RESILIENT KATO
JF-Expert Member
- Aug 21, 2024
- 1,472
- 2,766
Wamebaki chawa wachache sana Tena wanahesabika!
Wenye akili wameshafanya maamuzi!
Wenye akili wameshafanya maamuzi!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utasikia tunamshukuru Mama Kwa kuleta ....... Kariakoo!wapo wanaendelea kumshukuru Mama
ngoja tushinde leo utasikia goli maalumu kwa ajili ya mama na wahanga wa ghorofa lililoporomokaUtasikia tunamshukuru Mama Kwa kuleta ....... Kariakoo!
Yupo Brazili anavunja rekodi hukoJanga la maafa Kariakoo limekuja na mengi
Yapo mazuri
Yapo mabaya
Yapo ya kuhuzunisha sana
Yapo ya kusikitisha na kutia simanzi
Yapo ya kuumiza hisia na mioyo
Yapo ya kuchekesha katikati ya huzuni kubwa
Yapo ya kushangaza sana
Yapo ya kufikirisha na yapo yanayozua sintofahamu na mijadala mingi
Mimi nimeliona hili.. Ambalo ni kama kijembe ama dongo kwa mtu asiyetajwa waziwazi.. Ni jiwe gizani
Huko mitandaoni wamejitokeza wanawake wakijirekodi video fupifupi za kejeli kwa wanawake wenzao wanaojisifu kuwa wanawake wanaweza. Wanawake ni jeshi imara.. Wanawake wamefanya makubwa..nknk
Wanauliza mbona kwenye shughuli za uokozi pale Kariakoo hajaonekana mwanamke hata mmoja?
Kwamba wengi walijali miadi yao, starehe zao na mambo mengine yasiyo na maana
Wanaume wamesifiwa sana na katika moja ya post ameoneshwa Jk akiwa eneo la maafa kwenye ghorofa lililoporomoka 2013
Hili ni jiwe kizani na naamini limeshampata mlengwa ama mhusika mkuu.. Kama bado basi Kazi bado pevu
Good morning Tanganyika!
Samahani mkuu 'kimsboy'. Hivi kweli wewe ulisubiri janga hili ndipo ujue kuwa rais wako" asvyo kuwa na huruma na raia wake"?Sisemi kwa ubaya lakini Rais wetu kwa hili kakosea sana!!kaonesha ni jinsi gani asivyojali hili taifa!! Kaonesha ni jinsi gani asivyo na huruma na raia wake?
Unazeeka vibaya. Kwani anasema akatoe vifusi? Issue ni kuwa unapata wapi ujasiri wa kusafiri wakati wanao wanalia chini ya vifusi? Unapata wapi apetite ya safari, wakati wahanga wanatuma massage za kukosa hewa, mauti iwakabili??Sasa wewe kwanini usiende kusaidia kuwaokoa?
Unategemea mama Samia ndiyo akawaokoe?
Unazeeka vibaya. Kwani anasema akatoe vifusi? Issue ni kuwa unapata wapi ujasiri wa kusafiri wakati wanao wanalia chini ya vifusi? Unapata wapi apetite ya safari, wakati wahanga wanatuma massage za kukosa hewa, mauti iwakabili?? Majibu yako ni ya kichawiSasa wewe kwanini usiende kusaidia kuwaokoa?
Unategemea mama Samia ndiyo akawaokoe?