Rais Samia karuhusu upandaji wa LUKU mwisho wa mwezi, kipindi wakiwa na Magufuli waliahidi kushusha bei ya umeme, Imekuwaje?

Itoshe tu kusema. CCM ni. ile ille...Samia anadolishia tu watu kule kama watoto,eti ameleta kile na hiki basi,utadhani ametoa hela yake mfukoni: Ni uswahili na usanii wa Zenj tu.
inaonyesha dhahiri kwamba una chuki ndani ya moyo wako.

kwani Magufuli alikuwa hasemi 'nimeleta'?
 
Mtu km Wewe Ni kujichosha tu kujibizana na wewe.hujui chochote unajifanya kwamba Wewe Ni mwelevi lkn huna unachokijua,na Ni hasara Sana kuwa na watu wa aina yako kwenye ili Taifa
 
inaonyesha dhahiri kwamba una chuki ndani ya moyo wako.

kwani Magufuli alikuwa hasemi 'nimeleta'?
Magufuli alikuwa nani na wa chama gani...na unaelewa maana ya CCM ni ileile?!Nani alikwambia mimi ni muumini wa Magufuli...Kwangu CCM wote mpaka wewe ni K...
 
Magufuli alikuwa nani na wa chama gani...na unaelewa maana ya CCM ni ileile?!Nani alikwambia mimi ni muumini wa Magufuli...Kwangu CCM wote mpaka wewe ni K...
so what! ukishindwa hoja ndiyo uweke acronym ya tusi? inaonyesha jinsi IQ yako ilivyo na matatizo.
 
Mkuu, hio ni kodi ya nyumba, haihusihani na TANESCO,
kingine wabongo tuache kulia lia,
Mfuate mwenye nyumba wako, mwambie arudishe hio 18k unayolipa kwa mwaka, mana ni jukumu lake, mbona simple tu ?

Yan tunalia vitu vidogo vya kusolve wenyewe tu
Unahisi huu ni utaratibu sahihi? Kwanini mwenye nyumba asikatwe kwa namna nyingine bila kuhusishwa mpangaji? Unaona ipo sawa kabisa kumfuata mwenye nyumba ndio akurudishie hela yako? Halafu asiporudisha unamshtaki au? Na unamshtaki kwa kosa gani?
 
Unahisi huu ni utaratibu sahihi? Kwanini mwenye nyumba asikatwe kwa namna nyingine bila kuhusishwa mpangaji? Unaona ipo sawa kabisa kumfuata mwenye nyumba ndio akurudishie hela yako? Halafu asiporudisha unamshtaki au? Na unamshtaki kwa kosa gani?
Ndio ni sahihi, serikali inajua mwenye meter ni mwenye nyumba, kama utaenda kukodi meter ya mtu, bas elewa inadaiwa
 
Kuna tuliobadirishiwa mita.za luku hasa double phase na.kupewa mita.za.edmi ni kilio kwanimita.hizi zinakula umeme isivyo kawaida.

Najuta kwa nini nililubali kupewa smart meter ya edmi ambayo inakiwa ni box linakaa juu ya.nguzo na remote unapewa unakaa nayo ndani.

Kuna utapeli mkubwa alyetengeneza mita hizi kwenda hataka.isivyo maelezo na kumaliza umeme haraka.sana. chukueni taadhari.

Na tulidhani bwawa la.umeme likianza.unit ya.umeme itashuka.yola.ilipokuwa.shs.327 kwa.unit irudi.walau shs 200 lakini.serikali ya.ccm.haijaliwananchi
 
Kwa kweli hili ni janga wametupuuza Hawa watawala wetu. Kumbe sisi hatuna umuhimu !
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…