Rais Samia kapata wapi ujasiri wa kusafiri ilhali kuna majanga nchini?

Rais Samia kapata wapi ujasiri wa kusafiri ilhali kuna majanga nchini?

Sawa endelea kushabikia na uchawa Serikali inafanya kazi nzuri sana tuna vifaa vya ukoaji, majengo yanakaguliwa kama sheria inavyofanya na tuna demokrasia basi furahi na endeleo na maisha yako fake kama ndiyo unavyofikiria.

Sisi wengine tutaendelea kurekebisha kutaka demokrasia, katiba, usalama kweli wa raia kama kariakoo na sio washawasha na kujali nchi na sio chama chochote. Wewe endelea na uchawa wako na sisi tunaendelea na mapambano ya taifa hili. Kila mtu ana wito wake.
Huyo usihangakaike nae
Ni jitu jinga tu hilo
Lenyewe linadhani ndo mwana CCM Bora kuliko wengine au ndo anammliki Rais
Hajui Rais ni WA Watanzania wote
Tunamkosoa na kusifia ikibidi
 
Serikali sikivu ya CCM haiwezi kubabaika na makasiriko wala mihemko ya kibaraka au mercenaries wao wowote humu nchini..

kwasasa,
Serikali iko kazini kuhakikisha wahanga wote waliokwama kwenye vifusi kwenye jengo lililoporomoka kariokoo wanaopolewa kadiri iwezekanavyo..

Pamoja na hayo,
kazi ya kuwatumikia waTanzania haijasimama, bali unaendelea kwa kasi, bidii na weledi wa kiwango cha juu sana.

Inshallah,
Kwa Neema na Baraka za Mungu, Rais na kipenzi cha waTanzania wote Dr. Samia suluhu Hassan atapewa muhula mwingine wa pili kuanzia October 2025.

Asanti sana waTanzania wote kwa uamuzi huo wa kishujaa, kijasiri na wa kizalendo. Mitano tena kwa Dr Samia suluhu Hassan 🌹
Limeporomoka ghorofa 1 Leo tunaenda siku 3 Bado watu wamefukiwa
Ingekuwaje yangedondoka 6

Wote hatuichukii serikali
Tuseme ukweli
Serikali kwenye majanga wapo ovyo
Wajirekeshe
Majanga hayana hodi
Wajiandae muda wowote
 
Limeporomoka ghorofa 1 Leo tunaenda siku 3 Bado watu wamefukiwa
Ingekuwaje yangedondoka 6

Wote hatuichukii serikali
Tuseme ukweli
Serikali kwenye majanga wapo ovyo
Wajirekeshe
Majanga hayana hodi
Wajiandae muda wowote
Majanga yapo dunia nzima, kila kona yanatokea na hayana hodi.

Yangedondoka sita ingekuwa bahati mbaya, uokoaji ungekuwa wa viwango hivi vinavyoonekana sasa, lakini Mungu anapishia mbali hayajadondoka, labda liwe ni tetemeko kali.
 
Limeporomoka ghorofa 1 Leo tunaenda siku 3 Bado watu wamefukiwa
Ingekuwaje yangedondoka 6

Wote hatuichukii serikali
Tuseme ukweli
Serikali kwenye majanga wapo ovyo
Wajirekeshe
Majanga hayana hodi
Wajiandae muda wowote
Gentleman,
hakuna namna unaweza kufanya katika hali ile, kukuwa na watu chini ya vifusi.

Actually,
ni zoezi la masaa8 tu eneo lile lingekua halina hata kipande kimoja cha tofali kama pasingekua na watu chini ya vifusi.

Hakuna namna unaweza kufanya katika aina ile ya poromoko.
Panahitaji umakini mkubwa mno na kwakweli panahitaji subra na uangalifu wa kiwango cha juu mno, unless watu wangependelea tu kifusi kiondolewe bila kuzingatia walio nasa chini yake 🐒
 
Gentleman,
hakuna namna unaweza kufanya katika hali ile, kukuwa na watu chini ya vifusi.

Actually,
ni zoezi la masaa8 tu eneo lile lingekua halina hata kipande kimoja cha tofali kama pasingekua na watu chini ya vifusi.

Hakuna namna unaweza kufanya katika aina ile ya poromoko.
Panahitaji umakini mkubwa mno na kwakweli panahitaji subra na uangalifu wa kiwango cha juu mno, unless watu wangependelea tu kifusi kiondolewe bila kuzingatia walio nasa chini yake 🐒
Sio kweli mashuhuda wapo
Waokoaji wanatumia jembe na jepe
 
aliekuzuia kufikiri unavyoweza kufikiri ni nani gentleman?

wewe pandisha mori, pandisha mihemko na ghadhabu kadiri uwezavyo lakini ni muhimu sana ukajua kwamba licha ya kwamba ni uhuru wako but ni useless na nonsense kabisaa 🐒

Kama na Mimi ninavyoona unaongea upupu Tu

So kila mtu aheshim nonsense zake, na sio mtu akiongea unajifanya kuja kutetea
 
Kama na Mimi ninavyoona unaongea upupu Tu

So kila mtu aheshim nonsense zake, na sio mtu akiongea unajifanya kuja kutetea
umebaki na mihemko tu gentleman, dah! mawazo na fikra mpya mbdala zimefikia ukomo right?🤣
 
Sio kweli mashuhuda wapo
Waokoaji wanatumia jembe na jepe
Yes,
na ndivyo vifaa ambavyo haswa vinastahili kutumika mpaka pale tutakapohakikisha na kujiridhisha kwamba, sasa hakuna mtu chini ya kifusi, unless hatuna haja na walionasa kwenye vifusi tutumie makatapila n.k.🐒
 
Gentleman,
hakuna namna unaweza kufanya katika hali ile, kukuwa na watu chini ya vifusi.

Actually,
ni zoezi la masaa8 tu eneo lile lingekua halina hata kipande kimoja cha tofali kama pasingekua na watu chini ya vifusi.

Hakuna namna unaweza kufanya katika aina ile ya poromoko.
Panahitaji umakini mkubwa mno na kwakweli panahitaji subra na uangalifu wa kiwango cha juu mno, unless watu wangependelea tu kifusi kiondolewe bila kuzingatia walio nasa chini yake 🐒

Wajibu na hawa basi ambao wanapaza sauti Rais wao akawasaidie,
 

Attachments

  • 20241118_171829.jpg
    20241118_171829.jpg
    280.9 KB · Views: 2
Yes,
na ndivyo vifaa ambavyo haswa vinastahili kutumika mpaka pale tutakapohakikisha na kujiridhisha kwamba, sasa hakuna mtu chini ya kifusi, unless hatuna haja na walionasa kwenye vifusi tutumie makatapila n.k.🐒
Nimekudharau
 
Sasa wewe kwanini usiende kusaidia kuwaokoa?

Unategemea mama Samia ndiyo akawaokoe?
Hoja ya kijinga..

Swali la kijinga..

Huu inawezekana ni mwaka wa CCM kutoa kafara..

Yaani Kuna janga nchini kwako, wananchi wako wanakufa Rais wa nchi unasafiri kwenda nchi za wenzako zilizo salama.?????

Hovyooooo...!!!
 
Ila nyie haters wa mama Samia mna kazi aisee, poleni sana. Si ajabu wengi wenu ni wachawi au mnatoka familia za wachawi.....hili Nina uhakika nalo kabisa.
Achana na viroja vyako. Hoja iliyo mezani ni:

Inaingia akilini kweli kuwa nchini kwake Rais Samia kuna janga linaondoa maisha ya watu wake mita kadhaa toka ofisi yake (Ikulu ya Magogoni) badala ashiriki na kutoa uongozi wa harakati za uokozi, yeye anapanda ndege kwenda nchi ya kigeni kula Raha...?

Wewe una maoni gani? Alichofanya ni sawa? Unadhani Hayati Rais Magufuli angekuwepo yeye angefanya kama alivyofanya huyu bibi...?
 
she is really crazy and soo stupid[emoji34],im sorry to say this.

tumeshuhudia marais wanastopisha ziara za nnje na kurudi haraka nchini kwao kutia moyo na kuwapa faraja wananchi wao, sababu wanamuangalia yeye na serikali yake. but this old woman?? noooo kwake ni bora safari,wananchi mtajua wenyewe[emoji57].

imagine, tena,ni kaliakoo, soko linaloingiza mapato mengi ya nchi, but noooo bora akale raha. hadi uko wanamuona hajielewi.

Samia 2025 no!
Definitely, it is a wrong decision at a wrong time...

Kiongozi bora ni yule aliye na busara na hekima ya kufanya maamuzi akizingatia "wakati & majira", kwamba kwa wakati huu na majira haya nini kifanyike na kipi kinaweza kusubiri...

Hapo watu wa protokali ya Rais, wamechemka big time. Likely, wamefanya makusudi Ili aharibikiwe...

Ni kosa la kukosa ubinadamu kwa Rais Samia na ni kosa kubwa la kisiasa litakalowagharimu CCM big time...!!

Hivi kwenye hili watajitetea vipi kwa mafano na wakaeleweka?

Kama ni utetezi huu wa akina Tlaatlaah au Bi FaizaFoxy basi serikali na CCM watateka na kuua watu wengi sana Ili kubaki madarakani maana kwa hoja tu, wamekwisha feli na matukio kama haya ndo yanawazika kabisaaaaaa...!!
 
Janga la maafa Kariakoo limekuja na mengi
Yapo mazuri
Yapo mabaya
Yapo ya kuhuzunisha sana
Yapo ya kusikitisha na kutia simanzi
Yapo ya kuumiza hisia na mioyo
Yapo ya kuchekesha katikati ya huzuni kubwa
Yapo ya kushangaza sana
Yapo ya kufikirisha na yapo yanayozua sintofahamu na mijadala mingi
Mimi nimeliona hili.. Ambalo ni kama kijembe ama dongo kwa mtu asiyetajwa waziwazi.. Ni jiwe gizani
Huko mitandaoni wamejitokeza wanawake wakijirekodi video fupifupi za kejeli kwa wanawake wenzao wanaojisifu kuwa wanawake wanaweza. Wanawake ni jeshi imara.. Wanawake wamefanya makubwa..nknk
Wanauliza mbona kwenye shughuli za uokozi pale Kariakoo hajaonekana mwanamke hata mmoja?
Kwamba wengi walijali miadi yao, starehe zao na mambo mengine yasiyo na maana
Wanaume wamesifiwa sana na katika moja ya post ameoneshwa Jk akiwa eneo la maafa kwenye ghorofa lililoporomoka 2013

Hili ni jiwe kizani na naamini limeshampata mlengwa ama mhusika mkuu.. Kama bado basi Kazi bado pevu

Good morning Tanganyika!
 
Back
Top Bottom