Wimbo
JF-Expert Member
- Oct 23, 2012
- 866
- 625
Mama wa Taifa Samia, mambo mengine ni ya kuziba sikio maadamu unajua ni wapi unataka twende.
Mzee wako Mwinyi alipotutoa katika kongwa la uchumi wa chungu kimoja akatuletea uchumi huria tulipiga kelele hakuna mfano, najiuliza leo tungelikuwa bado huko tungekuweje,?
Mkapa akapokea kijiti na kugundua kwamba mashirika mengi ya umma yalikuwa ni mzigo mzito mno kwa serikali akayabinafsisha, kelele zilizopigwa hazina mfano.
Kikwete akadaka kijiti akaelekeza nguvu kwenye miundombinu na kuifungua Nchi kwenye Dunia ya diplomasia na kila mtz aweze kuchangia katika kukwamua hali yake na hatimaye Nchi kwa ujumla watu bado walipiga kelele. akaingia Chuma, yeye hakutaka hata kusikiliza mtu, akafanya yale aliyoona yanatufaa na kweli mziki wake tuliuona na histolia yake japo hatujaiandika na bahati mbaya aliondoka bila kuandika kitabu chake lakini aliyoyasimamia yana kumbukumbu ya ya 100years + vizazi vijavyo vitamuandika sana.
Risk avers always inamfaya mtu anayetaka kujikomboa achelewe shauri ya woga, Risk taker mara nyingi anatoboa, Mama WA TAIFA SAMIA Usiogope kuchukua risk, the higher the Risk the higher the return. kama kuna anayetaka kukuzingua thibitisha yale maneno yako.
(Ukinizingua nitakuzingua)
Mzee wako Mwinyi alipotutoa katika kongwa la uchumi wa chungu kimoja akatuletea uchumi huria tulipiga kelele hakuna mfano, najiuliza leo tungelikuwa bado huko tungekuweje,?
Mkapa akapokea kijiti na kugundua kwamba mashirika mengi ya umma yalikuwa ni mzigo mzito mno kwa serikali akayabinafsisha, kelele zilizopigwa hazina mfano.
Kikwete akadaka kijiti akaelekeza nguvu kwenye miundombinu na kuifungua Nchi kwenye Dunia ya diplomasia na kila mtz aweze kuchangia katika kukwamua hali yake na hatimaye Nchi kwa ujumla watu bado walipiga kelele. akaingia Chuma, yeye hakutaka hata kusikiliza mtu, akafanya yale aliyoona yanatufaa na kweli mziki wake tuliuona na histolia yake japo hatujaiandika na bahati mbaya aliondoka bila kuandika kitabu chake lakini aliyoyasimamia yana kumbukumbu ya ya 100years + vizazi vijavyo vitamuandika sana.
Risk avers always inamfaya mtu anayetaka kujikomboa achelewe shauri ya woga, Risk taker mara nyingi anatoboa, Mama WA TAIFA SAMIA Usiogope kuchukua risk, the higher the Risk the higher the return. kama kuna anayetaka kukuzingua thibitisha yale maneno yako.
(Ukinizingua nitakuzingua)