Rais Samia karuhusu watu kuandamana kwenye awamu yake. Mnaolialia kuhusu watanzania kutoandamna ni wapuuzi, anzisheni nyinyi hayo maandamano

Rais Samia karuhusu watu kuandamana kwenye awamu yake. Mnaolialia kuhusu watanzania kutoandamna ni wapuuzi, anzisheni nyinyi hayo maandamano

Maaandamo sio ya SSH bali ni ya katiba, na nyakati zikifika zimefika hata angekuepo mwendazake watu wangeandamana na asingekua na lafanya , nyakati ni nyakati tu , tena mwenda zake ndo angejuta kuzaliwa ,hamjui dunia nyie
Hakuna cha nyakati mwenye nchi akiamua wote mnafyta kimya si mnaona kagame hapo nchi ina discipline
 
Kuandamana ni haki ya Kikatiba siyo fadhiri za mkuu wa nchi.
 
Ni Mama Samia. Wakati wa magufuli hakuna aliyethubutu kuingia barabarani wengine walimbilia ubeligiji wengine dubai wengine canada. Leo kuandamana ruksa ila mnalalmika watu hawataki nyie mnaotaka acheni keyboards ingine site

..waliodungwa risasi na Magufuli walikimbilia Kenya.

..Na Magufuli naye alipougua nasikia alikimbilia Kenya.
 
Kila mtu anajifanya kulalamika ooh watanzania waoga.
Ooh watanzania hawajielewi.
Ooh watanzania hawajui haki zao.
Sababu tumeona Kenya vijana wanaandamana.

Lakini hapa Tanzania Rais ameruhusu watu kuandamana, nyinyi mnaolalamika kuhusu watanzania nini kinawazuia kuanzisha hayo maandamano?
Acheni upumbavu.
Sisi watanzania tunajielewa sana uwezi ukatushika masikio kirahisi kama wakenya. Lazima tupime nia na manufaa ya hayo maandamano tunaweza kukuunga mkono.

Kariakoo watu walifunga maduka bila movement yoyote ya wanasiasa wenye njaa kila siku wapo ikulu kubargain asali.

Yani umtoe mtanzania kwenye shughuli yake inayomuingizia kipato akashinde juani anakimbia kimbia uwe na sababu ya maana sana kumshawishi.

Anaedhani anazo sababu za msingi za kuingia mtaani aanzishe yeye maandamano anamsubiri nani ndio aanzishe?

Keyboard warriors hakuna wa kumshika masikio zama hizi watu wanafanya reasoning ya kweli.

Hao Kenya wana katiba mpya, wana vyama vipya kila leo na tume yao huru ila bado maisha yao tia maji tia maji.
Acheni upuuzi wa kupenda drama za kitoto.
Nimeshindwa kujua hoja yako ni ipi hapa kwenye huu utoto ulioandika.
 
Celebrity Forum ndio kunakufaa ukiwa unaisifi WCB,
It's hard to understand what you have written.
 
Back
Top Bottom