Rais Samia karibu Mbeya karibu sana Mbarali uone uchapakazi uliotukuka wa Viongozi wetu wa Wilaya

SASA CHADEMA TANGU LINI MKAFURAHIA MAMBO YA UVCCM?

KAFULILA ALIWAUMIZA SANA JINSI ALIVYOMTETEA RAIS WETU,

KWATAARIFA TU KAFULILA ANAKUWA WAZIRI TUONE MTASEMAJE
Ukiona unafanya maamuzi na wanaokushangilia ni Vijana wa Ufipa jua umekosea katika uamuzi huo,

Kafulila ni hazina kwa Taifa hili
 
DSO????? hujui tu ila unaweza kuwa umemponza huyu mtu
 
Mbarali mko juu Sana, hongera Sana Rais Samia na Waziri Bashe
 
Mavi matupu
 
Ungepiga picha na kipande cha barabara kutoka hapo Igawa mpaka Lujewa ningekuona wa maana!
 
UVCCM ifike mahali msikie na muelewe mdundo wa ngoma anaoutaka mchagua wimbo.

Hizi porojo hazijamsaidia lolote Kafulia, jifunzeni kwake.
Sahihi. Inakuwaje umwambie Rais kwamba kuna watu sijui wanafanya kazi vizuri hivyo wapongezwe as if Rais hana macheries za kupata taarifa ya kazi mbalimbali kutoka kwa watendaji mbalimbali hapa nchini? Halafu kwa ujinga unamtaja DSO. Kweli? DSO wa namna hii ni janga kwa nchi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…