipokuwa makini atauza kila kitu.." aliongea mama aliyekuwa ananiuzia nyanya.

Licha ya kutokubaliana na Samia kwa Mambo mengi lakini kauli hii sikuiona Kama sahihi,hivyo Bila kusita nilianza kumtetea.

" Haipo hivyo Mama zangu.. unajua Samia anania nzuri ila......."

Paaaaaa...Kabla sijamaliza kuongea nilipigwa konde la ajabu Sana, mpaka Sasa sielewi Kama yule mama alinipiga na mkono wake au alitumia tofali.

Muda huu nipo home,japo masikio Hadi Sasa hayasikii vizuriii kutokana na lile konde.

Upande mmoja wa nafsi unaniambia nikakichafue ,lakini kila nikikumbuka lile konde miguu inakosa nguvu kabisaaa.

Samia umeniponza, Kama upo humu na unasoma hili mtume chawa wako afanye muamala chap nikatulize haya maumivu la chaz.

Kesho kunani
Kwasasa songea,majengo mnadani.
Anapeleka kazi zipi Zanzibar?
 
Paaaaaa...Kabla sijamaliza kuongea nilipigwa konde la ajabu Sana, mpaka Sasa sielewi Kama yule mama alinipiga na mkono wake au alitumia tofali.
Huyu mama kama unaweza pata connection zake nijulishe inbox nimtumie angalau laki aongezee kweny mtaji wake!! Nakala iende kwa Lucas mwashamba, natumai nae atakumbana na sekeseke kama lako mtoa mada!!
 
Samia kaniponza! Ilibaki kidogo niache unga.

Leo baada ya kutoka church niliamua kwenda sokoni kununua mahitaji ya home, nikiwa sokoni katika story za hapa na pale wamama wauza nyanya wakaanza kulalamika ugumu wa maisha na kumtupia lawama Samia.

" Yaani kila kitu anapeleka kwao Zanzibar,na kazi za maana zote anawapa wazanzibar.. huyu mwanamke hatujali kabisaaa.. na tusipokuwa makini atauza kila kitu.." aliongea mama aliyekuwa ananiuzia nyanya.

Licha ya kutokubaliana na Samia kwa Mambo mengi lakini kauli hii sikuiona Kama sahihi,hivyo Bila kusita nilianza kumtetea.

" Haipo hivyo Mama zangu.. unajua Samia anania nzuri ila......."

Paaaaaa...Kabla sijamaliza kuongea nilipigwa konde la ajabu Sana, mpaka Sasa sielewi Kama yule mama alinipiga na mkono wake au alitumia tofali.

Muda huu nipo home,japo masikio Hadi Sasa hayasikii vizuriii kutokana na lile konde.

Upande mmoja wa nafsi unaniambia nikakichafue ,lakini kila nikikumbuka lile konde miguu inakosa nguvu kabisaaa.

Samia umeniponza, Kama upo humu na unasoma hili mtume chawa wako afanye muamala chap nikatulize haya maumivu la chaz.

Kesho kunani
Kwasasa songea,majengo mnadani.
Ndo ukome
 
Taifa la walalamishi ova watoto wa kambo. Tangu mwalimu Nyerere, kisha Mwinyi, halafu Mkapa akaja Jakaya baadaye Magufuli na sasa Samia ni kulalamika tu kama watoto waliolelewa na bibi.

Na atakayekuja baada ya Samia atalalamikiwa tu kama kawaida. Tunaishi kwa mazoea mno!
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Taifa la walalamishi ova watoto wa kambo. Tangu mwalimu Nyerere, kisha Mwinyi, halafu Mkapa akaja Jakaya baadaye Magufuli na sasa Samia ni kulalamika tu kama watoto waliolelewa na bibi.

Na atakayekuja baada ya Samia atalalamikiwa tu kama kawaida. Tunaishi kwa mazoea mno!
Sent using Jamii Forums mobile app
Wabongo labda uwaletee malaika awe rais wao. Hakuna rais aliyependwa nchi na wote hayupo na hatakuwepo.
 
Back
Top Bottom