Rais Samia karibu Mbeya karibu sana Mbarali uone uchapakazi uliotukuka wa Viongozi wetu wa Wilaya

Rais Samia karibu Mbeya karibu sana Mbarali uone uchapakazi uliotukuka wa Viongozi wetu wa Wilaya

Dc wa mbarali Mh Ruben mfune ni mwizi mkubwa wa mali za umma tangu akiwa Afisa Utumishi , Ded na sasa Dc .TISS fuatilieni.
Wewe ni mpumbafu Sana, unataka kusema tangu ni Afisa utumishi TISS hawapo, akawa DED TISS hawapo leo ni DC TISS hawapo,

Fankly huyu DC huenda ndio DC bora kwa sasa Tanzania
 
UVCCM ifike mahali msikie na muelewe mdundo wa ngoma anaoutaka mchagua wimbo.

Hizi porojo hazijamsaidia lolote Kafulia, jifunzeni kwake.
CHADEMA ni taahira tupu,

MNATAKA RAIS AWEKE RCS LEGELEGE ILI MFANIKISHE AGENDA YENU YA KUPOKONYA NCHI,
 
View attachment 2315751

Mama nakusalimu kwa jina la JMT,

Mimi ni muumini sana "Satstification & appreciation"

Nafahamu kwa kutumia vyombo vyako unafahamu taarifa zote za uchapakazi na Uhodari wa DED wetu, DC na DAS wetu, DSO wetu katika Wilaya hii,

Majuzi wakati unawaapisha wakuu wapya wa mikoa ulimmwagia sifa lukuki Dada yetu Mkurugenzi wa Malinyi Mhe Joanfaith John kwa uchapakazi wake uliotukuka ambao nchi nzima imekubaliana na wewe kuhusu binti yule kuwa ni mtu wakutiliwa mfano kwa Uchapakazi anaouonesha,


Mhe Rais wangu, hebu usipite Mbarali bila kuwapongeza na kuwatia moyo hawa viongozi wetu kwa mambo makubwa wanayofanya,

Wacha nitaje machache tu niliyoyaona:-

1. Wanafanya kazi kwa Upendo na Ushirikiano wa kiwango cha juu Sana,

2. Wanafanya vizuri Sana katika ukusanyaji wa Mapato mkoa mzima wa Mbeya,

3. Mbarali,Ndio Wilaya pekee hapa Tanzania iliyosajili mifugo yake kielektroniki kwa kiwango kikubwa ili kutekeleza sera yako ya kuongeza uuzwaji wa nyama na mifugo nje ya nchi,

4. Kusimamia vizuri kilimo cha Mpunga na mazao mengine,

5. Kusimamia vizuri miradi ya Ujenzi ikiwemo hii VETA utakayoizindua leo,

6. Kusimamia swala la Elimu bure kwa watoto wetu wote,


#MBEYA TUNAKUPENDA SANA MHE RAIS NADHANI UMEJIONEA MWENYEWE MAPOKEZI YETU
View attachment 2315756
Simfahamu DSO ila DED ni jembe Sana, DC anafaa Sana atafutiwe mkoa, TISS nisaidie hili,
 
Dc wa mbarali Mh Ruben mfune ni mwizi mkubwa wa mali za umma tangu akiwa Afisa Utumishi , Ded na sasa Dc .TISS fuatilieni.
CHADEMA wakikwambia huyu mtu hafai jua huyo mtu ndio anafaa zaidi,

Sasa hivi tukiacha unafiki unaweza kumlinganisha huyu DC na nani hapa Tanzania kwa uchapakazi?
 
View attachment 2315751

Mama nakusalimu kwa jina la JMT,

Mimi ni muumini sana "Satstification & appreciation"

Nafahamu kwa kutumia vyombo vyako unafahamu taarifa zote za uchapakazi na Uhodari wa DED wetu, DC na DAS wetu, DSO wetu katika Wilaya hii,

Majuzi wakati unawaapisha wakuu wapya wa mikoa ulimmwagia sifa lukuki Dada yetu Mkurugenzi wa Malinyi Mhe Joanfaith John kwa uchapakazi wake uliotukuka ambao nchi nzima imekubaliana na wewe kuhusu binti yule kuwa ni mtu wakutiliwa mfano kwa Uchapakazi anaouonesha,


Mhe Rais wangu, hebu usipite Mbarali bila kuwapongeza na kuwatia moyo hawa viongozi wetu kwa mambo makubwa wanayofanya,

Wacha nitaje machache tu niliyoyaona:-

1. Wanafanya kazi kwa Upendo na Ushirikiano wa kiwango cha juu Sana,

2. Wanafanya vizuri Sana katika ukusanyaji wa Mapato mkoa mzima wa Mbeya,

3. Mbarali,Ndio Wilaya pekee hapa Tanzania iliyosajili mifugo yake kielektroniki kwa kiwango kikubwa ili kutekeleza sera yako ya kuongeza uuzwaji wa nyama na mifugo nje ya nchi,

4. Kusimamia vizuri kilimo cha Mpunga na mazao mengine,

5. Kusimamia vizuri miradi ya Ujenzi ikiwemo hii VETA utakayoizindua leo,

6. Kusimamia swala la Elimu bure kwa watoto wetu wote,


#MBEYA TUNAKUPENDA SANA MHE RAIS NADHANI UMEJIONEA MWENYEWE MAPOKEZI YETU
View attachment 2315756


<<<<<<<<<<<<<>>>>>>>>>>>>>>>

Pitia pia hii ziara ya Waziri wa Kilimo Mbarali Hussein Bashe,

View attachment 2316020
Hili ni Shamba la Mpunga Mbarali ( Skimu ya Umwagiliaji )

View attachment 2316021
Waziri Bashe akitua na helkopta ya Jeshi Mbarali kuhamasisha kilimo cha Umwagiliaji,


View attachment 2316023

Mkuu wa mkoa Mbeya akiwa na Mawaziri wa Kilimo katika uhamasishaji wa kilimo cha Umwagiliaji Mbarali


#Hongera Sana wanaMbarali,
Bashe anafanya kazi nzuri Sana,

Hongera RC, DC, DED, DSO,DAS et el
 
View attachment 2315751

Mama nakusalimu kwa jina la JMT,

Mimi ni muumini sana "Satstification & appreciation"

Nafahamu kwa kutumia vyombo vyako unafahamu taarifa zote za uchapakazi na Uhodari wa DED wetu, DC na DAS wetu, DSO wetu katika Wilaya hii,

Majuzi wakati unawaapisha wakuu wapya wa mikoa ulimmwagia sifa lukuki Dada yetu Mkurugenzi wa Malinyi Mhe Joanfaith John kwa uchapakazi wake uliotukuka ambao nchi nzima imekubaliana na wewe kuhusu binti yule kuwa ni mtu wakutiliwa mfano kwa Uchapakazi anaouonesha,


Mhe Rais wangu, hebu usipite Mbarali bila kuwapongeza na kuwatia moyo hawa viongozi wetu kwa mambo makubwa wanayofanya,

Wacha nitaje machache tu niliyoyaona:-

1. Wanafanya kazi kwa Upendo na Ushirikiano wa kiwango cha juu Sana,

2. Wanafanya vizuri Sana katika ukusanyaji wa Mapato mkoa mzima wa Mbeya,

3. Mbarali,Ndio Wilaya pekee hapa Tanzania iliyosajili mifugo yake kielektroniki kwa kiwango kikubwa ili kutekeleza sera yako ya kuongeza uuzwaji wa nyama na mifugo nje ya nchi,

4. Kusimamia vizuri kilimo cha Mpunga na mazao mengine,

5. Kusimamia vizuri miradi ya Ujenzi ikiwemo hii VETA utakayoizindua leo,

6. Kusimamia swala la Elimu bure kwa watoto wetu wote,


#MBEYA TUNAKUPENDA SANA MHE RAIS NADHANI UMEJIONEA MWENYEWE MAPOKEZI YETU
View attachment 2315756


<<<<<<<<<<<<<>>>>>>>>>>>>>>>

Pitia pia hii ziara ya Waziri wa Kilimo Mbarali Hussein Bashe,

View attachment 2316020
Hili ni Shamba la Mpunga Mbarali ( Skimu ya Umwagiliaji )

View attachment 2316021
Waziri Bashe akitua na helkopta ya Jeshi Mbarali kuhamasisha kilimo cha Umwagiliaji,


View attachment 2316023

Mkuu wa mkoa Mbeya akiwa na Mawaziri wa Kilimo katika uhamasishaji wa kilimo cha Umwagiliaji Mbarali


#Hongera Sana wanaMbarali,

Huyu nae chawa
 
View attachment 2315751

Mama nakusalimu kwa jina la JMT,

Mimi ni muumini sana "Satstification & appreciation"

Nafahamu kwa kutumia vyombo vyako unafahamu taarifa zote za uchapakazi na Uhodari wa DED wetu, DC na DAS wetu, DSO wetu katika Wilaya hii,

Majuzi wakati unawaapisha wakuu wapya wa mikoa ulimmwagia sifa lukuki Dada yetu Mkurugenzi wa Malinyi Mhe Joanfaith John kwa uchapakazi wake uliotukuka ambao nchi nzima imekubaliana na wewe kuhusu binti yule kuwa ni mtu wakutiliwa mfano kwa Uchapakazi anaouonesha,


Mhe Rais wangu, hebu usipite Mbarali bila kuwapongeza na kuwatia moyo hawa viongozi wetu kwa mambo makubwa wanayofanya,

Wacha nitaje machache tu niliyoyaona:-

1. Wanafanya kazi kwa Upendo na Ushirikiano wa kiwango cha juu Sana,

2. Wanafanya vizuri Sana katika ukusanyaji wa Mapato mkoa mzima wa Mbeya,

3. Mbarali,Ndio Wilaya pekee hapa Tanzania iliyosajili mifugo yake kielektroniki kwa kiwango kikubwa ili kutekeleza sera yako ya kuongeza uuzwaji wa nyama na mifugo nje ya nchi,

4. Kusimamia vizuri kilimo cha Mpunga na mazao mengine,

5. Kusimamia vizuri miradi ya Ujenzi ikiwemo hii VETA utakayoizindua leo,

6. Kusimamia swala la Elimu bure kwa watoto wetu wote,


#MBEYA TUNAKUPENDA SANA MHE RAIS NADHANI UMEJIONEA MWENYEWE MAPOKEZI YETU
View attachment 2315756


<<<<<<<<<<<<<>>>>>>>>>>>>>>>

Pitia pia hii ziara ya Waziri wa Kilimo Mbarali Hussein Bashe,

View attachment 2316020
Hili ni Shamba la Mpunga Mbarali ( Skimu ya Umwagiliaji )

View attachment 2316021
Waziri Bashe akitua na helkopta ya Jeshi Mbarali kuhamasisha kilimo cha Umwagiliaji,


View attachment 2316023

Mkuu wa mkoa Mbeya akiwa na Mawaziri wa Kilimo katika uhamasishaji wa kilimo cha Umwagiliaji Mbarali


#Hongera Sana wanaMbarali,
Naunga mkono hoja Mbarali wako viongozi wachapakazi
 
Nimemfuatilia kwa makini Sana Rais Samia leo, naomba kuwaambia Tanzania imepata rais mkweli na mchapaka kazi kwelikweli,
 
Back
Top Bottom