Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ili mumpeperushie nae moshi mweupe kama magu?Imekuwa muda mrefu sana, Watanzania waishio kusini mwa Tanzania pia wanatamani uwatembelee hata kama utakwenda mikono mitupu. Hakuna makuu kule, 2025 si mbali.
Magu tulikuwa tunamwonyesha kuwa na sisi ni mwoto wa kuotea mbaliIli mumpeperushie nae moshi mweupe kama magu?
Huko haji ng"oo ni katelefoni atakuwa anakuja kumuwakilisha tuu
Duh..., hoja nyingine kiukweli ni hoja za ukweli mchungu!. Hili la Kanda fulani kuwa ni determinant kwa urais wa nchi hii, japo sio jambo zuri, ila ni kweli!.Watu wa kusini lazima muelewe kwamba rais ama marais wote wanapenda kwenda kanda ya ziwa kwa sababu kule ndio kuna determine urais wa nchi hii.
Pia hapa nilisema kitu.Wanabodi,
Sasa ikitokea na Kanda ya Ziwa, CCM ikachokwa mpaka basi, naomba kukiri, kwa uchaguzi wa 2015, kazi itakuwa ni rahisi sana, ni kama kumsukuma tuu mlevi!.
Kanda ya Kaskazini, waliisha kata shauri siku nyingi, kuwa CCM Basi!, ila kura za Kanda ya Kasikazini sio decisive kwa sababu kanda hiyo sio determinant ya nani anakuwa rais wa nchi hii, lakini kwa upande wa Kanda ya Ziwa, kura za kanda ya Ziwa ndio zina determine, ni nani anakuwa rais wa Tanzania!, hivyo ni decisive votes!.
Pasco.
Hoja yake haina ukweli wowote ila marais wanapenda zaidi kutembelea maeneo ya kanda ya ziwa na kanda ya kasikazini kutokana na ukubwa wake na akimaliza maeneo hayo ndipo aende maeneo ya kusini hii pia inachagizwa na mandhari ya kusuni.Duh..., hoja nyingine kiukweli ni hoja za ukweli mchungu!. Hili la Kanda fulani kuwa ni determinant kwa urais wa nchi hii, japo sio jambo zuri, ila ni kweli!.
P
Hoja yake haina ukweli wowote ila marais wanapenda zaidi kutembelea maeneo ya kanda ya ziwa na kanda ya kasikazini kutokana na ukubwa wake na akimaliza maeneo hayo ndipo aende maeneo ya kusini hii pia inachagizwa na mandhari ya kusuni.Duh..., hoja nyingine kiukweli ni hoja za ukweli mchungu!. Hili la Kanda fulani kuwa ni determinant kwa urais wa nchi hii, japo sio jambo zuri, ila ni kweli!.
P
Kwa ujumla kanda ya ziwa na kaskazini ndo iliko nchi na huu ndo ukweli!Hoja yake haina ukweli wowote ila marais wanapenda zaidi kutembelea maeneo ya kanda ya ziwa na kanda ya kasikazini kutokana na ukubwa wake na akimaliza maeneo hayo ndipo aende maeneo ya kusini hii pia inachagizwa na mandhari ya kusuni...
Sio iliko nchi, sema waliko wanasiasaKwa ujumla kanda ya ziwa na kaskazini ndo iliko nchi na huu ndo ukweli!
Mpaka mtengeneze barabara za Mtwara-Tandahimba-Newala-Masasi-Nachingwea-Liwale. Hapo anaweza kuwaza kuja, nakumbuka kama kitabu changu cha matukio kipo sahihi enzi za umakamu msafara wake ni kama vile ulipata ajali, kama nijasahau ni barabara ya Mtwara-Tandahimba.Imekuwa muda mrefu sana, Watanzania waishio Kusini mwa Tanzania pia wanatamani uwatembelee hata kama utakwenda mikono mitupu.
Hakuna makuu kule, 2025 si mbali.
Kabisa nchi ipo kanda ya Pwani kwenye bahari , huko mambugani ni nyongeza tu.Sio iliko nchi, sema waliko wanasiasa
Sawa kama ni hivyo basi tuache muda uongee, kwani Tanzania sasa imekuwa ni Dodoma, Geita, Mwanza, Manyara, Kilimanjaro, Tanga , Dar na Zanzibari.Watu wa kusini kama kusingekua na gas nadhani viongozi wa kitaifa mngekua mnaishia kuwaona kwenye tv miaka yao yote ya uongozi. Yaani hata kwenye uchaguzi wangekua wanawaomba kura kupitia tv...
Wamewauzia mbolea kwa shilingi 98-100 K huu mwaka. Na bado Raisi wao wanamwona kwenye TV, na si kwamba hasafiri, lahasha anasafiri na mpaka ng'ambo kavuka kwao hajawahi enda, "I just image if even Hon Kassim couldn't be from Ruagwa , would he dare to visit?" actually not, Yupo makamu Dr Mpango, hata huyo basi ? .Hoja yake haina ukweli wowote ila marais wanapenda zaidi kutembelea maeneo ya kanda ya ziwa na kanda ya kasikazini kutokana na ukubwa wake na akimaliza maeneo hayo ndipo aende maeneo ya kusini hii pia inachagizwa na mandhari ya kusuni...
Ikumbukwe kwamba huu sio muda wa kampeni wala uchaguzi, huu ni muda wa kuijega Tanzania. Sasa kwanini asiende, Kama yeye angeli dhamiria na kukosa muda basi ningetegemea kumuona hata Makamu wake.Hoja yake haina ukweli wowote ila marais wanapenda zaidi kutembelea maeneo ya kanda ya ziwa na kanda ya kasikazini kutokana na ukubwa wake na akimaliza maeneo hayo ndipo aende maeneo ya kusini hii pia inachagizwa na mandhari ya kusuni. Kumbuka ngome ya upinzani haipo kusini hivyo kwa strategy za kisiasa naona wanajaribu kutafuta uungwaji mkono kaskazini na nyanda za ziwa.
NB: Kusini ina upinzani ila ukitoa Mbeya na Iringa mjini maeneo mengine hayana usumbufu sana kwa CCM.
Huko Hakuna uwanja wa ndege. Atakujaje?Imekuwa muda mrefu sana, Watanzania waishio Kusini mwa Tanzania pia wanatamani uwatembelee hata kama utakwenda mikono mitupu.
Hakuna makuu kule, 2025 si mbali.
Ni jambo la masikitiko Sana.Imekuwa muda mrefu sana, Watanzania waishio Kusini mwa Tanzania pia wanatamani uwatembelee hata kama utakwenda mikono mitupu.
Hakuna makuu kule, 2025 si mbali.
Kusini walitengwa tangu Ukoloni baada ya kukataa mkoloni asiwatawale kidhalimu. Serikali zote zilizotokea Tanzania zinafuata historia ya misimamo mikali ya watu wa kusini.Imekuwa muda mrefu sana, Watanzania waishio Kusini mwa Tanzania pia wanatamani uwatembelee hata kama utakwenda mikono mitupu.
Hakuna makuu kule, 2025 si mbali.
Gas ilishavunwa yoteWatu wa kusini kama kusingekua na gas nadhani viongozi wa kitaifa mngekua mnaishia kuwaona kwenye tv miaka yao yote ya uongozi. Yaani hata kwenye uchaguzi wangekua wanawaomba kura kupitia tv.
Ila kwa sasa kwa kua mna gesi basi watajitahidi kuja angalau mara 2 kwa miaka 5 muwaone.
Ila lazima pia muelewe kwamba rais ama marais wote wanapenda kwenda kanda ya ziwa kwa sababu kule ndio kuna determine urais wa nchi hii. Wakimaliza kanda ya ziwa wanaenda kasikazini. Nyie wa kusini hata rais asipokuja kuomba kura hamuwezi jubadilisha matokeo.
Niwaombe ndugu zangu wa kusini mkae mtulie, tutawaletea kiwanda cha gesi, tutachimba na ikiisha tutaondoka na hamtatufanya kitu. Mtumie hii fursa ya kiwanda cha gesi kubadilika. Shauri yenu.