Rais Samia karuhusu watu kuandamana kwenye awamu yake. Mnaolialia kuhusu watanzania kutoandamna ni wapuuzi, anzisheni nyinyi hayo maandamano

Rais Samia karuhusu watu kuandamana kwenye awamu yake. Mnaolialia kuhusu watanzania kutoandamna ni wapuuzi, anzisheni nyinyi hayo maandamano

sinza pazuri

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2014
Posts
3,344
Reaction score
9,066
Kila mtu anajifanya kulalamika ooh watanzania waoga.
Ooh watanzania hawajielewi.
Ooh watanzania hawajui haki zao.
Sababu tumeona Kenya vijana wanaandamana.

Lakini hapa Tanzania Rais ameruhusu watu kuandamana, nyinyi mnaolalamika kuhusu watanzania nini kinawazuia kuanzisha hayo maandamano?
Acheni upumbavu.
Sisi watanzania tunajielewa sana uwezi ukatushika masikio kirahisi kama wakenya. Lazima tupime nia na manufaa ya hayo maandamano tunaweza kukuunga mkono.

Kariakoo watu walifunga maduka bila movement yoyote ya wanasiasa wenye njaa kila siku wapo ikulu kubargain asali.

Yani umtoe mtanzania kwenye shughuli yake inayomuingizia kipato akashinde juani anakimbia kimbia uwe na sababu ya maana sana kumshawishi.

Anaedhani anazo sababu za msingi za kuingia mtaani aanzishe yeye maandamano anamsubiri nani ndio aanzishe?

Keyboard warriors hakuna wa kumshika masikio zama hizi watu wanafanya reasoning ya kweli.

Hao Kenya wana katiba mpya, wana vyama vipya kila leo na tume yao huru ila bado maisha yao tia maji tia maji.
Acheni upuuzi wa kupenda drama za kitoto.
 
Wapuuzi sana kelele kibao. Waanzishe organisation hata hapa jamiiforum wakitane waende Dodoma kuzuia financial bill, maneno mengi hawana ujasiri wowote ule
Wewe unashida mahali. Kama watu hawataki kuandamana utawalazimisha. Hasira zote hizo za Nini? Kaa kwako fanya ya kwako. Unajichoresha.
 
We huku hapakufai. Endelea kujikita kwenye uchawa ulikobobea.

Bora hata wengine wanaleta uchawa kwa Rais kuliko wewe unaleta uchawa kwa Dayamondi

We sijui wa jinsia gani kwanza wewe. Bure kabisa
 
Wewe unashida mahali. Kama watu hawataki kuandamana utawalazimisha. Hasira zote hizo za Nini? Kaa kwako fanya ya kwako. Unajichoresha.
Watu wanajielewa ndio maana uwezi wabeba ukawapeleka mtaani kama nyumbu. Nyie wapiga kelele wa mitan
 
We huku hapakufai. Endelea kujikita kwenye uchawa ulikobobea.

Bora hata wengine wanaleta uchawa kwa Rais kuliko wewe unaleta uchawa kwa Dayamondi

We sijui wa jinsia gani kwanza wewe. Bure kabisa
Acha kujipa umuhimu kwenye maisha ya watu. Wapi pananifaa najua mimi wewe si mke wangu ukajifanya wanifahamu
 
Kila mtu anajifanya kulalamika ooh watanzania waoga.
Ooh watanzania hawajielewi.
Ooh watanzania hawajui haki zao.
Sababu tumeona Kenya vijana wanaandamana.

Lakini hapa Tanzania Rais ameruhusu watu kuandamana, nyinyi mnaolalamika kuhusu watanzania nini kinawazuia kuanzisha hayo maandamano?
Acheni upumbavu.
Sisi watanzania tunajielewa sana uwezi ukatushika masikio kirahisi kama wakenya. Lazima tupime nia na manufaa ya hayo maandamano tunaweza kukuunga mkono.
Kariakoo watu walifunga maduka bila movement yoyote ya wanasiasa wenye njaa kila siku wapo ikulu kubargain asali.
Yani umtoe mtanzania kwenye shughuli yake inayomuingizia kipato akashinde juani anakimbia kimbia uwe na sababu ya maana sana kumshawishi.
Anaedhani anazo sababu za msingi za kuingia mtaani aanzishe yeye maandamano anamsubiri nani ndio aanzishe?
Keyboard warriors hakuna wa kumshika masikio zama hizi watu wanafanya reasoning ya kweli.
Hao Kenya wana katiba mpya, wana vyama vipya kila leo na tume yao huru ila bado maisha yao tia maji tia maji.
Acheni upuuzi wa kupenda drama za kitoto.
Acha pumba.
 
Back
Top Bottom